👉England – Premier League
FT Wolverhampton 1 – 2 Liverpool
:
👉England – FA Cup
FT Tranmere Rovers 2 – 1 Watford
:
👉Spain – Copa del Rey
FT Ebro 0 – 1 Leganes
FT Mirandes 2 – 1 Celta Vigo
FT CD Badajoz 3 – 1 Eibar
FT Leonesa 2 – 1 Atletico Madrid
FT Rayo Vallecano 2 – 2 Real Betis
P (4-2)
:
👉Netherlands – KNVB Beker
FT Ijsselmeer Vogels 1 – 1 Go Ahead Eagles
P (6-7)
FT NAC Breda 2 – 0 PSV Eindhoven
:
👉Belgium – Beker Van Belgie
FT Royal Antwerp 1 – 1 Kortrijk
:
👉International – Friendlies
FT Burundi 3 – 0 Bangladesh
:
👉International – Club Friendlies
FT Arsenal Tula 1 – 0 Sepsi OSK
FT Osijek 2 – 0 Lokomotiv Moscow
:
👉Algeria – Ligue 1
FT Paradou AC 1 – 2 CS Constantine
:
👉Morocco – Botola Pro
FT Ittihad Tanger 1 – 2 Olympic Club de Safi
:
Prepared by @officialchristz
#SokaplaceUPDATES
@danirito_thomson
Victor Moses amejiunga Inter Milan kwa mkopo

MICHEZO: Mchezaji wa Chelsea, Victor Moses amejiunga Inter Milan kwa mkopo ambapo anaenda kuungana na Kocha wa Zamani wa Chelsea, Antonio Conte
–
Anakuwa mchezaji wa hivi karibuni kujiunga Inter akitokea Ligi Kuu England baada ya Romelu Lukaku, Ashley Young na Alexis Sanchez
–
Je, kwa Wachezaji waliosajiliwa na Conte, Inter inaweza kuchukua Kombe la Italia msimu huu?
Pierre-Emerick Aubameyang kutua barcelona

Ripoti kutoka nchini Uhispania wiki hii zinasema kuwa Barcelona wamemjumuisha mshambuliaji wa Arsenal Pierre-Emerick Aubameyang kwenye orodha ya wachezaji wanaowahitaji mwezi huu.
Kiungo wa kati wa CHIPOLOPOLO Enock Mwepu anasema matarajio ya Zambia ya kufanya vizuri kuwania kufuzu kombe la dunia hatua ya makundi

Kiungo wa kati wa CHIPOLOPOLO Enock Mwepu anasema matarajio ya Zambia ya kufanya vizuri kuwania kufuzu kombe la dunia hatua ya makundi lipo mikononi mwao kufuatia draw ya makundi iliyofanyika nchini Misri Jumanne ambapo Zambia ailipangwa kundi moja na timu kutoka ukanda wa Afrika Kaskazini Tunisia, Mauritania na Guinea ya Ikweta
Zambia ilikuwa kwenye upande wa timu zenye nguvu zaidi Afrika ikipangwa Pot 2 wakati Tunisia ikiwa katika Pot 1 huku Mauritania na Equatorial Guinea zikiwa pot 3/4
Emmanuel Amuneke kuifundisha El-Maqasa ya Misri

Klabu ya El-Maqasa ya Misri imepanga kumtangaza mkufunzi wa zamani wa Taifa Stars Raia wa Nigeria Emmanuel Amuneke kama mkufunzi mkuu wa klabu hiyo.
Klabu hiyo ya El-Maqasa imemfuta kazi kocha wake Ahmed Hossam Mido. Baada ya mwenendo mbaya wa klabu hiyo Mara ya mwisho klabu hiyo kupata ushindi ilikua tare 17 mwezi wa kumi mwaka 2019
El Maqasa ipo katika nafasi ya 15 katika msimamo wa ligi kuu nchini Misri ikiwa na Point zake 11.
#SokaplaceUPDATES
Klabu ya Vipers ya Uganda imemfuta kazi mkufunzi Edward Golola

Klabu ya Vipers ya Uganda imemfuta kazi mkufunzi Edward Golola na timu yake yote ya benchi la ufundi, klabu hiyo ipo katika nafasi ya kwanza katika msimamo wa ligi kuu nchini Uganda ikiwa na alama 42.
#SokaplaceUPDATES
Simba sc kucheza FA Januari 25

Mchezo wa kombe la Azam Sports Federation (Fa) raundi ya 4 kati ya Simba dhidi ya Mwadui FA utafanyika siku ya Jumamosi, Januari 25 saa 10 jioni katika uwanja wa Taifa na sio Uhuru kama ilivyo tangazwa awali.
#wapendasokaupdates
Mazoezi ya kwanz kwa Mbwana Samatta na timu yake mpya Aston Villa leo

Mazoezi ya kwanz kwa Mbwana Samatta na timu yake mpya Aston Villa leo katika uwanja wa mazoezi wa bodymoor


@avfcofficial @samagoal77
#wapendasokaupdates
MGUU WA KUSHOTO WA DHAHABU KUTOKA UHOLANZI
LEO ANATIMIZA MIAKA 36
MICHEZO 606
MABAO 247
MATAJI 30
happy birthday ARJEN ROBEN
REAL MADRID, CHELSEA na FC BAYERN MUNICH WAPI ANAFAA KUITWA LEGENDARY WA TIMU?
Wote Pancha washambuliaji wa Uingereza, Gareth Souhgate kichwa kinawasha 🤔
:
❌ Harry Kane 🤕
❌ Marcus Rashford 🤕
❌ Tammy Abraham 🤕
❌ Jamie Vardy 🤕
.
#bakinasisi__
#NjooKwetu
#TupoNawePaleUlipo