ALICHOKISEMA WILFRED KIDAO KATIKA MKUTANO NA WANAHABARI KUHUSU WAAMUZI

:
👉Ni changamoto sio Tanzania tu bali Afrika nzima lakini wenzetu wa Ulaya walikuja na goal technology na VAR
Matukio yanayopigiwa kelele sana ni ya Off-Side (kuotea) yanayoamuliwa na waamuzi wa saidizi (washika vibendera)
:
👉Gharama za kuwalipa waamuzi kwa msimu ni zaidi ya Tsh. 764M lakini kuwalipa wasimamizi wote wa mechi ni zaidi ya Tsh. 1.82B kwa msimu
:
👉Waamuzi wamelipwa katika raundi 12 zimebaki roundi 7 na tunaendelea kuwalipa
:
👉Presha kubwa imewekwa kwa waamuzi wiki hii waamuzi 7 wameomba wasipangwe kwenye mechi yoyote, utaona namna ambavyo presha inapelekea sasa waamuzi wanaanza kuingia woga. Waamuzi walioomba wasipangwe hawana tatizo wala hawajaharibu kwenye mechi yoyote.

VIA @shaffihdauda_

Nyota ya mshambuliaji wa kimataifa wa Gambia Musa Barrow inazidi kung’aa huko Italia kwenye klabu ya Bologna

Nyota ya mshambuliaji wa kimataifa wa Gambia Musa Barrow inazidi kung’aa huko Italia kwenye klabu ya Bologna
•
Barrow alijiunga na Bologna kwa mkopo akitokea Atalanta mwezi uliopita
•
Barrow amecheza mechi 4 mpaka sasa akiwa Bologna na tayari amefunga goli 3
•
Jana alifanikiwa kufunga goli 2 wakati Bologna ikishinda 3-2 dhidi ya Roma
•
Barrow ana umri wa miaka 21 pekee kwa sasa
•
Powered by @sports_lady_tz
#dailysporttz

Chelsea kumsajili golikipa wa Cameroon

Klabu ya Chelsea iko kwenye mpango wa kutaka kumsajili golikipa wa kimataifa wa Cameroon na klabu ya Ajax Andre Onana kama mbadala wa Kepa Arrizabalaga
•
Onana mwenye umri wa miaka 24 kwa sasa alijiunga na Ajax mwaka 2016 na amekuwa na kiwango bora kwa muda wote na pia mwaka huo huo 2016 alianza kuitumikia timu yake ya taifa ya Cameroon ambapo ameichezea jumla ya michezo 16 mpaka sasa
•
BIG YES / BIG NO
•
Powered by @sports_lady_tz
#dailysporttz

Ratiba ya hatua ya 32 bora ya michuano Nedbank Cup Afrika Kusini leo

•
Passion FC vs Real Kings- saa 7 mchana
•
Bloem Celtic vs AmaZulu -saa 7 mchana
•
Amavarara vs Super Eagles -saa 7 mchana
•
VUT vs Arrows saa – 7 mchana
•
Kaizer Chiefs vs Royal Eagles – saa 10 jioni
•
Sundowns vs SuperSport United – saa 12 jioni
•
Highlands Park vs Uthongathi saa 12:15 jioni
•
Powered by @sports_lady_tz
#dailysporttz

Ruvu Shooting Vs Yanga sc

Wenyeji wa mchezo huu Ruvu Shooting wataingia kwenye mchezo huu wakiwa na rekodi nzuri ya kufanya vizuri kwenye michezo yao mitatu ya mwisho ya ligi kuu Tanzania bara wakiwa nyumbani
•
Ruvu wamecheza michezo mitatu wameshinda miwili wakipata suluhu mchezo mmoja
•
Ruvu 0-0 Biashara United
Ruvu 3-1 Lipuli fc
Ruvu 1-0 Mtibwa Sugar
•
Ruvu Shooting wamefunga goli 4 wakifungwa goli 1 pekee, pia wataingia kwenye mchezo huu wakiwa na kumbu kumbu ya kupata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Yanga kwenye mchezo uliopita wa mzunguko wa kwanza
•
Ruvu wako nafasi ya 10 kwenye msimamo wa ligi mpaka sasa
•
Powered by @sports_lady_tz
#dailysporttz

Morocco wameibuka mabingwa wa Futsal AFCON kwa mara ya pili mfululizo

Morocco wameibuka mabingwa wa Futsal AFCON kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuipiga Egypt 🇪🇬 5-0 katika fainali ya mwaka huu

Angola 🇦🇴 pia ilichapa Libya 🇱🇾 2-0 katika kutafuta nafasi ya mshindi wa 3

Timu za taifa za Morocco, Misri na Angola zinafuzu Kombe la Dunia la Futsal litakalofanyika mwaka huu 2020 huko Lithuania

Kamata Ratiba Ya Soka Leo (Africa)

:
👉VodacomPrimierLeague
16:00 Yanga SC vs RuvuShooting
16:00 Allience Fc vs Mbao Sc
16:00 Tanzania Prisons vs Mbeya City
16:00 Ndanda Sc vs Namungo
16:00 Coastal Union vs Polisi Tz
16:00 Kagera Sugar vs Biashara United
16:00 Singida united vs Mwadui fc
16:00 Mtibwa sugar vs Lipuli Fc
16:00 Azam Fc vs KMC
:
👉TanzaniaFDL FDL
16:00 Majimaji vs Iringa United
16:00 Pan African vs Cosmopolitan
16:00 African Lyon vs Friends Rangers
16:00 Dodoma Jiji vs Boma FC
16:00 Njombe MJI vs Ihefu fc
16:00 Green Warriors vs Stand United
16:00 Gipco FC vs Gwambina FC
:
👉Algeria – Ligue 1
17:00 CA Bordj Bou Arreridj vs USM Bel Abbes
17:00 NA Hussein Dey vs ASO Chlef
17:00 NC Magra vs CR Belouizdad
18:00 USM Alger vs CS Constantine
19:00 JS Saoura vs AS Ain Mlila
19:45 MC Oran vs ES Setif
:
👉Egypt – Premier League
15:30 Al-Ittihad Al-Sakandary vs Aswan FC
18:00 FC Masr vs Smouha SC
22:30 Misr El-Maqasa vs El Entag El Harby
:
👉Kenya – Premier League
14:00 Bandari vs Kakamega Homeboyz
14:00 Nzoia Sugar FC vs Ulinzi Stars
14:00 Wazito FC vs Western Stima
15:00 Chemelil Sugar vs Posta Rangers
15:00 Mathare United vs Zoo FC
16:15 Sofapaka vs Gor Mahia
:
👉Tunisia – Ligue I
16:00 CS Hammam-Lif vs CA Bizertin
16:00 Etoile du Sahel vs Sportif de Chebba
:
👉Ghana – Premier League
18:00 King Faisal vs Sogakope Wafa
19:00 Inter Allies FC vs Legon Cities FC
:
Prepared by @officialchristz
#SokaplaceUPDATES
@danirito_thomson

Design a site like this with WordPress.com
Get started