Uongozi wa Klabu ya Yanga kupitia kwa afisa habari wao Hassan Bumbuli umesema umekua ukipokea maoni mengi kutoka kwa wanachama na mashabiki wao wakitaka kiungo wao wa zamani Mnyarwanda Haruna Niyonzima ambaye sasa anaichezea klabu ya AS Kigali arejeshwe katika kikosi chao.
Bumbuli amesema wameyafanyia kazi mapendekezo hayo na tayari upo mpango wa kumfuatilia Niyonzima huko aliko ili kuona kama bado yupo katika kiwango cha kuridhisha na iwapo wataridhika naye basi wataangalia taratibu za kumsajili.
#wapendasokaupdates



#England FA Cup



Nigeria ๐ณ๐ฌ 2-1 ๐ง๐ฏ Benin
