Simba sc yaendeleza. Ubabe yaichapa Azam. 1-0

Nani wa kuizuia Simba msimu huu? Ni swali ambalo timu za ligi kuu zinajiuliza kutokana na moto walioanza nao mabingwa hao watetezi leo wakiichapa Azam Fc bao 1-0 katika mchezo uliopigwa uwanja wa Taifa Wakicheza kwa kujiamini katika mchezo huo uliotawaliwa na ufundi mwingi pamoja na ubabe wa hapa na pale, alikuwa Meddie Kagere aliyepeleka …

TFF YAPANGUA MECHI YA SIMBA NA AZAM

✍na saboso Gin jr Kuelekea mechi ya Simba dhidi ya Azam Jumatano ya kesho, Bodi ya Ligi kupitia Shirikisho la Soka Tanzania (TPLB) imepangua ratiba ya mechi hiyo. Awali mechi ilipangwa kuchezwa saa 10 kamili katika Uwanja wa Taifa lakini baadaye ikapanguliwa na sasa itachezwa majira ya saa 11 za jioni. Uamuzi wa kubadili muda …

TFF YAPANGUA MECHI YA SIMBA NA AZAM

✍na saboso Gin jr Kuelekea mechi ya Simba dhidi ya Azam Jumatano ya kesho, Bodi ya Ligi kupitia Shirikisho la Soka Tanzania (TPLB) imepangua ratiba ya mechi hiyo. Awali mechi ilipangwa kuchezwa saa 10 kamili katika Uwanja wa Taifa lakini baadaye ikapanguliwa na sasa itachezwa majira ya saa 11 za jioni. Uamuzi wa kubadili muda …

SIMBA MECHI MBILI SIKU MOJA

✍na saboso Gin jr MASHABIKI wa Simba hivi sasa wana jeuri sana. Ukikaa pale klabuni Msimbazi utacheka sana. Jeuri yao imepitiliza hadi kufikia hatua ya kuitaka Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuwapangia wacheze mechi mbili kwa siku moja. Si unafahamu kwamba Jumatano ya wiki ijayo yaani Oktoba 23, mwaka …

Rekodi zaiweka simba pazuri dhidi ya Azam

Katika misimu miwili iliyopita, Simba imeweka rekodi bora ya kufanya vizuri dhidi ya Azam Fc katika michezo iliyozikutanisha timu hizo kwenye ligi Msimu uliopita Azam Fc iliambulia alama moja tu katika mchezo wa ligi kuu mzunguuko wa pili Kwenye mchezo wa mzunguuko wa kwanza Azam Fc ilipokea kichapo cha mabao 3-1, mabao ya Meddie Kagere …

Senzo atembelea TFF

Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba Senzo Mazingiza leo alipata nafasi ya kutembelea Ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) zilizoko Ilala jijini Dar es salaam Ziara hiyo ya kwanza tangu akabidhiwe majukumu ya klabu ya Simba, ilikuwa maalum kwa ajili ya kujitambulisha na kubadilishana mawazo na viongozi wa TFF Senzo ameanza majukumu …

Design a site like this with WordPress.com
Get started