:
Nondo 1🔨 .
✍️ Klabu ya Arsenal hawajapata ushindi wowote katika michezo 7 ya mwisho walipotembelea Katika dimba la Stamford Bridge dhidi ya Chelsea (D1 L6) tangu walipo pata ushindi wao wa mwisho Mwezi Oktoba 2011 wa goli 5-3. Hata hivyo hakuna timu ya EPL iliyoshinda mechi nyingi katika dimba la Stamford Bridge kama Arsenal ,(W7).
.
#bakinasisi__ #NjooKwetu #TupoNawePaleUlipo




#bakinasisi__ #NjooKwetu #TupoNawePaleUlipo


𝐊𝐞𝐧𝐲𝐚- 𝐊𝐏𝐋 🇰🇪



