MAWILI YA KUFAHAMU KUTOKA YANGA ASUBUHI HII

-Kamati ya utendaji ya Yanga inaendelea kufanyia kazi CV zaidi ya 1000 zilizotumwa na makocha mbalimbali ili kupata kocha sahihi.
. . -Tunawashukuru sana wadhamini wetu ambao wameamua kuweka mzigo mezani na kusema sasa lipeni mishahara, tangu jana jioni suala la madai ya mishahara limekwisha. .
Antonio Nugaz
.
#wapendasokaupdates

Wahab Adam ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili ya kuitumikia klabu Asante katoko

Mchezaji wa klabu ya Asante Kotoko Wahab Adam ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili ya kuitumikia klabu Asante katoko.

Wahab alijiunga na klabu hiyo mwaka 2017 akitokea katika klabu ya Aduana Stars.

#SokaplaceUPDATES
@officialchristz @danirito_thomson

Tajiri kagoma

Bilionea wa Marekani Todd Boehly, ambaye ni miongoni mwa wamiliki wa Angeles Dodgers, anatafakari uwezekano wa kuinunua Chelsea, licha ya mmiliki wa klabu hiyo Roman Abramovich kusisitiza kuwa hana mpango wa kuiuza klabu hiyo, huku taarifa zikidai kwamba Bosi Abramovich ataki kuiuza Chelsea chini ya Pauni Bilion 3. :
#bakinasisi__
#NjooKwetu
#TupoNawePaleUlipo

Design a site like this with WordPress.com
Get started