
DEAL DONE|.
.
Klabu ya Ajax🇳🇱 imeinasa saini ya Mshambuliaji wa klabu ya Galatasaray🇹🇷 raia wa Uholanzi Ryann Babel kwa mkopo hadi mwishoni mwa msimu.
.
Babel mwenye umri wa miaka 33 ni zao la shule ya soka ya Ajax aliitumikia klabu hiyo kwa kipindi cha miaka 9 kabla ya mwaka 2007 kutimkia nchini Uingereza kinako klabu ya Liverpool.
.
Alirejea Ajax mwaka 2012 kwa msimu mmoja ,msimu uliofuata alisaini kunako klabu ya Galatasaray🇹🇷 kwa mkataba wa miaka 3.
.
Babel ameitumikia Uholanzi takribani mechi 63.
.
Amewahi kuvitumikia Vilabu vya Liverpool,Al ain,Kasimpasa,Besiktas,Deportivo la Coruna na Fulham tangu aondoke Ajax mwaka 2013.


Wakati spurs imehusishwa na harakati za kumnasa Moussa Dembele na Edinson Cavani, Mourinho amesema kuwa yuko tayari kuwatumia wachezaji aliokuwa nao.
👉VodacomPrimierLeague



Muonekano wa uwanja wa Sokoine uliyopo Mbeya baada ya marekebisho.Ikumbukwe uwanja huu uliharibika kutokana na tamasha kubwa lililo fanyika katika uwanja huo siku ya mkesha wa #xmas 25/12/2019.#fullsokatzupdates




