
Nlichikiona jana kwenye mchezo wa ligi kuu England kati ya Arsenal dhidi ya Manchester City.
.
.
1: Ubora wa KDB, kipindi cha kwanza uliamua mechi 🙌👏 kocha wa Arsenal, alitakiwa aje na plan ya kumzuia KDB. Torreira +Guendouzi, walikuwa bora kwenye kucheza kuliko kumzuia KDB.
.
.
2 : KDB, alikuwa bora kwenye kuwatanua mabeki wa pembeni wa Arsenal, kuacha mashimo na Rahim, kutumia nafasi hizo 😊👂.
.
.
3: Nafikiri kocha wa Arsenal, angerudia mechi ya Manchester United dhidi ya City, McTommy, alivomzuia KDB, asiwe na madhara kwa kufanya man marking 🤝.
.
.
4: Klopp,alifanikiwa kwa hilo kumzuia KDB, kwa kumpa majukumu Fabinho, mchezaji bora ni lazima uje na mpango kazi wa kumzuia. .
Prepared by @azizi_mtambo_15
#SokaplaceUPDATES
@officialchristz