
Kibwana Shomari Ndiye shujaa Wa Mtibwa Sugar siku ya Leo baada ya kufunga bao la kusawazisha Dakika ya mwisho ya mchezo lakini pia akifunga Penati ya mwisho kwa Mtibwa Sugar na kuwafanya wakata miwa hao kutinga hatua ya fainali ya michuano ya kombe la Mapinduzi mjini Unguja.
Deus Kaseke alitangulia kuipatia Yanga bao la kuongoza kipindi cha kwanza ambalo lilidumu mpaka Dakika ya 93 ikiwa ni Dakika ya mwisho ya muda Wa nyongoza Mtibwa wakisawazisha
Katika upigaji Wa matuta Mtibwa Sugar walifanikiwa kufunga Penati 4 huku Yanga wakifunga Penati 2
Kesho Ijumaa ni Simba vs Azam FC katika nusu fainali ya pili
#wapendasokaupdates
#Mapinduzicup2020









:












@danirito_thomson @officialchristz
Luc Eymael alizaliwa ubelgiji



👉VodacomPremierLeague