
– Klabu ya Yanga SC ya Tanzania imepokea Barua Rasmi kutoka Kwa Katibu Mkuu wa CECAFA, Nicholas Musonye wakialikwa kuwa sehemu ya timu zitakazoshiriki Michuano ya CECAFA Kagame Cup itakayofanyika Jijini Kigali, Rwanda mwezi Ujao Baada ya kufikia tamati kwa Fainali za AFCON zinazoanza mwezi huu Nchini Misri..
#CECAFACup2019





























