WACHEZAJI WA SIMBA WAKOMALIA KUTAKA KULIPWA FEDHA ZAO ZA USAJILI

Story za vijiweni: WACHEZAJI WA SIMBA WAKOMALIA KUTAKA KULIPWA FEDHA ZAO ZA USAJILI : Sakata la baadhi ya nyota wa Simba ambao hawajalipwa hela zao za usajili limeshika kasi sana. : 👉 Kuna tetesi nyingi sana vijiweni. Inadaiwa kuwa Chama ameshinikiza kulipwa stahiki zake. Wengine ni Gadiel, Kahata, Nyoni na Mkude. Tetesi hizi zina ukweli …

Kagere apumzishwa timu.ya taifa

Mshambuliaji wa Simba Meddie Kagere huenda asiwe sehemu ya kikosi cha Rwanda ambacho kitacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Tanzania Oktoba 14 Kagere ameendelea kujifua na Simba ambapo mpaka jana hakuwa amepokea wito kutoka shirikisho la Soka nchini Rwanda Timu hiyo huenda ikatumia wachezaji wake wanaocheza ligi za ndani kama ilivyofanya Tanzania Kagere amesema anafahamu …

Mkude afanya yake ..rungu la.simba kumshukia

Uongozi wa klabu ya Simba utaweka wazi hatma ya kiungo wake Jonas Mkude ambaye anatuhumiwa kwa makosa ya utovu wa Nidhamu Inaelezwa suala la Mkude tayari limeshajadiliwa na Kamati ya Nidhamu ya klabu hiyo ambapo mwenyewe alipewa nafasi ya kujitetea Hata hivyo uongozi wa Simba umeona sio vyema kutoka hukumu wakati huu ambao kiungo huyo …

Simba kucheza na vilabu vitatu tofauti mechi za kirafiki

Klabu ya Simba itacheza Michezo ya Kirafiki na Vilabu vya BANDARI FC ya kenya ,MASHUJAA UNITED ya Kigoma na AIGLE NOIR ya Burundi. : Simba itaanza kucheza na Bandari katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es laam na itaondoka Dar es laam na kuwafata Mashujaa pamoja na Aigle Noir ya Burundi huko kigoma : Michezo …

Kahata apoteana simba hajui acheze namba gapi

Kiungo Francis Kahata alianza maisha yake vyema katika klabu ya Simba, akifunga moja ya mabao kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Azam Fc ambao Simba ilishinda kwa mabao 4-2 Tangu mchezo huo, Kahata amekuwa na wakati mgumu kupata nafasi kwenye kikosi cha kocha Patrick Aussems Kupona kwa Ibrahim Ajib na kiwango kizuri kinachoonyeshwa …

Neema yaendelea kumiminika msimbazi

Kocha Mkuu wa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Patrick Aussems jana alichaguliwa kuwa Kocha Bora wa ligi hiyo kwa mwezi Septemba huku mshambuliaje wake, Miraji Athumani naye akishinda tuzo ya Mchezaji Bora Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Clifford Ndimbo, alisema jana kuwa Aussems na Miraji …

Simba mwendo mdundo mpaka ubingwa

Wakati wengine wakiutafuta ushindi kwa tochi, Simba ndo vinara wa ligi kuu wakishinda mechi zote nne walizocheza mpaka sasa Katika mechi hizo Simba imefunga mabao 10 na kuruhsu mabao mawili tu Watani zao Yanga hali yao ni tete baada ya hapo jana kulazimishwa sare ya mabao 3-3 na Polisi Tanzania inayonolewa na kiungo wa zamani …

Miraji na aussems..wataa tuzo za mwezi wa 9 VPL

– Kocha Mkuu wa klabu ya Simba SC, Patrick Aussems amechaguliwa kuwa Kocha Bora wa mwezi Septemba wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu wa 2019/20.. .. – Wakati huo huo. MSHAMBULIAJI wa Mabingwa hao Watetezi, Miraji Athumani amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Septemba wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) …

Design a site like this with WordPress.com
Get started