
Ofisa habari wa R.Shooting Masau Bwire azungumza haya juu ya maneno yanayo ilaum klabu ya R.Shooting kwamba kwanini mchezaji asaini sehem ambayo siyo sahii au Ofisi hazipo??.
.
.
“Miongoni mwa timu zinazomiliki ofisi zake, si ya kupanga, ni Ruvu Shooting.
Tuna ofisi nzuri sana, ina kila kitu, ni nzuri mno, hivyo wanaodhani Ruvu Shooting haina ofisi, wazo hilo futa kabisa.
Mmeongea sana kuhusu saini ya kisiga ndani ya gari nawatazama tu, usilolijua litakusumbua ni vizuri ukaachana nalo, ukiling’ang’ania, litakutoa roho!
.
.
Sisi wataalamu wa vita, ukiwa kwenye mapambano, hupaswi hata sekunde moja kumpatia nafasi adui, ukizubaa tu kidogo, umepigwa!
.
.
Kwani kinachotakiwa ni saini au ofisi?
.
.
Kukamilisha usajili wa mchezaji kwenye mamlaka husika unapeleka ofisi au fomu iliyosainiwa?
.
.
Tungekuwa tunapeleka ofisi, mbona ingekuwa raha sana kwetu, na aibu kwa wengine, maana kuna timu ofisi zao pazia ni viroba na viti ni mikeka tena iliyochakaa!
.
.
Nyie, acheni kabisa!