–


Mshambuliaji mpya wa Klabu ya Yanga SC, Juma Balinya amesaini Mkataba wa miaka Miwili kuwatumikia Mabingwa hao wa Kihistoria nchini.. @officialbalinya amejiunga na Yanga akitokea Klabu ya Police FC ya Uganda.
:
– @officialbalinya ambaye Pia ni Mfungaji Bora wa Ligi Kuu ya nyumbani kwao Uganda msimu uliomalizika wa 2018/19, ametambulishwa na uongozi wa Yanga mbele ya wanachama wa klabu hiyo katika hafla ya kuichangia Yanga inayofanyika katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam..
#WawekezajiNiWananchi #YangaSc #transfers
@Sokawaytz





















