TABIA YA KUMEZA DAWA BILA KUPIMA ITAWATAFUNA MSIMBAZI

Na Junior wa Pastor

Nchi yetu ni yenye wajuaji wa mazoea kila mtu ni daktari ule mtindo wa kumshika mtu pembeni ya shavu na kuthibitisha ugonjwa wake sina uhakika kama ni njia sahihi ya kujua afya ya mtu ndio.

Tanzania pekee ndio watu hupima kiuno cha suruali kwa kutumuia shingo na si kuangalia namba ya kiuno ,kuna watu wanazeeka na hawajui namba ya viatu vyao maana wanapima kwa kuvaa na si kujua namba ya kiatu kinachomuenea.

Soka la Tanzania ni kama filamu ya Isidingo kila siku inazua jambo jipya , wekundu wa msimbazi waliona kujifunza kwa walioendelea ni jambo jema wakafanya hivyo na ndiyo klabu inayoendeshwa kisasa zaidi hapa nchini.

Kama huna redio au televisheni basi utaona ukipita bunju hata kwa bahati mbaya mbele ya magazeti utajionea tofauti ya mkutano wa simba na timu zingine hata mipango yao ni tofauti kabisa na vilabu vingingine hapa nyumbani , kongole kwa wana msimbazi wote.

Wamejua mgonjwa soka la bongo anapaswa kutibiwa na wameanza kumtibu lakini katika matibabu yao kuna maswali kidogo ndani yake tena yasipopata majibu ni hatari zaidi maana bado tunatibu pasipo kujua ugonjwa wetu ni upi lakini tuna dozi tayari .

Tumempokea Sven Vanderbroeck kama kawaida yetu kwa shangwe , akianzia taifa kutengeneza tangazo linalotazamika baadae tukamuona bunju ni sahihi kujua maeneo muhimu maana ndio kaingia nchi ya mswahili ambayo mkataba wa miaka miwili ni kama chai na chapati mbili ndio Maisha yetu.

Ulimsikia Haji Manara baada ya kuondoka Patrick Ausems ? Manara alisema hadharani kuwa Ausems aliwahi kupingana na uongozi juu ya upangaji wa kikosi kuhusu Dilunga na hata Miraji , hivi ni kweli Ausems alipaswa kupangiwa timu na akubali?

Simba mpya imetuleta Kocha msaidizi kabla ya kocha mkuu , Dhahiri vita ya Ausems na Masoud Djuma haikuwa fundisho japo ilizaa Simba ukawa (watetezi wa Masoud) kipindi kile.

Inaendelea
Prepared by @junior_wa_pastor
#SokaplaceUPDATES
@officialchristz @danirito_thomson

SUPER SATURDAY FOOTBALL ANALYSIS .

.
Prepared @danirito_thomson
.
Kutoka vijiweni huku mitaa ya soka streets, salamu nyingi kwenu wapenda soka, Tuongee kidogo kuhusu kilichojiri jana viwanja mbalimbali barani ulaya na kahawa zetu pembeni
.
Tuanzie kwa Super Frankie, pale Darajani, Bournemouth tangu wapande daraja 2015 nadhani ndio timu pekee imeshinda pale darajani mara mbili, mnaikumbuka ile 4-0 dhidi ya Sari?
.
Chelsea japo Rudiger amerudi ila bado tatizo kwenye defence yao ni zaidi ya centre back mmoja, ni ile collective game, jinsi gani timu inajishape ikiwa haina mpira, naamini hili litarekebishika, ila mbona Chelsea wanatengeneza nafasi nyingi tu, kuna utulivu ulipotea jana pale mbele, Helow somebody go and wake Frankie, mwambieni amkaa kikosi cha watoto hivi ni rahisi kupoteza morali kama wasipopata matokeo, do something
.
Liverpool are unstoppable, vijiweni huku sauti imeanza kuwa moja tu, “ili kombe lao”, lini tutakubaliana kwenye hili? Japokuwa kuna muda tuuheshimu mpira ila dah mbona sioni liverpool akianguka!, japo bado naamini liverpool atapoteza mechi, unbeaten ni ngumu sana, atapoteza tu.
.
Kabla ya December vijiweni tulisema Liver hana kikosi cha kurotate ila Klop akasema Shut up and watch, anarotate na wanashinda tu, nasikia Mo Salah scored with golf stick not left feet 😁, yule Minamino akisajiliwa pale ndani itakua kale kanyimbo “Gini Mini Mane Mo” 😁
.
Barca nae ana draw na Sociedad pale Anoeta Stadium japo kweli uwa ni mahala pagumu ila dah hii Barca sio ile kabisa, sioni pressing, na ata ukiwapress wanapata shida sana kutoroka, next ni El Classico
.
Gattuso the Rhino, jana pale Naples amekaribishwa na kipigo na uwanja uliojaa viti kuliko washabiki, wale Parma ni moja kati ya timu bora kwenye counter attacks kasi ya Gervinho na kinda Dejan Kulusevski kutoka La Masia ya Italy pale Atalanta wana hatari, zile counter ndizo zilizomuua Gattuso na Napoli plus kuumia kwa Commander in Chief Koulibaly, sema sio kesi till next time Gattuso unao muda wa kuniaminisha ata mimi kwanini hasa wewe baada ya Carlo Anceloti!?
.
Leo sasa, Big Duncs vs Ole, Jose vs Ustadhi Nuno, Pep akiendelea kupanda mlima vs Ljungberg, mikeka haipo salama sana leo.

Ratiba Ya soka Leo

:
👉EnglandPremier League
17:00 Manchester United vs Everton
17:00 Wolverhampton Wanderers vs Tottenham Hotspur
19:30 Arsenal vs Manchester City
:
👉SpainLaLiga
14:00 Getafe vs Real Valladolid
16:00 Celta Vigo vs Mallorca
18:00 Espanyol vs Real Betis
20:30 Sevilla vs Villarreal
23:00 Valencia vs Real Madrid
:
👉FranceLigue 1
17:00 Bordeaux vs Strasbourg
19:00 Lyon vs Rennes
23:00 Saint-Etienne vs Paris Saint-Germain
:
👉GermanyBundesliga
17:30 Wolfsburg vs Borussia Moenchengladbach
20:00 Schalke 04 vs Eintracht Frankfurt
:
👉ItalySerie A
14:30 Hellas Verona vs Torino
17:00 Bologna vs Atalanta
17:00 Juventus vs Udinese
17:00 AC Milan vs Sassuolo
20:00 Roma vs SPAL 2013
22:45 Fiorentina vs Inter
:
👉NetherlandsEredivisie
14:15 FC Emmen vs Sparta Rotterdam
16:30 Feyenoord vs PSV Eindhoven
18:45 AZ Alkmaar vs Ajax
18:45 Heracles vs FC Utrecht
:
👉BelgiumFirst Division A
16:30 Standard Liege vs Anderlecht
20:00 Club Brugge vs KV Mechelen
22:00 Oostende vs Gent
:
👉MoroccoBotola Pro
17:00 Rapide Club Oued Zem vs Raja Casablanca
19:00 Wydad Casablanca vs FAR Rabat
:
👉CECAFACup
13:30 Somalia vs Eritrea
16:00 Uganda vs Djibouti
:
👉EgyptPremier League
15:30 FC Masr vs Ismaily SC
18:00 Smouha SC vs Aswan FC
29:30 Al Ahly vs El Hodood
:
👉KenyaPremier League
14:00 KCB vs Wazito FC
15:00 Kariobangi Sharks vs Posta Rangers
15:00 Nzoia Sugar FC vs Western Stima
15:00 Ulinzi Stars vs Kakamega Homeboyz
16:15 Tusker FC vs AFC Leopards
:
👉MoroccoBotola Pro
17:00 Rapide Club Oued Zem vs Raja Casablanca
19:00 Wydad Casablanca vs FAR Rabat
:
👉TunisiaLigue 1
16:00 CS Hammam-Lif vs US Tataouine
16:00 JS Kairouanaise vs CA Bizertin
16:00 Sportif de Chebba vs Ben Guerdane
16:00 Stade Tunisien vs Etoile du Sahel
20:00 Club Africain vs CS Sfaxien
:
Prepared by @officialchristz
#SokaplaceUPDATES
@danirito_thomson

Matokeo Ya Soka Jana

👉EnglandPremier League
FT Liverpool 2 – 0 Watford
FT Burnley 1 – 0 Newcastle United
FT Chelsea 0 – 1 AFC Bournemouth
FT Leicester City 1 – 1 Norwich City
FT Sheffield United 2 – 0 Aston Villa
FT Southampton 0 – 1 West Ham United
:
👉EnglandChampionship
FT Birmingham City 2 – 3 West Bromwich Albion
FT Barnsley 5 – 3 Queens Park Rangers
FT Brentford 1 – 0 Fulham
FT Bristol City 0 – 2 Blackburn Rovers
FT Derby County 0 – 1 Millwall
FT Leeds United 3 – 3 Cardiff City
FT Nottingham Forest 0 – 4 Sheffield Wednesday
FT Preston North End 2 – 1 Luton Town
FT Stoke City 0 – 0 Reading
FT Swansea City 3 – 1 Middlesbrough
FT Wigan Athletic 1 – 1 Huddersfield Town
:
👉SpainLaLiga
FT Granada 1 – 2 Levante
FT Real Sociedad 2 – 2 Barcelona
FT Athletic Bilbao 0 – 0 Eibar
FT Atletico Madrid 2 – 0 Osasuna
:
👉ItalySerie A
FT Brescia 3 – 0 Lecce
FT Napoli 1 – 2 Parma
FT Genoa 0 – 1 Sampdoria
:
👉GermanyBundesliga
FT FC Köln 2 – 0 Bayer Leverkusen
FT Mainz 05 0 – 4 Borussia Dortmund
FT FC Bayern München 6 – 1 Werder Bremen
FT Hertha BSC 1 – 0 Freiburg
FT SC Paderborn 07 1 – 1 1. FC Union Berlin
:
👉FranceLigue 1
FT Metz 1 – 1 Marseille
FT Angers 0 – 0 Monaco
FT Toulouse 0 – 1 Reims
FT Nimes 0 – 1 Nantes
FT Amiens 1 – 1 Dijon
FT Brest 0 – 0 Nice
:
👉NetherlandsEredivisie
FT ADO Den Haag 1 – 1 FC Groningen
FT Fortuna Sittard 3 – 2 RKC Waalwijk
FT VVV-Venlo 1 – 2 PEC Zwolle
FT FC Twente 0 – 3 Vitesse
:
👉BelgiumFirst Division A
FT Royal Antwerp 1 – 0 Eupen
FT Sporting Charleroi 3 – 0 Cercle Brugge
FT Zulte Waregem 5 – 1 St.Truiden
FT Genk 4 – 1 Waasland-Beveren
:
👉AfricaCECAFA Cup
:
FT Kenya 1 – 0 Zanzibar
FT Sudan 0 – 0 Tanzania
:
👉KenyaPremier League
FT Kisumu All Stars 0 – 2 Bandari
:
👉TunisiaLigue I
FT US Monastir 0 – 0 AS Slimane
:
Prepared by @officialchristz
#SokaplaceUPDATES
@danirito_thomson Oostende

Mlinzi wa kulia wa klabu ya Yanga SC Paul Boxer ameanza mazoezi na kikosi cha klabu hiyo.

Mlinzi wa kulia wa klabu ya Yanga SC Paul Boxer ameanza mazoezi na kikosi cha klabu hiyo.

Hii leo amesherekea siku yake ya kuzaliwa pamoja na David Molinga aliyezaliwa siku kama ya leo miaka kadhaa iliyopita.

Happy Birthday Vijana
David Molinga
Paul Boxer
#SokaplaceUPDATES

Mechi Ya Kisasi Kwa Chelsea Leo Au

Mechi Ya Kisasi Kwa Chelsea Leo Au ______?
.
Chelsea Vs Bournemouth
🏆 Premier league
🏟️ Stamford Bridge Stadium
⏰ 18:00 pm
:
:
Nondo 1 🔨 ✓ Mara Ya Mwisho Chelsea Kukatana Na Bournemouth ilikuwa Januari 30th, msimu uliopita katika dimba la Vitality, Chelsea aliangamia goli 4-0 dhidi ya Bournemouth Asante kwa magoli ya Joshua King ⚽⚽, D. Brooks ⚽, C. Daniels ⚽.
.
Leo Je darajani Nini kitatokea_________?
.
#bakinasisi__ #NjooKwetu #TupoNawePaleUlipo

Design a site like this with WordPress.com
Get started