
#VPLUpdates | Singida Utd Yatambulisha Wapya |
:
Timu ya Singida Utd hii leo kupitia ukurasa wao wameweza kuwatambulisha Wachezaji watatu watakao ungana na timu hiyo dirisha hili dogo la usajili, kiungo Athuman Iddy Chuji ni mmoja wapo.
:
Waliotambulishwa ni :
✓ Athuman Iddy Chuji aliyekuwa mchezaji wa Coastal Union.
✓ Six Mwasekaga kutoka Alliance .
✓ Ame Ally (Ame zungu) aliyekuwa mchezaji wa Kagera sugar

:
#bakinasisi__ #NjooKwetu #TupoNawePaleUlipo
Aliyewahi kuwa kocha mkuu wa Yanga “Papaa”Mwinyi Zahera yu mbioni kutua kunako klabu ya Zambia “Buildcom”, sio yeye tu bali na msaidizi wake Noel Mwandila watakuwa wote kunako klabu hiyo.

:

:



