
SIMBA ILIBANWA MBAVU UHURU KWA MTINDO HUU



Kwani Simba ni nani asifungwe. Kama kuna jambo walishughulikie huko na si kulalama hadharani. Akishindwa anaweza kusema watu wamuelewe.
Yanga walionyesha weledi, walifungwa mechi 2 mfululizo, WAKATULIA, wakajipanga na KURUDI mchezoni.Leo wanafanya vema. Huenda hao viongozi wa Simba wanaweza KUJIFUNZA hapo na kupunguza UJUAJI uliopindukia.

Kocha Mkuu wa Simba Sven Vandenbroeck amesema walipoteza mchezo wa jana dhidi ya JKT Tanzania kutokana na kukosa bahati kwani walitengeneza nafasi nyingi
Aidha Sven amesema wachezaji wote wa Simba ni wazuri na yeyote anaweza kumtumia na wakapata matokeo
Mbelgiji huyo ametoa kauli hiyo baada ya kutupiwa lawama kuwa haeleweki katika upangaji wa timu
“Kilicho tokea na sehemu ya mpira hakuna wa kumlaumu, ni kweli tulibadilishiwa uwanja kutoka Taifa hadi Uhuru na pia tuliwakosa baadhi ya wachezaji kutokana na kuwa majeruhi lakini huwezi kusema ndio iliyopelekea kupoteza mchezo,” alisema Sven
“Timu yetu ina wachezaji wazuri ambao wanaweza kucheza mechi yoyote na wakaipa Simba ushindi”
Sven pia amelaumu ukaribu wa michezo jambo linalosababisha ‘fatigue’ kwa wachezaji



Barcelona ipo tayari kumruhusu Philippe Coutinho kuondoka klabuni hapo kwa kiasi £,mil.80 majira ya joto
…
..
Kiungo huyo wa zamani wa Liverpool alijiunga na vigogo hao wa Uhispania kwa uhamisho wa € 167m mnamo Januari 2018 na badae kukopeshwa Bayern Munich baada ya kukosa namba ya kudumu ndani ya Barca (*Mundo Deportivo*)

Nyota wa Barcelona, Lionel Messi hana nia ya kuondoka klabuni hapo licha ya maoni yake ya hivi karibuni kuhusu Eric Abidal, (Sky Sports)
…
…
MuArgentina huyo alikuwa kwenye mzozo na mkurugenzi wa michezo wa Barca baada ya kuwakosoa hadharani wachezaji wa Barca kwamba hawakuwajibika kipindi cha Ernesto na messi kumtaka “atoe majina” ya wachezaji waliomwangusha Ernesto ….
…
inasemekana kuwa Messi anafura kusalia Barca hadi majira ya joto, pamoja na kuanza kufungua majadiliano na waajiri wake juu ya upanuzi wa mkataba wake unaofikia ukomo 2021.

Tottenham, Burnley na Aston Villa zote zimeonesha nia ya kumsajili mshambuliaji wa Fenerbahce raia wa Uturuki Vedat Muriqi, 25. (Calciomercato – in Italian)



Meneja wa Southampton Ralph Hasenhuttl anatarajiwa kufikia makubaliano ya mkataba mpya
Southampton inatarajia kukubaliana kuhusu mkataba mpya na meneja Ralph Hasenhuttl kabla ya kumalizika kwa msimu huu. (Telegraph)

1: Jkt Queens 2⃣4⃣
2: Ruvuma Queens 2⃣3⃣
3: Simba Queens 1⃣9⃣
4: Alliance Girls 1⃣6⃣
5: Yanga Queens 5⃣.
°
#fullsokatzupdates