wachezaji wa klabu ya KCCA FC Allan Okello na Mustapha Kizza wapo kaskazini mwaAfrika

kutoka Uganda 🇺🇬 imeripotiwa kuwa wachezaji wa klabu ya KCCA FC Allan Okello na Mustapha Kizza wapo kaskazini mwaAfrika.

Okello yupo katika hatua za mwisho kwenda kujiunga katika Klabu ya Paradou AC ya Algeria wakati Mustafa Kizza yuko Morocco 🇲🇦 kukamilisha dili la kwenda katika klabu ya Hassania Agadir.

#SokaplaceUPDATES

Kamata Ratiba ya Soka Leo

:

👉Vodacom Premier League
16:00 Mbao Fc vs Simba Sc
:
👉France – Coupe de France
22:55 Pau vs Bordeaux
:
👉Italy – Coppa Italia
23:15 Parma Calcio 1913 vs Roma
:
👉International – Club Friendlies
12:30 Basel vs FC FCSB
:
👉Egypt – Premier League
18:00 Al Masry vs Aswan FC
20:30 Al-Ittihad Al-Sakandary vs Pyramids FC
:
👉Morocco – Botola Pro
21:00 Wydad Casablanca vs Hassania Agadir
:
👉Algeria – Ligue 1
20:45 USM Alger vs JS Kabylie
:
👉Ghana – Premier League
18:00 Accra Great Olympics vs Karela United FC
:
👉Spain – LaLiga SmartBank
21:00 Deportivo La Coruna vs Racing Santander
23:00 Girona vs Extremadura
23:00 Almeria vs Real Oviedo
:
Prepared by @officialchristz
#SokaplaceUPDATES
@danirito_thomson

Mlinzi wa klabu ya AS Vita Club ou Moustapha Luete Ava Dongo amekamilisha harakati ya kujunga na klabu ya Royal Antwerp

Mlinzi wa klabu ya AS Vita Club ou Moustapha Luete Ava Dongo amekamilisha harakati ya kujunga na klabu ya Royal Antwerp FC kwa mkataba wa miaka 3 na nusu wenye thamani ya Euro 350,000.
#SokaplaceUPDATES

Kamata Matokeo Ya Soka Jana

:
👉Vodacom Premier League
FT Yanga SC 0-3 Kagera Sugar
FT Azam FC 2-0 Lipuli FC
:
👉Ghana – Premier League
FT Berekum Chelsea FC 1 – 0 Dreams FC
FT Ebusua Dwarfs 1 – 2 Liberty Professionals
FT Eleven Wonders FC 1 – 0 Aduana Stars
FT Inter Allies FC 2 – 3 Elmina Sharks
FT King Faisal 2 – 2 Bechem United
FT Medeama SC 1 – 0 Asante Kotoko
FT Sogakope Wafa 0 – 0 Hearts of Oak
FT Legon Cities FC 0 – 0 Ashanti Gold FC
:
👉England – FA Cup
FT Carlisle United 3 – 4 Cardiff City
FT Manchester United 1 – 0 Wolverhampton Wande
:
👉Spain – LaLiga SmartBank
FT Alcorcon 2 – 2 Numancia
FT SD Huesca 2 – 1 Tenerife
FT Rayo Vallecano 1 – 0 Lugo
FT Cadiz 3 – 3 CD Mirandes
:
👉Italy – Coppa Italia
FT Fiorentina 2 – 1 Atalanta
FT Milan 3 – 0 SPAL
FT Juventus 4 – 0 Udinese
:
👉France – Ligue 1
FT Nimes 0 – 1 Rennes
FT Amiens 1 – 1 Reims
FT Monaco 1 – 4 Paris Saint-Germain
:
👉Egypt – Premier League
FT El Gounah 0 – 2 El Zamalek
FT Al Ahly 5 – 0 Tanta
:
👉Kenya – Premier League
FT Chemelil Sugar 0 – 4 Gor Mahia
:
👉Morocco – Botola Pro
FT Renaissance Club Zem… 5 – 0 RSB Berkane
FT Ittihad Tanger 1 – 4 Raja Casablanca
:
👉South Africa – Premier League
FT Bidvest Wits 3 – 2 Bloemfontein Celtic
FT Orlando Pirates 1 – 0 Mamelodi Sundowns FC
:
👉Tunisia – Ligue I
FT Esperance 1 – 0 Etoile du Sahel
:
👉Nigeria – NPFL
FT Abia Warriors 2 – 1 Ifeanyi Ubah United
FT Adamawa United 0 – 0 Wikki Tourist
FT Akwa United 0 – 2 Kwara United
FT Enyimba 0 – 2 Heartland Owerri
FT Katsina United 1 – 1 Kano Pillars
FT MFM FC 2 – 1 Jigawa Golden Stars
FT Rivers United FC 2 – 1 Lobi Stars
FT Sunshine Stars 2 – 1 Plateau United
FT Warri Wolves FC 1 – 2 Enugu Rangers
:
Prepared by @officialchristz
#SokaplaceUPDATES
@danirito_thomson

Adi Atua Boreham.

#AdiNews | Adi Atua Boreham.
.
Mshambuliaji kimataifa wa Tanzania Adi Yussuf amejiunga na klabu ya Boreham wood fc inayoshiriki ligi daraja la tano (National League) ya nchini Uingereza kwa mkopo hadi mwishoni mwa msimu akitokea kunako klabu ya Soolhull moors ambapo pia alikuwa kwa mkopo akitokea Blackpool.

.
#bakinasisi__
#NjooKwetu #TupoNawePaleUlipo

Rasmi mashindano ya AFCON 2021 yataanza Januari 9 hadi Februari 6, 2021 huko Cameroon

#AfconUpdates | Rasmi mashindano ya AFCON 2021 yataanza Januari 9 hadi Februari 6, 2021 huko Cameroon. Hii Ni mara baada ya tarehe kubadilishwa kutoka na sababu za hali ya hewa Cameroon kutokuwa rafiki.
.
Ikumbukwe kuwa awali mashindano hayo yalipangwa kuanza Mwezi Juni hadi Julai.
.
#bakinasisi__
#NjooKwetu #TupoNawePaleUlipo .

Design a site like this with WordPress.com
Get started