
Matokeo ya Michezo ya Nusu Fainali Ligi Kuu ya Vijana U20

Matokeo ya Michezo ya Nusu Fainali Ligi Kuu ya Vijana U20


MATOKEO YA SOKA JANA JUMANNE NA RATIBA YA HII LEO:
:
– Copa America – Group A.
FT Bolivia 1 – 3 Peru
FT Brazil 0 – 0 Venezuela
.
– World Cup Women – Group C
FT Italy 0 – 1 Brazil
FT Jamaica 1 – 4 Australia
.
– CONCACAF – Gold Cup:: group D.
FT Panama 2 – 0 Trinidad & Tobago
37′ USA 1 – 0 Guyana
.
– International – Friendlies.
FT Benin 3 – 1 Mauritania
.
– EURO U-21 – Group C
FT Romania U21 4 – 1 Croatia U21
FT England U21 1 – 2 France U21.
:
RATIBA YA HII LEO.
Copa America – Group B.
00:30 Colombia
Qatar
03:30 Argentina
Paraguay
.
– World Cup Women – Group D.
22:00 Japan
England
22:00 Scotland
Argentina
.
– CONCACAF – Gold Cup:: group A.
03:00 Cuba
Martinique
05:30 Mexico
Canada
.
– International – Friendlies.
15:30 Zambia
Ivory Coast
18:30 South Africa
Angola
.
– EURO U-21 – Group A.
19:30 Spain U21
Belgium U21
22:00 Italy U21
Poland U21
.
– Tanzania – Nusu Fainali U20
16:00 Yanga SC U20
Azam FC U20
19:00 Simba SC U20
Mtibwa Sugar FC U20
#Updates #fixtures
@Sokawaytz


M









MAGAZETI YA SOKA TANZANIA HII LEO JUMATANO…
#newspaper #tznewspapers #tznewspaperstoday

Full Time. .
Brazil 0-0 Venezuela. .
Kwa mechi ya pili mfululizo Philippe Coutinho anachaguliwa kuwa mchezaji bora wa mechi. .
#CopaAmerica

Klabu ya Arsenal ipo mbioni kumboreshea mkataba wake kiungo Granit Xhaka anayewaniwa na klabu ya Atletico Madrid ya Hispania. .
Mkataba wa awali wa kiungo huyo unamalizika June 2023

Klabu ya Real Madrid ipo tayari kuwapa Tottenham ofa ya £45m pamoja na kiungo wao Dani Ceballos ili kupata saini ya kiungo Christian Eriksen.(The Sun)

Klabu ya Yanga Sc imekamilisha usajili wa mshambuliaji Maybin Kalengo kutoka Zesco Utd kwa mkataba wa miaka miwili.

TAKUKURU INAWATAFUTA WALIOTOROKA NA FEDHA ZA KUJENGA KIWANDA CHA SARUJI
–
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) inawatafuta Wamiliki wa Kampuni ya Meis Industries LTD wanaodaiwa kutoroka na Tsh. Bilioni 46 kwa ajili ya kujenga kiwanda cha saruji mkoani Lindi
–
Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Brigedia Jenerali John Mbungo amesema wamebaini kampuni hiyo ilikabidhiwa fedha hizo kama mkopo mwaka 2011 kutoka sehemu ya fedha za uwekezaji zilizotolewa na Libya kwa Tanzania
–
Amefafanua kuwa “Mwaka 2009 Serikali zote mbili zilisaini mkataba wa nyongeza ambao uliitaja Kampuni ya Meis kupewa Dola za Kimarekani 20,000,000 kwa ajili ya uwekezaji wa ujenzi wa kiwanda cha saruji eneo la Machole.”
–
Aidha, amewataja wahusika wa Kampuni hiyo, wanaotafutwa kuwa ni Islam Balhabou, Merey Awadh Saleh, Sabri Kuleib na Abdallah Bin Aliya na kuwataka Wananchi wenye taarifa zao kuwasiliana na TAKUKURU
RUVUMA: WATU NANE MBARONI

WAKIDAIWA KUTAKA KUMTOA MTOTO KAFARA
–
Watuhumiwa hao, Wanne kutoka Mkoani Njombe na wanne kutoka mkoani Ruvuma Wanashikiliwa na Polisi Wilayani Namtumbo kwa kufanya ramli chonganishi na kutaka kumtoa kafara mtoto mdogo
–
Walikamatwa katika Mlima Mgwijima wakiwa na mtoto mdogo pamoja na vifaa mbalimbali vinavyodaiwa kutumika katika kafara wakiwemo Mbuzi mmoja mweusi, kuku wawili(mmoja mweusi na mwingine mweupe)
–
Inadaiwa Polisi baada ya kupata taarifa za kiintelijensia walifika katika mlima huo na kuwakamata Watuhumiwa hao ikiwa ni pamoja na Mganga wa Kienyeji, lakini baada ya mahojiano wamekana madai hayo
–
Awali, mmoja wa Watuhumiwa, Mwanamke ambaye yupo na mtoto huyo akiwa ametokea Njombe, mara tu baada ya kufika Kituo cha Polisi ‘alipandisha mashetani’ na kuanza kujigaragaza akisema wale wengine hawana makosa ila yeye
–
Baadaye alipotulia na kuhojiwa alikana madai hayo na kudai kuwa yeye ni mgonjwa, hivyo alioteshwa kutoka Njombe kwenda kwenye mlima huo ili kupona. Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa tukio hilo

J

ESHI LA POLISI LIMEWATAMBUA WALIOSABABISHA KIFO CHA MWANAFUNZI WA KIU
–
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amesema Jeshi la Polisi tayari limewatambua wahusika
–
Ameliagiza Jeshi la Polisi kuwachukulia hatua kali wahalifu ili liwe fundisho kwa wengine
–
Anifa Mgaya(21) alijeruhiwa na kitu chenye ncha kali baada ya kuvamiwa na watu wanaodhaniwa kuwa ni vibaka. Alifariki dunia baada ya kuvuja damu nyingi
–
Alikuwa Mwanafunzi wa Mwaka wa pili wa Stashahada katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala(KIU) tawi la Tanzania