Ukanda wa Kaskazini mwa Afrika waendelea kutoa Idadi kubwa ya Vilabu.. :

✍️ Katika hatua ya 32 ikitambulika Kama Raundi ya Kwanza ya Klabu Bingwa Afrika, Kama kawaida Ukanda wa Kaskazini mwa Afrika umeendelea kutoa Idadi kubwa ya Vilabu..
:
👉 North Africa – 9
Al-Nasr, Raja Casablanca, JS Kabylie, USM Alger, Al-Ahly, Zamalek, ES Sahel, Wydad Casablanca, Esperance.
:
👉 Southern Africa – 9
Petro de Luanda, Mamelodi Sundowns, Côte d’Or, Zesco, FC Platinum, UD Songo, Agosto, Green Eagles, Fosa Juniors.
:
👉 West Africa – 6
Horoya AC, ASC Kara, Enyimba, Generation Foot , Asante Kotoko, FC Nouadhibou.
:
👉 Central Africa – 4
AS Vita, Cano Sport, Elect-Sport, TP Mazembe.
:
👉 CECAFA (EAST AFRICA) – 4
Al-Hilal, Gor Mahia, KCCA, Young Africans.
#TotalCAFCL #CAFCL #CAFCLUpdates
@Sokawaytz

Ratiba klabu bingwa africa…raundi ya kwanza

👉 Ratiba ya Raundi ya Kwanza ya Michuano ya Klabu Bingwa Afrika… Mechi za Mkondo wa Kwanza kupigwa Septemba 13-15 na mechi za Marudiano kupigwa Septemba 27-29 Mwaka huu!.
:
Al-Nasr SC 🇱🇾 vs. 🇲🇦 Raja Casablanca

JS Kabylie 🇩🇿 vs. 🇬🇳 Horoya AC
Elect Sport 🇹🇩 vs. 🇹🇳 Espérance Tunis
Enyimba FC 🇳🇬 vs. 🇸🇩 Al Hilal Club
Cano Sport 🇬🇶 vs. 🇪🇬 Al Ahly SC
USM Alger 🇩🇿 vs. 🇰🇪 Gor Mahia FC

Asante Kotoko SC 🇬🇭 vs. 🇹🇳 Etoile Sahel
ASC Kara 🇹🇬 vs. 🇨🇩 AS Vita Club

Generation Foot 🇸🇳 vs. 🇪🇬 Zamalek SC
FC Nouadhibou 🇲🇷 vs. 🇲🇦 Wydad AC
Petro Atletico 🇦🇴 vs. 🇺🇬 KCCA FC
Cote d’Or 🇸🇨 vs. 🇿🇦 Mamelodi Sundowns
Young Africans 🇹🇿 vs. 🇿🇲 ZESCO United
FC Platinum 🇿🇼 vs. 🇲🇿 UD Songo
Green Eagles 🇿🇲 vs. 🇦🇴 Primeiro de Agosto
Fosa Juniors 🇲🇬 vs. 🇨🇩 TP Mazembe
#TotalCAFCL #CAFCL
@Sokawaytz

Ratiba kombe la shirikisho ..raundi ya kwanza

👉 Ratiba ya Raundi ya Kwanza ya Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika… Mechi za Mkondo wa Kwanza kupigwa Septemba 13-15 na mechi za Marudiano kupigwa Septemba 27-29 Mwaka huu!.
:
FC ESAE 🇧🇯 vs 🇧🇫 Salitas FC
Ittihad Tripoli 🇱🇾 vs 🇲🇦 HUS Agadir
AS Pelican 🇬🇦 vs 🇳🇬 Enugu Rangers
Malindi SC 🇹🇿 vs 🇪🇬 Al Masry SC

Ashanti Gold SC 🇬🇭 vs 🇲🇦 RS Berkane
Bolton City 🇲🇺 vs 🇿🇲 Zanaco FC

Maranatha Fiokpo 🇹🇬 vs 🇲🇱 Djoliba AC
CR Belouizdad 🇩🇿 vs 🇪🇬 Pyramids FC
Paradou AC 🇩🇿 vs 🇹🇳 CS Sfaxien
Santoba FC 🇬🇳 vs 🇨🇮 FC San Pedro
TS Galaxy 🇿🇦 vs 🇲🇬 CNaPS Sport
AS Kigali 🇷🇼 vs 🇺🇬 Proline FC

Azam FC 🇹🇿 vs 🇿🇼 Triangle United
Al-Khartoum 🇸🇩 vs 🇨🇩 DC Motema Pembe
Young Buffaloes 🇸🇿 vs 🇿🇦 Bidvest Wits
Bandari FC 🇰🇪 vs 🇹🇳 US Ben Guerdane
#TotalCAFCC #CAFCC
@Sokawaytz

BAADA YA DK 90 ZA SIMBA NA UD DO SONGO HAPA TAIFA.

Na
Jose Jose
Baada ya KMC juzi jana haikuwa kazi ndogo kwa Azam na Yanga kuipeperusha vyema bendera ya Taifa baada ya kushinda michezo yao ya marudiano,Azam waliwika pale Chamanzi baada ya kuwasukuma Fasil Kenema kwa ushindi wa 3-2 huku Yanga wao wakiuwasha kule Gaborone kunako Dimba la Botswana National Stadium baada ya ushindi wa goli moja bila na kuwasukuma nje wenyeji wao Township Rollers ya nchini humo.

Kwanini?

Commitment, Discipline and Dedication.

Leo Simba wamepoteza nyumbani mbele ya washabiki wao tena katika ardhi yao dhidi ya Ud do Songo ya Mozambique. Baada ya sare ya kutofungana wiki iliyopita pale msumbiji hatimaye jamaa wamekuja kuamua game hapa Taifa na kuwaondosha Simba kwenye mashindano.

MBINU ZA MWALIMU
Prof.Aussems alianza na Wawa na Nyoni kwenye eneo la beki wa kati huku pembeni akimchezesha Gardiel na Shomari wakati wa kumlinda Manula ambaye ni dhahiri kuwa hakuwa na match fitness. Kwa Shomari sina swali,he was good na alitimiza kazi yake effectively. Makosa ya Wawa nilisha zungumza ni mengi mno wakati wa kujilinda na anam overwork Nyoni. Wawa hajui kuji position na hilo ndio tatizo lake kubwa.Hali hii iliyumbisha safu ya ulinzi ya Simba na ikasababisha wenzake kwenda kufanya marking kwa makosa kutokana na uzembe wake wa kuzurura bila kuzingatia nidhamu ya nafasi.Why Gardiel instead of Mohammed? Hapa ndipo Prof.alipotu danganya.Hatukuwa na haja ya kuanza na Gardiel ambaye huwa ana mistakes nyingi za kujisahau pia cross zake hazipo accurate kama alivyo Mohammed. Ukiwa nyumbani first plan is to attack, mfumo ulimuhitaji zaidi Tshabalala ambae ni mzuri kwenye kupandisha timu, ana cross za uhakika pia anawahi kurudi tofauti na huyu rafiki yangu ambaye akienda hadi apigiwe kelele.Nyoni namsifu yupo vizuri na aliwajibika pia alibeba msalaba wa Wawa mpaka mwisho wa game.Ule ndio ukomavu wenyewe.

Shiboub, Deo Kanda,Kahata na Chama ambao walisimama kama viungo kumchezesha Kagere huku wakilindwa na Mkude ambaye alikuwa deep akilinda ngome yake na wale wahuni wa Ud do Songo wakafanikwa kumuweka kati mara kadhaa.Ukitaka kushambulia lazima umiliki mpira.Hii ndio kanuni ya kushambulia.Mfumo ulimuhitaji zaidi Dilunga kwenye first half ambaye angekuja kupokelewa na Kahata Nyambura lakini mwalimu alifanya kinyume.Kahata ni mzuri katika kuchezea mpira lakini sio mwepesi ku create chance na kuachia kama alivyo Dilunga. Square pass nyingi zilizokuwa zikipigwa pale kati zilichelewesha timu ambayo ilikuwa na uchu wa kupata bao la mapema ambalo hali iliyowafanya wacheze kwa pressure kubwa baada ya hilo kishindikana na opponents kuwa win kisaikolojia na kimbinu.Utulivu ulikosekana hasa baada ya makosa ya marking yaliyotendeka na wageni kujipatia bao.Uzembe wa ulianzia kwa Mkude hadi Wawa.

MAANDALIZI
Kipengele muhimu hiki kwa ajili ya kusaka ushindi.Ni lazima timu iandaliwe kimbinu,kiufundi na kisaikolojia.Kwamba we are at home,tunapaswa kufanya nini ili tushinde,hii ni mechi ya aina gani na tukishindwa itakuwa na advantage gani.Ilikuwa ni lazima Ud do Songo waingie kwa tahadhari maana wapo ugenini na wanacheza na timu kubwa kama Simba.Lakini hakukuwa na sababu ya Simba kuingia kwa kuwabeza wale wageni wakijua wameshamaliza mchezo kabla hata ya game.Walitakiwa kujengwa vizuri kisaikolojia ili wacheze kwa ari na kwa kujituma zaidi huku wakizingatia nidhamu na kupunguza makosa kadhaa ambayo mwishowe yaliwa athiri.Wachezaji wameingia kwa pressure kubwa na kuchanganyikiwa zaidi baada ya kufungwa kunako dakika 15 za kipindi cha kwanza.Niliamini baada ya kwenda mapumziko watatulia maana mwalimu atakuwa amewatuliza vyumbani lakini walirudi kwa pressure ile ya mwanzo na kuwapa wageni nafasi ya kuwatawala in mentality

UTIMAMU
Hakukuwa na sababu ya kumchezesha Manula ambaye hakuwa na match fitness pamoja Wawa Paschal. Wale wanaonekana kabisa hawaja recover vizuri na wanacheza kwa tahadhari.Mwalimu na benchi lake wana lazimika kubeba lawama hizi.Yupo Gerson Vieira ambaye ni beki wa kati mbrazil Simba walimsajili kwa ajili ya mechi hizi na si kucheza dhidi ya Namungo tu,Beno alikuwa fit na Ali perform vizuri dhidi ga Azam lakini leo hakucheza,Haya ni baadhi ya mambo yanayo dhihirisha uzembe na kui cost timu.

Mwalimu alichelewa kuwatuliza wachezaji wake mapema na waliendelea kucheza kwa pressure huku wakishibdwa kuwaheshimu wapinzani wao.

Ni wakati wa Simba kujitathmini upya,

Ligi imeanza hivyo nadhani itakuwa na wakati mzuri wa kujiweka sawa.

Mwisho
Tags @simbasctanzania
Powered by @bikotanzania

Allaince Fc yamfuta kazi kocha wao…

Ikiwa ni mechi moja tu tangu kuanza kwa ligi kuu ya VPL Klabu ya @alliancefootballclub2011 Jana ime mfuta kazi KOCHA wake Athumani bilali na kuingia mktaba mpya na kocha Habibu Kondo. .
.
Taarifa zinadai uongozi umefikia uamuzi huo baada ya Mkurugenzi wa shule za Alliance hakuridhishwa na maandalizi ya Kikosi cha timu hiyo wakati wa Pre season na michezo kadhaa yakirafikia ambayo timu hiyo ilichezwa. hivyo ikampendeza kumuwajibisha kocha athuma bilali.
.
.
Klabu ya Alliance ilimuajiri Athumani bilali kabla yakuanza kwa msimu huu ambapo alichukua nafasi ya Malala hamisini ambae nae pande zote mbili zilikubaliana kuvunja mkataba.

@habarizamichezo

Timu zilizofuzu hatua ya kwanza Kombe la shirikisho barani Afrika.

FC ESAE vs Salitas FC
Ittihad Tripoli vs HUS Agadir
AS Pelican vs Enugu Rangers
Malindi SC vs Al Masry SC
Ashanti Gold SC vs RS Berkane
Bolton City vs Zanaco FC
Maranatha Fiokpo vs Djoliba AC
CR Belouizdad vs Pyramids FC
Paradou AC vs CS Sfaxien
Santoba FC vs FC San Pedro
TS Galaxy vs CNaPS Sport
AS Kigali vs Proline FC
Azam FC vs Triangle United
Al-Khartoum vs DC Motema Pembe
Young Buffaloes vs Bidvest Wits
Bandari FC vs US Ben Guerdane

Kilala kheri @azamfcofficial
@malindisports

Matokeo ya michezo ya jana

#CafChampionsLeague
FT Gor Mahia 5 – 1 Aigle Noir
FT Mekelle Kenema 1 – 1 Cano Sport
FT Elect-Sport 2 – 0 Cercle Mberi Sportif
FT Asante Kotoko 2 – 0 Kano Pillars
FT Enyimba International FC 5 – 0 Rahimo
FT Pamplemousses 1 – 1 SOM Fosa Juniors FC
FT Petro de Luanda 2 – 0 Matlama
FT AS Vita Club 1 – 0 UMS de Loum
FT Al-Nasr Club of Benghazi 3 – 1 Tempete Mocaf
FT Horoya 1 – 0 Stade Malien Bamako
FT Kara 1 – 0 Buffles de Borgou
FT Nouadhibou 1 – 0 SOA
FT Al Hilal Omdurman 0 – 0 Rayon Sports
FT Simba SC 1 – 1 UD Songo
FT USM Alger 3 – 1 SONIDEP
:
#CafConfederationCup
FT Louis Suns United 0 – 1 TS Galaxy FC
FT Galaxy 1 – 0 Bolton City
FT LISCR 0 – 0 Maranatha Fiokpo
FT Al-Ittihad 2 – 0 USGN
FT Amarat United 0 – 0 Ben Guerdane
FT Stade Renard 0 – 2 Daring Club Motema Pem.
:
#VodacomPrimierLeague
FT Mwadui FC 1-0 Singida United
FT Lipuli FC 3-1 Mtibwa Sugar
:
#EnglandPremierLeague
FT AFC Bournemouth 1 – 3 Manchester City
FT Tottenham Hotspur 0 – 1 Newcastle United
FT Wolverhampton Wande… 1 – 1 Burnley
:
#SpainLaLigaSantander
FT Deportivo Alaves 0 – 0 RCD Espanyol
FT Mallorca 0 – 1 Real Sociedad
FT Leganes 0 – 1 Atletico Madrid
FT Barcelona 5 – 2 Real Betis
:
#ItalySerieA
FT Udinese 1 – 0 Milan
FT Roma 3 – 3 Genoa
FT Cagliari 0 – 1 Brescia
FT Torino 2 – 1 Sassuolo
FT Verona 1 – 1 Bologna
FT SPAL 2 – 3 Atalanta
FT Sampdoria 0 – 3 Lazio
:
#GermanyBundesliga
FT RasenBallsport Leipzig 2 – 1 Eintracht Frankfurt
FT Hertha BSC 0 – 3 Wolfsburg
:
#FranceLigue1
FT Monaco 2 – 2 Nimes
FT Strasbourg 0 – 2 Rennes
FT Paris Saint-Germain 4 – 0 Toulouse
:
#NetherlandsEredivisie
FT RKC Waalwijk 0 – 3 ADO Den Haag
FT FC Utrecht 1 – 2 VVV-Venlo
FT PEC Zwolle 2 – 2 Sparta Rotterdam
:
#BelgiumFirstDivisionA
FT Standard Liege 2 – 1 Kortrijk
FT Royal Excel Mouscron P… 2 – 0 Eupen
:
#SouthAfricaPremierLeague
FT Baroka FC 0 – 0 Bloemfontein Celtic
FT Stellenbosch FC 0 – 0 Maritzburg United
:
#TunisiaLigueI
FT US Monastir 2 – 1 CS Sfaxien

RATIBA YA SOKA LEO
:
Italy – Serie A
21:45 Inter vs Lecce

Prepared by @officialchristz
Powered by @bikotanzania

Design a site like this with WordPress.com
Get started