Baada ya Mashindano ya kombe la mapinduzi kumalizika waandaaji wa mashindano hayo wamesema kila kitu kilienda vizuri

Baada ya Mashindano ya kombe la mapinduzi kumalizika waandaaji wa mashindano hayo wamesema kila kitu kilienda vizuri kwani walipewa sapoti kubwa na serikali ya Mapinduzi ya Nzanzibar katika kuandaa mashindano hayo.

Aidha kamati hiyo imesema haikupendezwa na kauli ya Afisa mhamasishaji wa klabu ya Yanga SC Antonio Nugaz baada ya klabu yake kuondolewa na MtibwaSugar.

Nugaz alisema kuwa mashindano hayo ni yakawaida kwao hawajutii kuondosha na MtibwaSugar kwani ni vikombe vidogo vidogo visituumizie wachezaji

#SokaplaceUPDATES

Klabu ya AshantiGold SC ya Ghana imekamilisha taratibu za kunasa saini ya mchezaji wa zamani wa Asante Kotoko

Klabu ya AshantiGold SC ya Ghana imekamilisha taratibu za kunasa saini ya mchezaji wa zamani wa Asante Kotoko, Medeama SC na Aduana Stars, Nathaniel Asamoah kama mchezaji huru.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia klabu hiyo.

#SokaplaceUPDATES

Mjue zuberi katwila

Zubeir Katwila Kocha Wakitanzania ambaye amekuwa na mafanikio makubwa akiwa na Mtibwa Sugal kwani kwani tarehe 2/6/2018 aliiongoza mtibwa kutwaa Taji la (ASFC) kule Arusha akiwafunga Singida United 3-2 …


Lakini Jana tarehe 13/1/2020 ameiongoza mtibwa kutwaa taji la mapinduzi cup visiwani Zanzibar akiwafunga Simba 1-0 …

Tuna haja ya kutumia makocha wa kigeni au wazawa wanafaa au wageni waje kuwapa makocha wetu changamoto

Hatimae Mtibwa Sugar wanavunja mwiko wa kutwaa kombe mbele ya wekundu wa msimbazi

Hatimae Mtibwa Sugar wanavunja mwiko wa kutwaa kombe mbele ya wekundu wa msimbazi.

Mpira umemalizika na Simba Sc wamepoteza ubingwa mbele ya Mtibwa kwa bao 1-0.

Full Time. Mtibwa Sugar 1โƒฃ-0โƒฃ Simba Sc.

Rasmi Mtibwa Sugar ni mabingwa wampya wa Mapinfuzi Cup kwa msimu 2020.

#fullsokatzupdates

UONGOZI wa Azam FC unayofuraha kuwataarifu kuwa umekamilisha usajili wa kiungo wa kimataifa wa Zimbabwe, Never Tigere

#repos from @azamfcofficial
#DoneDeal UONGOZI wa Azam FC unayofuraha kuwataarifu kuwa umekamilisha usajili wa kiungo wa kimataifa wa Zimbabwe, Never Tigere, kwa mkataba wa mwaka mmoja.

Tigere aliyekuwa akichezea Platinum ya Zimbabwe, usajili wake ni pendekezo la benchi la ufundi la Azam FC, ambalo lilimfuatilia kwenye mechi kadhaa alizoichezea Platinum katika Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu.

Nyota huyo anayemudu kucheza namba sita, nane na saba, hadi anaondoka Platinum amefanikiwa kuifungia mabao manne kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, ambayo iliingia hatua ya makundi ya michuano hiyo mwaka huu.

Mzimbabwe huyo amesaini mkataba rasmi wa kuichezea Azam FC, leo Jumatatu usiku dakika chache mara baada ya kutua nchini, zoezi lililosimamiwa na Ofisa Mtendaji Mkuu, Abdulkarim Amin ‘Popat’, huku wakala wake, George Deda akishuhudia.

Huo ni usajili wa pili kwa Azam FC kwenye dirisha dogo la usajili, wa kwanza akiwa ni kiungo mshambuliaji, Khleffin Hamdoun kutoka Mlandege.

Kamata Ratiba Ya Soka Leo

Kamata Ratiba Ya Soka Leo
:
๐Ÿ‘‰England – FA Cup
22:45 Blackpool vs Reading
22:45 Coventry City vs Bristol Rovers 22:45 Newcastle United vs Rochdale 22:45 Shrewsbury Town vs Bristol City 22:45 Tranmere Rovers vs Watford
23:05 Tottenham Hotspur vs Middlesbrough
:
๐Ÿ‘‰Italy – Coppa Italia
17:00 Napoli vs Perugia
20:00 Lazio vs Cremonese
22:45 Inter vs Cagliari
:
๐Ÿ‘‰International – Club Friendlies
11:00 Hallescher FC vs FC Zuerich
13:15 Hallescher FC vs FC Zuerich
16:00 Heracles vs SC Heerenveen
16:00 Ried vs SKN St. Poelten
16:00 Young Boys vs FC Viitorul Constanta 18:00 Lugano vs 1. FC Heidenheim 1846 20:00 Esbjerg fB vs Kolding IF
21:00 FC Groningen vs HHC
:
Prepared by @officialchristz
#SokaplaceUPDATES
@danirito_thomson

Mambo machache niliyoyaona kwenye mchezo wa fainali ya kombe la Mapinduzi. .

.
1 Moja ya fainali bora na ilikuwa ngumu sana kwa kila upande Ilikuwa ni fainali ya magoli kipa wote wawili zimepigwa mashuti 12 yaliolenga golini ๐Ÿ™Œ Shabani Kado akifanya saves 4 huku Beno Kakolonya akifanya 8 performance nzuri ya magoli kipa wote wawili. .
.
2 Kipindi cha kwanza Simba walianza na mawinga wawili halisia nadhani mwalimu wa Simba Sven Vander Broeck lengo lake ni kushambulia kwa kushtukiza mabeki wa pembeni wa Mtibwa Sugar waliziba mianya yote Kibwana Shomari +Issa Rashid walikuwa bora kwenye kuzuia na kushambulia.
.
.
3 Gadiel Michael leo hakuwa kwenye kiwango bora ni mzuri kwenye kufanya majukumu ya ulinzi ila leo alikosa timing yake eneo la pembeni wakati anaenda kushambulia alishindwa kusoma nyakati kuwa anaacha mianya na Jaffari Kibaya alikuwa na spidi ๐Ÿ™Œ kama unakutana na winga mwenye kasi lazima uwe makini.
.
.
4 Mechi ya leo ilimuhitaji zaidi Shomari Kapombe kwenye eneo la beki namba mbili kuliko Shamte.Shomari Mzuri kwenye kushambulia kupiga krosi na kukaba hakuwa mtu asiyejua ubora wa Kapombe.
.
.
5 Said Ndemla ๐Ÿ™Œ mwili kama wa Lucas Torreira, ila miguu yake imejaa nguvu kama za Steven Gerrad na Frank Lampard, alikuwa akipata mpira ni mzuri kupiga mpira mirefu kulia na kushoto ameonyesha kiwango bora kabisa. .
.
6 Kagere ni mshambuliaji mzuri hakuna mtu asiyejua ubora wake ukimuacha kidogo umeisha mabeki wa kati wa Mtibwa Sugar Ponera na Job walimzuia na kumfanya atoke pembeni kupokea mpira. Mwalimu wa Simba alihitaji anze na washambuliaji wawili Bocco +Kagere. .
.
7 Mtibwa Sugar Sugar walikuwa wakicheza kwa tahadhari walikuwa wanafanya Midblock kwenye eneo la kati Simba wakiwa na mpira wote wapo kwenye eneo la kati na kulazimisha Simba watumie mpira mirefu ๐Ÿ™Œ Good plan ya Zuberi Katwila. .
.
8 Homoud alifahamu ubora wa Simba kwenye eneo la kiungo muda wote alikuwa akicheza chini zaidi kama angesema afanye battle angefeli mpira yake mirefu kutokea chini kwenda kuwatafuta Kiimbwa +Kibaya ilikuwa na faida kubwa sana ๐Ÿ™Œ.
.
.
NB Mtibwa Sugar, katoa ubingwa kwa kishindo kawafunga Kariakoo Derby๐Ÿ˜Š.
.
.
Prepared by @azizi_mtambo_15
#SokaplaceUPDATES

Design a site like this with WordPress.com
Get started