
Aliyewahi kuwa mshambuliaji wa Simba Laudit Mavugo, mambo yameendelea kumnyookea nchini Zambia baada ya kuibuka mmoja wa wafungaji bora wa ligi kuu
Mshambuliaji huyo wa Napsa Stars FC, ametwaa kiatu cha dhahabu akifunga mabao 10 sawa na Austin Muwowo na Adam Zikiru Adams
Mavugo alishindwa kuwika wakati akiitumikia Simba hapa nchini, lakini mambo yamemnyookea huko Zambia
Mavugo alikuwemo kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Burundi kilichoshiriki fainali za Afcon 2019, hata hivyo hawakuvuka hatua ya makundi


























Mchezaji huyo wa zamani wa Liverpool mwenye miaka 29 amewasili nchini Uturuki ili kukamilisha usajili wake katika klabu hiyo ikiwa ni baada ya kuachiwa huru na Liverpool

