Upepo mbaya wa kocha mpya wa Yanga Sc aliye tambulishwa hivi karibuni Luc Eymael

Upepo mbaya wa kocha mpya wa Yanga Sc aliye tambulishwa hivi karibuni Luc Eymael wazidi kuwakomesha mashabiki na wapenzi wa Yanga Sc.

FT Azam Fc 1⃣-0⃣ Yanga Sc.

Mechi mbili za Luc.

Mechi 02′
Kushinda 00′
Ushindi 00
Kufungwa 02
Magoli ya kufunga 00
Magoli ya kufungwa 04.

Je’ Yanga wameingia mkenge kwa usajili wa huyu kocha !! Au tatizo wachezaji.

#vodacompremierleague🇹🇿 #fullsokatzupdates

Bournemouth wako kwenye mazungumzo ya kumsaini mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Jacob Bruun Larsen, ( Sky Sports.)



Mchezaji huyo wa kimataifa wa Denmark mwenye umri wa miaka 21 amekuwa na wakati mdogo wa kucheza msimu huu, baada ya kucheza mechi nne tu za Bundesliga akiwa na Dortmund.


Dortmund wametaja thamani ya mchezaji huyo aliebakiza mkataba wa miezia18 kuwa ni Pauni milioni 12.8

Sebastian Desabre ametangazwa kuwa kocha mpya wa klabu ya Wydad Casablanca

Sebastian Desabre ametangazwa kuwa kocha mpya wa klabu ya Wydad Casablanca ya nchini Morroco kwa mkataba utakaodumu hadi mwishoni mwa msimu huu.
.
Ni baada ya siku chache zilizopita kufutwa kazi na klabu ya Pyramid ya nchini Misri aliyojiunga nayo akitokea timu ya taifa ya Uganda.
.
.
.
@anode360
#SokaonlineUpdates.

Xavi Atwaa Kombe.

.
Chini ya kocha wao mkuu Xavi Hernandez hii leo Al Sadd imetwaa Kombe la Qatar (Qatar Super Cup) baada ya kuiduwaza Al Duhail goli 4-0 katika mchezo wa fainali. Xavi sasa amefikisha 🏆 la pili akiwa na klabu hiyo kama kocha mkuu, ambapo mwaka Jana Mwezi Agosti aliiongoza timu hiyo kutwaa Qatar Super Cup 🏆.
.
Ikumbukwe kuwa hivi karibuni uongozi wa Barcelona ulionesha nia ya kumuhitaji Xavi kurithi mikoba ya Ernesto Valverde aliyetimuliwa hivi karibuni, lakini Xavi aliikataa ofa hiyo na kuuambia uongozi huyo kwamba bado mapema sana kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo lakini anaamini baadae atakuja kuwa kocha wa timu hiyo.
.

#bakinasisi__
#NjooKwetu #TupoNawePaleUlipo .

Xavi Atwaa Kombe.

.
Chini ya kocha wao mkuu Xavi Hernandez hii leo Al Sadd imetwaa Kombe la Qatar (Qatar Super Cup) baada ya kuiduwaza Al Duhail goli 4-0 katika mchezo wa fainali. Xavi sasa amefikisha 🏆 la pili akiwa na klabu hiyo kama kocha mkuu, ambapo mwaka Jana Mwezi Agosti aliiongoza timu hiyo kutwaa Qatar Super Cup 🏆.
.
Ikumbukwe kuwa hivi karibuni uongozi wa Barcelona ulionesha nia ya kumuhitaji Xavi kurithi mikoba ya Ernesto Valverde aliyetimuliwa hivi karibuni, lakini Xavi aliikataa ofa hiyo na kuuambia uongozi huyo kwamba bado mapema sana kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo lakini anaamini baadae atakuja kuwa kocha wa timu hiyo.
.

#bakinasisi__
#NjooKwetu #TupoNawePaleUlipo .

Design a site like this with WordPress.com
Get started