
– Meneja wa Leicester City, Brendan Rodgers amesema kuwa anatarajia majeraha ya mshambuliaji Jamie Vardy “sio mabaya sana” baada ya kuthibitisha kuwa “sio majeraha ya misuli”… Vardy, mdio mfungaji bora wa sasa kwenye Ligi Kuu akiwa na mabao 17, alitolewa kabla ya kipindi cha Pili kwenye ushindi wa jana Jumatano 4-1 dhidi ya West Ham.
..
– Alianguka chini na kushika nyuma ya mguu wake wa kushoto, alipokea matibabu ndani ya uwanja lakini hakuweza kuendelea na mchezo na nafasi yake kuchukuliwa na Mnigeria, Kelechi Iheanacho… Vardy amechangia asilimia 34 ya magoli ya ligi ya Leicester msimu huu.
..
– Vardy pia ni mmoja wa wachezaji watatu wa Kiingereza wenye mabao mengi ambao kwa sasa wameumia katika Orodha ya Wafungaji bora wa Ligi sita Ni Danny Ings Pekee wa Southampton Akiwa na Magoli mengi (14) ndiye anayesalia kuwa bila majeraha , Majeraha ya hivi karibuni yameripotiwa kuwakumba, Harry Kane wa Tottenham, Marcus Rashford wa Manchester United na Tammy Abraham wa Chelsea..
#LeicesterCity #PremierLeague #JamieVardy
@Harunlugoyah
#dailysporttz