Manchester United wamepigwwa faini ya pauni 20,000 (Takribani Tshs 60m)

– Manchester United wamepigwwa faini ya pauni 20,000 (Takribani Tshs 60m) kwa kushindwa kuwazuia Wachezaji wao kumzonga zonga Mwamuzi wa Mechi yao dhidi ya Liverpool.. Kwa kitendo hicho, United imevunja Sheria ya Chama cha Mpira wa Miguu “FA” baada ya wachezaji wao kumzunguka mwamuzi Craig Pawson dakika ya 26 Siku ya Jumapili katika kipigo chao cha Magoli 2-0 katika mechi ya Premier league dhidi dhidi ya Liverpool.
..
– Tukio hilo lilitokea baada ya Pawson kuruhusu bao lililofungwa na Roberto Firmino wakati Liverpool ikiongoza bao 1-0… Kabla ya goli kufungwa mlinda lango David De Gea alikuwa amechezewa faulo Akiwa amedaka mpira na kumponyoka kabla ya Firmino kutia kambani.. Lakini baada ya Marudio ya VAR goli hilo lilifutwa..
#ManchesterUnited #Liverpool #PremierLeague
@Harunlugoyah

#dailysporttz

Biashara fc kuivaa Namungo fc FA Cup

Baada ya kuwasili salama mkoani Lindi kikosi cha Biashara United jioni ya leo kimefanya mazoezi ya kujiandaa na mchezo wao ujao wa michuano ya FA dhidi ya Namungo fc

Mchezo huu utapigwa siku ya jumapili kwenye uwanja wa Majaliwa Ruangwa mkoani Lindi majira ya saa 10:00 jioni na hakutakuwa na kiingilio kwenye mchezo huu

#dailysporttz @official_josephkimwaga10

WACHEZAJI TUNAO UWEZO WA KUDHIBITI VITENDO VYA UBAGUZI WA RANGI DHIDI YA WACHEZAJI WEUSI

WACHEZAJI TUNAO UWEZO WA KUDHIBITI VITENDO VYA UBAGUZI WA RANGI DHIDI YA WACHEZAJI WEUSI VITENDO VINAVYOFANYWA NA BAADHI YA MASHABIKI WA JINGA KATIKA VIWANJA MBALIMBALI
kwangu Mimi Italia ni sehemu nzuri kuishi lakini VITENDO vya ubaguzi vinakatisha tamaa.
Kama WACHEZAJI tukiamua kususia mechi pale inapotokea mchezaji amebaguliwa kama kilichotokea kule UHOLANZI nadhani wengejifunza NA kuacha VITENDO viovu” LUKAKU”

Desabre aiongiza Wydad Casablanca. Kutinga robot fainal CAF

Baada ya Kuichapa Usm Alger Goli tatu kwa Moja kocha Desabre aiongoza klabu yake @wacofficiel kutinga hatua ya Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika akiwa na alama zake 9 katika kundi lake
Huku
:
kinara wa kundi hilo ni Mamelod Sundowns kutoka kwa Madiba akiwa na point zake 10
:
Katika Kundi C
Timu ambazo tayari zishafuzu katika hatua ya RoboFainali ni Mamelod Sundowns pamoja na Wydad Casablanca.
:
Kocha Desabre naona Nyota inazadi kung’aa kila anapopita kumbuka alikua kocha wa klabu ya @pyramidsfc na timu ya taifa ya Uganda.
:
#SokaplaceUPDATES

Kamata Matokeo Ya Soka Jana

:

👉AzamSportsFederationCup
FT KMC Fc 5-0 Pan African
FT Panama Fc 1-1 Mtwivila City
P (3-0)
:
👉England – FA Cup
FT Northampton Town 0 – 0 Derby County
FT Queens Park Rangers 1 – 2 Sheffield Wednesday
:
👉England – League 1
FT Sunderland 0 – 0 Doncaster Rovers
:
👉Spain – LaLiga Santander
FT Osasuna 2 – 0 Levante
:
👉Italy – Serie A
FT Brescia 0 – 1 Milan
:
👉Germany – Bundesliga
FT Borussia Dortmund 5 – 1 1. FC Köln
:
👉France – Ligue 1
FT Nice 1 – 1 Rennes
:
👉Belgium – First Division A
FT Standard Liege 2 – 1 Oostende
:
👉International – Club Friendlies
FT Fredericia 2 – 2 Esbjerg fB
FT Silkeborg 3 – 2 FC Midtjylland
FT Viborg 1 – 1 SoenderjyskE
FT VfB Stuttgart 3 – 1 SG Dynamo Dresden
FT FC Nordsjaelland 4 – 5 AGF
FT Admira Moedling 2 – 1 SV Horn
FT Oerebro 0 – 2 Joenkoepings Soedra
FT Pogon Szczecin 2 – 1 Sturm Graz
FT CSKA Moscow 2 – 0 Dundalk FC
FT Grorud 0 – 1 Bodoe/Glimt
FT Start 5 – 3 Soerlandslaget
:
👉Africa – Champions League
FT El Zamalek 0 – 0 TP Mazembe
FT Wydad Casablanca 3 – 1 USM Alger
:
👉South Africa – Premier League
FT Cape Town City FC 1 – 0 Black Leopards
FT SuperSport United 3 – 0 Chippa United FC
:
👉Ghana – Premier League
FT Sogakope Wafa 1 – 2 Liberty Professionals
FT Legon Cities FC 1 – 0 Bechem United
:
Prepared by @officialchristz
#SokaplaceUPDATES
@danirito_thomson

Kiungo wa kati wa Slavia Prague Tomas Soucek analengwa kuvutiwa na West Ham

Kiungo wa kati wa Slavia Prague Tomas Soucek analengwa kuvutiwa na West Ham –
Hammers wanajiamini kushinda makubaliano yea mkopo ya ambayo yana chaguo la kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 mwishoni mwa msimu.
..
..
Slavia wametaja thamani Soucek ambayo inafikia kiasi cha € m25,lakini West Ham wanaweza kumnunua kwa bei hiyo katika msimu wa joto.

Design a site like this with WordPress.com
Get started