MILAN KUINGILIA DILI YA BOATENG….

Baada ya kuonyesha nia ya kuhama Munich Jerome Boateng sasa anawindwa kwa ukaribu na baadhi ya vilabu kutoka barani ulaya …
….
Sky Sports inasema AC Milan na Arsenal, wote wapo kwenye njia moja katika mawindo ya kuinasa saini ya mchezaji huyo wa kimataifa wa Ujerumani.

Mabingwa wa Bundesliga Buyern wanataka ada ya uhamisho kati ya Pauni 13 milioni hadi ($ 17m)

Fabio Paratici amesema kuwa Beki wao Daniel Rugani hataondoka Turin kipindi hiki

Mkurugenzi wa michezo katoka klabu ya Juventus Fabio Paratici amesema kuwa Beki wao Daniel Rugani hataondoka Turin kipindi hiki


Rugani amekuwa akitazamwa kwa ukaribu na timu kadhaa za Ligi Kuu ya Uingereza, lakini kukosekana kwa Giorgio Chiellini anaeuguza jeraha kunapunguza matumaini na uwezekano wa nyota huyo kuondoka,

Msimamo kila kundi baada ya Michezo ya leo kombe la shirikisho barani Afrika :

GROUP A
:
Pyramids FC ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ 12pts (+11) โœ”
Al Masry SC ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ 6pts (+0)
FC Nouadhibou ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ท 2pts (-7)
Rangers IFC ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ 2pts (-4)
:
GROUP B
:
RS Berkane ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ 7pts (+5)
DC Motema Pembe ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ 7pts (+0)
Zanaco FC ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ 6pts (+3)
ESAE FC ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฏ 1pt. (-8)
:
GROUP C :
Horoya AC ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ณ 8pts (+4)
Djoliba AC ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ 5pts (+0)
Al-Nasr SC ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡พ 5pts (-2)
Bidvest Wits 2pts (-2)
:
GROUP D
:
Hassania Agadir ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ 10pts (+7)
Enyimba FC ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ 6pts (+1)
Paradou AC ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ 4pts (-4)
FC San Pedro ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ 2pts (-4)
:
@nuhuadams_
#TotalCAFCC #SokaplaceUPDATES

Kamata Ratiba Ya Soka Leo

Kamata Ratiba Ya Soka Leo
:
๐Ÿ‘‰Mapinduzicup2020
20:15 Simba Sc vs Mtibwa Sugar
:
๐Ÿ‘‰Italy – Serie A
22:45 Parma vs Lecce
:
๐Ÿ‘‰International – Club Friendlies
17:30 Oostende vs St. Gallen
17:30 Sion vs Fehervar FC
18:00 Basel vs VfB Stuttgart
:
๐Ÿ‘‰Egypt – Premier League
18:00 Wadi Degla FC vs El Entag El Harby
:
Prepared by @officialchristz
#SokaplaceUPDATES
@danirito_thomson

Kamata Matokeo Ya Soka Jana

Kamata Matokeo Ya Soka Jana
:
๐Ÿ‘‰VodacomPrimierLeague
FT Tz Prisons Sc 2-3 Namungo FC
:
๐Ÿ‘‰England – Premier League
FT AFC Bournemouth 0 – 3 Watford
FT Aston Villa 1 – 6 Manchester City
:
๐Ÿ‘‰England – Championship
FT Cardiff City 0 – 0 Swansea City
:
๐Ÿ‘‰Spain – Copa del Rey
FT Cacereno 1 – 2 Eibar
FT San Sebastian de los Reyes 0 – 2 RCD Espanyol
FT UM Escobedo 0 – 5 Sevilla
FT Unionistas de1 – 1
Deportivo La Coruna
P (8-7)
FT AD Ceuta FC 0 – 4 Real Sociedad
FT Merida 1 – 4 Celta Vigo
FT Real Jaen 1 – 1 Levante
P(4-5)
FT Barakaldo 0 – 2 Rayo Vallecano
:
๐Ÿ‘‰Spain – Super Cup
FT Real Madrid * 0 – 0 Atletico Madrid
P (4-1)
:
๐Ÿ‘‰Italy – Serie A
FT Udinese 3 – 0 Sassuolo
FT Fiorentina 1 – 0 SPAL
FT Torino 1 – 0 Bologna
FT Sampdoria 5 – 1 Brescia
FT Verona 2 – 1 Genoa
FT Roma 1 – 2 Juventus
:
๐Ÿ‘‰France – Ligue 1
FT Saint-Etienne 0 – 2 Nantes
FT Dijon 1 – 0 Lille
FT Paris Saint-Germain 3 – 3 Monaco
:
๐Ÿ‘‰International – Friendlies
FT Sweden 1 – 0 Kosovo
:
๐Ÿ‘‰International – Club Friendlies
FT Gaziantep FK 1 – 0 Budapest Honved
FT Werder Bremen 3 – 1 Hannover 96
FT Hertha BSC 1 – 0 Pogon Szczecin
:
๐Ÿ‘‰Africa – Confederations Cup
FT Enugu Rangers 1 – 1 FC Nouadhibou
FT Pyramids FC 2 – 0 Al Masry
FT Al-Nasr 2 – 1 Bidvest Wits
FT Djoliba AC 0 – 0 Horoya AC
FT Motema Pembe 1 – 0 RSB Berkane
FT Zanaco 3 – 0 Esae FC
FT Enyimba 4 – 1 Paradou AC
FT Hassania Agadir 3 – 0 San Pedro
:
๐Ÿ‘‰Egypt – Premie League
FT El Hodood 0 – 0 Smouha SC
FT Misr El-Maqasa 1 – 1 ENPPI
FT Ismaily SC 2 – 1 El Geish
:
๐Ÿ‘‰Kenya – Premier League
FT Sofapaka 4 – 1 Nzoia Sugar FC
FT Bandari 1 – 2 Tusker FC
FT AFC Leopards 2 – 0 Wazito FC
FT Chemelil Sugar 0 – 3 KCB
FT Kakamega Homeboyz 2 – 1 Gor Mahia
FT Kisumu All Stars 0 – 2 Posta Rangers
FT Mathare United 2 – 1 Kariobangi Sharks
FT Ulinzi Stars 3 – 2 Western Stima
:
๐Ÿ‘‰Morocco – Botola Pro
FT Rapide Club Oued Zem 0 – 0 FUS Rabat
FT FAR Rabat 0 – 1 Youssoufia Berrechid
:
๐Ÿ‘‰South Africa – Premier League
FT Amazulu Durban 0 – 2 SuperSport United
FT Bloemfontein Celtic 4 – 2 Black Leopard
FT Kaizer Chiefs 3 – 0 Cape Town City FC
:
Prepared by @officialchristz
#SokaplaceUPDATES
@danirito_thomson

Frank Lampard akimzungumzia Pedro

Frank Lampard akimzungumzia Pedro, amesema “Ni mchezaji ambaye yupo kwenye mipango yetu, na tulianza msimu akiwa sehemu ya kikosi kabla ya kupata majeraha yaliyomweka nje kwa muda kidogo.”
.
“Kwasasa hapati nafasi kubwa ya kucheza kwasababu nafasi yake ina ushindani mkubwa na ninajua uwezo wake mkubwa unahitajika sana.”
.
“Uzoefu wake na uwezo wake wa kukimbia nyuma ya mabeki ni jambo ambalo linahitajika kwasababu soka linabadilika wakati wowote.”

Msimamo klabu Bingwa Barani Afrika baada ya Michezo ya Jana

Msimamo klabu Bingwa Barani Afrika baada ya Michezo ya Jana
:
GROUP A
:
TP Mazembe ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ 10pts (+5)
Zamalek SC ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ 7pts (+1)
ZESCO United ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ 2pts (-3)
Primeiro Agosto ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด 2pts (-3)
:
GROUP B
:
Etoile Sahel ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ 9pts (+4)
Al Ahly SC ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ 7pts (+2)
Al Hilal Club ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ 6pts (+0)
FC Platinum ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ผ 1pt. (-6)
:
GROUP C
:
Mamelodi Sundowns ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ 10pts (+5)
Wydad AC ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ 6pts (+2)
USM Alger ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ 2pts (-2)
Petro Atletico ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด 2pts (-6)
:
GROUP D
:
Espรฉrance Tunis ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ 10pts (+5)
Raja Casablanca ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ 7pts (+1)
JS Kabylie ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ 4pts (-2)
AS Vita Club ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ 1pt. (-4)
:
#TotalCAFCL #SokaplaceUPDATES

Design a site like this with WordPress.com
Get started