
Rais wa TFF Wallace Karia ameteuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati Maalum ya kufanyia marekebisho mfumo wa Vyama vya Mpira wa Miguu vya Kikanda barani Afrika (AZA),Wajumbe wengine wa Kamati hiyo itakayoongozwa na Rais wa CAF, Ahmad Ahmad ni Katibu Mkuu wa CAF, Mouad Hajji, Mario Gallavotti kutoka FIFA,na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Niger Hamidou Djibrilla.
Hongera @wallacekaria

@wilfredkidao @tanfootball
#wapendasokaupdates











