
Taarifa kutoka Uhispania zinasema kuwa Real Madrid wamefikia makubaliano ya kumsaini Reinier Jesus kutoka Flamengo – (Sky Italia.)
…
..
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 17 amemaliza vipimo na sasa atasaini mkataba miaka mitano huko Santiago Bernabeu.
…
…
Reinier alifunga mabao sita katika mechi 14 alizocheza Flamengo mnamo 2019.






Mshambuliaji David Molinga wa Yanga, ni miongoni mwa nyota wawili wakimataifa wanaotarajiwa kuachwa na klabu hiyo wakati huu wa dirisha dogo la usaliji.

@danirito_thomson @officialchristz




–

