
BREAKING NEWS:
Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Uganda Milutin “Micho” Sredojevic amejiuzulu kufundisha klabu ya @orlandopirates ya Afrika Kusini.

BREAKING NEWS:
Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Uganda Milutin “Micho” Sredojevic amejiuzulu kufundisha klabu ya @orlandopirates ya Afrika Kusini.

Mshambuliaji wa KMC FC Mtanzania Elias Maguli amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea klabu ya Nakambala Leopards ya Zambia kilala kheri Elias Maguli.

Leo saa tano asubuhi makocha wa vilabu vya Simba na Azam Fc watazungumza na wanahabari kuelekea mchezo wa Ngao ya Jamii utakaopigwa kesho Jumamosi
Kocha Mkuu wa Simba Patrick Aussems na Etienne Ndayiragije watashiriki kwenye mkutano huo
Simba itarusha Mkutano huo ‘mbashara’ kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Youtube


Kikosi cha Fc Barcelona kitakachoikabili Athletic Bilbao katika mchezo wa ufunguzi wa Laliga #laliga

Mtendaji mkuu wa bodi ya ligi Boniface Wambura amesema kuwa wamevifungia viwanja vya Mabatini Mlandizi ,Mwadui Complex kilichopo Mjini Shinyanga na Manungu Complex wa kilichopo katika makao makuu ya klabu ya Mtibwa sugar kwa sababu ya viwanja hivyo kukosa uzio.
Wambura amesema viwanja hivyo vikifanyiwa marekebisho basi wataruhusiwa kurudi katika viwanja vyao.

Imeripotiwa kuwa Wanachuo wa Ushirika Moshi wamegoma kuingia madarasani ..hii nibaada tu ya mchezo wa kirafiki kati ya yanga dhidi ya polisi tanzania kufanyika katika uwanja wao….wanachuo hao wanajiandaa na mechi ya leo itakayofanyika katika uwanja wao Chuo chao

Mshambuliaji wa Kimataifa wa Chile na Klabu ya Manchester United Alexis Sanchez amepanga kuondoka katika klabu ya Manchester United na kuhamia Italia huku Vilabu vya Juventus, Napoli, AC Milan na Inter Milan vikihusishwa kutaka saini yake.


✍🏻 Shirikisho la Soka Nchini Morocco 🇲🇦, limemtangaza Kocha wa zamani wa FC Nantes na timu ya taifa ya Japan, Vahid Halilhodžić Kuwa Kocha wao Mpya Mkuu akichukua Mikoba iliyoachwa wazi na Aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Herve Renard!.
:
✍🏻 Halilhodžić Raia wa Bosnia akiwa na umri wa Miaka 67 hivii Sasa, amepewa malengo Matatu tu ayatimize akiwa Kocha Mkuu wa Atlas Lions..
1. Afike Nusu fainali ya AFCON 2021.
2. Afuzu Fainali za Kombe la Dunia 2022.
3. Atwae Ubingwa wa AFCON 2023!.
.
✍🏻 Ametoka kuachana na Klabu ya Nantes ya Ligue 1 Baada ya kudumu Msimu mmoja tu uliopita, Kabla Alikuwa Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Japan, Algeria na Ivory Coast… Katika ngazi ya Vilabu Amewahi Kuwa Kocha Mkuu wa Klabu za, PSG, Dinamo Zagreb, Trabzonspor, RENNES, Lille, Ittihad Jeddah na Raja Casablanca ya hapo hapo Morocco 🇲🇦 inaonesha sio mgeni Sanaa ndani ya Morocco na Soka la Afrika… Swali linakuja, malengo atayatimiza?!..
#TransferNewsUpdate
@Sokawaytz

✍🏻 Shirikisho la Soka Nchini Morocco 🇲🇦, limemtangaza Kocha wa zamani wa FC Nantes na timu ya taifa ya Japan, Vahid Halilhodžić Kuwa Kocha wao Mpya Mkuu akichukua Mikoba iliyoachwa wazi na Aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Herve Renard!.
:
✍🏻 Halilhodžić Raia wa Bosnia akiwa na umri wa Miaka 67 hivii Sasa, amepewa malengo Matatu tu ayatimize akiwa Kocha Mkuu wa Atlas Lions..
1. Afike Nusu fainali ya AFCON 2021.
2. Afuzu Fainali za Kombe la Dunia 2022.
3. Atwae Ubingwa wa AFCON 2023!.
.
✍🏻 Ametoka kuachana na Klabu ya Nantes ya Ligue 1 Baada ya kudumu Msimu mmoja tu uliopita, Kabla Alikuwa Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Japan, Algeria na Ivory Coast… Katika ngazi ya Vilabu Amewahi Kuwa Kocha Mkuu wa Klabu za, PSG, Dinamo Zagreb, Trabzonspor, RENNES, Lille, Ittihad Jeddah na Raja Casablanca ya hapo hapo Morocco 🇲🇦 inaonesha sio mgeni Sanaa ndani ya Morocco na Soka la Afrika… Swali linakuja, malengo atayatimiza?!..
#TransferNewsUpdate
@Sokawaytz

– Europa League – Qualification.
FT HJK 2 – 2 Riga FC
FT Dinamo Tbilisi 1 – 1 Feyenoord
FT Spartak Moscow 2 – 1 Thun
FT AIK 1 – 1 FC Sheriff
FT Apollon Limassol 3 – 1 Austria Wien
FT BATE Borisov 0 – 0 FK Sarajevo
FT Bnei Yehuda Tel Aviv 2 – 1 FK Neftchi
FT Mlada Boleslav 0 – 1 FC FCSB
FT Shakhtyor Soligorsk 1 – 1 Torino
FT Suduva 2 – 1 Maccabi Tel Aviv
FT Yeni Malatyaspor 1 – 0 Partizan Beograd
FT Zorya Luhansk 1 – 0 PFC CSKA-Sofia
FT Zrinjski Mostar 1 – 0 Malmoe FF
FT Hapoel Beer Sheva 3 – 1 IFK Norrkoeping
FT TNS 0 – 4 Ludogorets Razgrad
FT Trabzonspor 2 – 1 Sparta Prague
FT AEK Athens 1 – 1 CS Universitatea Craiova
FT Valletta 0 – 4 FC Astana
AET Viktoria Plzen 2 – 1 Royal Antwerp
FT AZ Alkmaar 4 – 0 Mariupol
AET Aris Thessaloniki 3 – 1 Molde
FT Eintracht Frankfurt 1 – 0 FC Vaduz
FT Gent 3 – 0 AEK Larnaca
FT PSV Eindhoven 0 – 0 FK Haugesund
FT Strasbourg 1 – 0 Lokomotiv Plovdiv
FT Aberdeen 0 – 2 Rijeka
FT SC Braga 3 – 1 Broendby IF
FT Rangers 3 – 1 FC Midtjylland
FT Wolverhampton Wanderers 4 – 0 Pyunik
FT RCD Espanyol 3 – 0 Luzern
.
– Algeria – Ligue 1.
FT NA Hussein Dey 0 – 0 JS Kabylie
FT JS Saoura 1 – 0 CS Constantine
FT NC Magra 1 – 0 ASO Chlef
FT USM Alger 2 – 1 ES Setif
FT CA Bordj Bou Arreridj 1 – 1 CR Belouizdad
FT US Biskra 1 – 0 Paradou AC
:
RATIBA YA HII LEO IJUMAA:.
– England – Championship
21:45 Huddersfield Town
Fulham
.
– Spain – LaLiga Santander.
22:00 Athletic Bilbao
Barcelona
.
– Germany – Bundesliga.
21:30 FC Bayern München
Hertha BSC
.
– France – Ligue 1
21:45 Lyon
Angers
.
– Italy – Coppa Italia.
21:30 Genoa
Imolese Calcio
.
– Belgium – First Division A.
21:30 Club Brugge
Eupen
#Updates #fixtures
@Sokawaytz