TiIBOROHA MSUVA BADO YUPO YUPO DIFAA HAJAFANYA MAZUNGUMZO NA BENFICA

Dkt. Jonas Tiboroha ambaye ni meneja wa mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania na klabu ya Difaa El-Jadidi ya Morocco Saimon Msuva amesema kuwa hajazungumza na Chombo chochote cha habari kuhusu Mchezaji wake Saimon Msuva Kujiunga na Benfica ya ureno

Tiboroha amesema kuwa Mchezaji huyo hajasaini mkataba mpya na kikosi hicho kwa sasa kwakua bado anamkataba wake wa awali na Difaa ambao utaisha June 2020

#SokaplaceUPDATES

Ratiba Ya Soka Leo

:
👉EnglandPremier League
15:30 Liverpool vs Watford
18:00 Burnley vs Newcastle United
18:00 Chelsea vs AFC Bournemouth
18:00 Leicester City vs Norwich City
18:00 Sheffield United vs Aston Villa
20:30 Southampton vs West Ham United
:
👉EnglandChampionship
15:30 Birmingham City vs West Bromwich Albion
18:00 Barnsley vs Queens Park Rangers
18:00 Brentford vs Fulham
18:00 Bristol City vs Blackburn Rovers
18:00 Derby County vs Millwall
18:00 Leeds United vs Cardiff City
18:00 Nottingham Forest vs Sheffield Wednesday
18:00 Preston North End vs Luton Town
18:00 Stoke City vs Reading
18:00 Swansea City vs Middlesbrough
18:00 Wigan Athletic vs Huddersfield Town
:
👉SpainLaLiga Santander
15:00 Granada vs Levante
18:00 Real Sociedad vs Barcelona
20:30 Athletic Bilbao vs Eibar
23:00 Atletico Madrid vs Osasuna
:
👉Italy – Serie A
17:00 Brescia vs Lecce
20:00 Napoli vs Parma
22:45 Genoa vs Sampdoria
:
👉Germany – Bundesliga
17:30 1. FC Köln vs Bayer Leverkusen
17:30 Mainz 05 vs Borussia Dortmund
17:30 FC Bayern München vs Werder Bremen
17:30 Hertha BSC vs Freiburg
17:30 SC Paderborn 07 vs 1. FC Union Berlin
20:30 Fortuna Düsseldorf vs RasenBallsport Leipzig
:
👉France – Ligue 1
19:30 Metz vs Marseille
22:00 Angers vs Monaco
22:00 Toulouse vs Reims
22:00 Nimes vs Nantes
22:00 Amiens vs Dijon
22:00 Brest vs Nice
:
👉BelgiumFirst Division A
20:00 Royal Antwerp vs Eupen
22:00 Sporting Charleroi vs Cercle Brugge
22:00 Zulte Waregem vs St.Truiden
22:30 Genk vs Waasland-Beveren

👉International – FIFA Club World Cup
17:00 Al Hilal vs Esperance
20:30 Monterrey vs Al-Sadd
:
👉AfricaCECAFA Cup
13:30 Kenya vs Zanzibar
16:30 Sudan vs Tanzania
:
👉EgyptPremier League
20:30 Al Ahly vs Al Masry
:
👉KenyaPremier League
15:00 Kisumu All Stars vs Bandari
:
👉MoroccoBotola Pro
20:00 RSB Berkane vs Difaa El Jadida

Prepared by @officialchristz
#SokaplaceUPDATES
@danirito_thomson

Klabu ya @AlAhly 🇪🇬 imetangaza kunasa saini ya winga wa kimataifa wa Misri Mahmoud Kahraba

Klabu ya @AlAhly 🇪🇬 imetangaza kunasa saini ya winga wa kimataifa wa Misri Mahmoud Kahraba mwenye umri wa miaka (25) nyota huto amesaini mkataba wa miaka minne na nusu wa kuitumikia klabu hiyo akitokea nchini Ureno katika klabu ya Desportivo Das Aves.
#SokaplaceUPDATES

Vilabu vinavyopendwa sana katika Nchi hizo hapo chini kwa sasa

:
Ghana 🇬🇭 – Asante Kotoko
Egypt 🇪🇬 – Al Ahly
Tunisia 🇹🇳 – Espérance
South Africa 🇿🇦 – Kaizer Chiefs
Tanzania 🇹🇿 – Simba SC
Kenya 🇰🇪 – Gor Mahia
Zambia 🇿🇲 – Nkana
Nigeria 🇳🇬 – Enyimba

#SokaplaceUPDATES
👉Kofi Asied

Matokeo Ya Soka Jana

Kamata Matokeo Ya Soka Jana
:
👉EnglandChampionship
FT Charlton Athletic 2 – 2 Hull City
:
👉SpainLaLiga Santander
FT Deportivo Alaves 1 – 1 Leganes
:
👉GermanyBundesliga
FT Hoffenheim 2 – 4 Augsburg
:
👉FranceLigue 1
FT Lille 2 – 1 Montpellier
:
👉BelgiumFirst Division A
FT Kortrijk 1 – 2 Royal Excel Mouscron
:
👉Africa – CECAFA Cup
FT Djibouti 0 – 3 Eritrea
FT Burundi 0 – 1 Somalia
:
👉Morocco Botola Pro
FT Raja Beni Mellal 1 – 3 Hassania Agadir
:
Prepared by @officialchristz
#SokaplaceUPDATES
@danirito_thomson

Mason Greenwood ndiye mchezaji wa kwanza chini ya umri wa miaka 19 kufunga angalau mabao 3

Mason Greenwood ndiye mchezaji wa kwanza chini ya umri wa miaka 19 kufunga angalau mabao 3 kwa Man Utd katika msimu mmoja wa mashindano ya Ulaya tangu Wayne Rooney (3) afanye hivo msimu wa 2004/05.

Mason Greenwood is a special talent 💫

Design a site like this with WordPress.com
Get started