Samatta sasa atakuwa akivaa jezi namba 20 katika klabu yake mpya ya Aston Villa

Mshambuliaji Mbwana Samatta sasa atakuwa akivaa jezi namba 20 katika klabu yake mpya ya Aston Villa.

Samatta alikuwa na huru wa kuchagua namba zilizokuwa hazina watu kuanzia namba 2, 16, 19, 20, 29, 31-32, 33, 35-37 na 38 klabuni hapo katika namba hizo amechagua namba 20.

Awali aliyokuwa akivaa Genk jezi yake ilikuwa namba 10.

Baba wa Edinson Cavani anataka mwanae ajiunge Atletico Madrid

Baba wa Mshambuliaji wa PSG Edinson Cavani anataka mwanae ajiunge Atletico Madrid, (El Chiringuito)

..
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 ataondoka Paris mnamo Januari huku Manchester United na Chelsea pia wamehusishwa katika uhamisho wake


Atletico wamekuwa kwenye mbio za kumfukuza Cavani kwa muda mrefu, na Diego Simeone anatamani kuboresha safu yake ya ushambuliaji .

Moussa Dembele ametangaza nia yake ya kubaki klabuni hapo kwa msimu

Nyota wa Lyon Moussa Dembele ametangaza nia yake ya kubaki klabuni hapo kwa msimu huu …
… “Mimi ni mchezaji wa Lyon na nitabaki hivyo hadi mwisho wa msimu,” Dembele alisema Jumanne. “Sidhani kama nitaondoka msimu huu wa baridi. Mambo mengi yanasemwa”

..
Dembele amefunga mabao 16 katika mashindano yote akiwa na Lyon ila Manchester United na Chelsea zimehusishwa na uhamisho wa mchezaji huyo

Monterrey imepeleka ofa ya dola milioni 6.5 kumsajiri Kiungo wa ulinzi kutoja Zenit Saint Petersburg

Monterrey imepeleka ofa ya dola milioni 6.5 kumsajiri Kiungo wa ulinzi kutoja Zenit Saint Petersburg, Matias Kranevitter , (Univision)
….
….
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Argentina amekuwa na wakati finyu wa kucheza katika klabu hiyo inayoshiriki ligi kuu ya Urusi …

Kranevitter, 26, pia ameichezea Atletico Madrid na Sevilla baada ya kufanya vizuri katika klabu ya nchini kwao River Plate.

Baada yakupoteza Jana dhidi ya mbeya city Matheo Anthony amesema haya

Baada ya kupoteza Mchezo wa Jana dhidi ya Mbeya City katika Mashindano ya #azamsportsfederationcup
Mchezaji wa klabu ya Polisi Tanzania Matheo Anthony amesema haya
:
“Hatukati tamaa tutaendelea kupambana, Mawazo na fikra zetu zinahamia kwenye ligi kuu Tanzania bara”
:
Polisi Tanzania waliondosha na Mbeya City kwa Mikwaju ya Penati 3-1 hapo jana baada ya dakika 90 kutoka sare ya Goli Moja kwa Moja.
:
#SokaplaceUPDATES

Kamata Ratiba Ya Soka Leo

:
👉VodacomPremierLeague
16:00 Singida United vs Yanga SC
16:00 Mwadui FC vs Azam FC
:
👉EnglandPremierLeague
22:30 Leicester City vs West Ham United
22:30 Tottenham Hotspur vs Norwich City
23:15 Manchester United vs Burnley
:
👉England – Championship
22:45 Charlton Athletic vs Fulham
22:45 Nottingham Forest vs Reading
:
👉Spain – Copa del Rey
21:00 Elche vs Athletic Bilbao
21:00 UD Ibiza vs Barcelona
23:00 Badalona vs Granada
23:00 Girona vs Villarreal
23:00 Logrones vs Valencia
23:00 Real Sociedad vs RCD Espanyol
23:00 Tenerife vs Real Valladolid
23:00 Unionistas de Salamanca vs Real Madrid
:
👉Italy – Coppa Italia
22:45 Juventus vs Roma
:
👉France – League Cup
23:00 Reims vs Paris Saint-Germain
:
👉Netherlands – KNVB Beker
20:30 Heracles vs Vitesse
22:45 Ajax Amsterdam vs Spakenburg
22:45 SC Heerenveen vs Willem II
:
👉Belgium – Beker Van Belgie
22:45 Club Brugge vs Zulte Waregem
:
👉Morocco – Botola Pro
21:00 Raja Casablanca vs MCO Oujd
:
Prepared by @officialchristz
#SokaplaceUPDATES
@danirito_thomson

Kamata Matokeo Ya Soka Jana

:
👉AzamSportsFederationCup
FT Polisi TZ 1-1Mbeya City
Penati (1-3)
:
👉England – Premier League
FT AFC Bournemouth 3 – 1 Brighton & Hove Albion
FT Aston Villa 2 – 1 Watford
FT Crystal Palace 0 – 2 Southampton
FT Everton 2 – 2 Newcastle United
FT Sheffield United 0 – 1 Manchester City
FT Chelsea 2 – 2 Arsenal
:
👉England – Championship
FT Barnsley 0 – 3 Preston North End
FT Middlesbrough 1 – 1 Birmingham City
:
👉Spain – Copa del Rey
FT Real Zaragoza 3 – 1 Mallorca
FT Recreativo Huelva 2 – 3 Osasuna
FT Sevilla 3 – 1 Levante
:
👉Italy – Coppa Italia
FT Napoli 1 – 0 Lazio
:
👉France – League Cup
FT Lyon 2 – 2 Lille
P(4-3)
:
👉Netherlands – KNVB Beker
FT TOP Oss 0 – 2 AZ Alkmaar
FT FC Eindhoven 1 – 2 FC Utrecht
:
👉International – Club Friendlies
FT AGF 0 – 2 AaB
FT Rubin Kazan 1 – 0 Lechia Gdansk
FT Admira Moedling 1 – 1 Grazer AK
FT FC Viitorul Constanta 0 – 0 Sturm Graz
FT Al-Uwaynah 0 – 10 Zenit St. Petersburg
FT Basel 1 – 2 Grasshoppers
FT FC Orenburg 2 – 3 Slavia Sofia
FT Krylya Sovetov Samara 4 – 1 FK Spartaks
FT Lyngby 3 – 1 Hvidovre
FT AC Horsens 3 – 1 Aarhus Fremad
FT Mattersburg 9 – 0 FCM Traiskirchen
:
👉Egypt – Premier League
FT Tanta 1 – 0 El Gounah
FT Pyramids FC 3 – 1 Misr El-Maqasa
:
👉Morocco – Botola Pro
FT Hassania Agadir 2 – 1 Difaa El Jadida
:
Prepared by @officialchristz
#SokaplaceUPDATES
@danirito_thomson

Cengiz Under ataendelea kusalia As Roma licha ya tetesi za kujiunga na AC Milan

Cengiz Under ataendelea kusalia As Roma licha ya tetesi zinazomhusisha kujiunga na AC Milan (ripoti ya Corriere dello Sport)
….

Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Uturuki mwenye umri wa miaka 22 alikuwa anahusishwa kwenye harakati za uhamisho msimu huu.
Lakini, mpaka sasa Roma wanaonekana kimngojea Under apone kutokana na majeraha ambayo yanayomkabili, kwa upande mwingine Roma hawavutiwi katika mpango wa kubadilishana mshambuliaji huyo na Suso wa Milan.

Design a site like this with WordPress.com
Get started