


Maandalizi ya ufunguzi #AfconEgypt2019 #sokaonlineUpdates



Maandalizi ya ufunguzi #AfconEgypt2019 #sokaonlineUpdates



Zoezi la ufunguzi wa michuano ya Afcon 2019 likiwa kwenye maandalizi #sokaonlineUpdates

π Pazia La Michuano ya AFCON kufunguliwa hii leo Nchini Misri.. Game ya kwanza wenyeji kufungua Dimba Saa Tano za Usiku..
:
23:00 EGYPT vs ZIMBABWE β HEAD-TO-HEAD!
:
β’Egypt πͺπ¬ na Zimbabwe πΏπΌ wamekutana Mara 12: β’The Pharaohs wameshinda game Saba, Sare Nne na Kupoteza Mara Moja.. Zimbabwe wameshinda mechi Moja, Sare Nne na kupoteza Mara Saba..
:
β’Egypt wana Magoli 20 ya kufunga na Magoli 11 ya kufungwa… Zimbabwe wamefunga Magoli hayo 11 na kuruhusu 20..
β’πͺπ¬ 1-0 πΏπΌ (1984 WCQ)
β’πΏπΌ 1-1 πͺπ¬ (1984 WCQ)
β’πΏπΌ 2-1 πͺπ¬ (1992 WCQ)
β’πͺπ¬ 2-1 πΏπΌ (1993 WCQ)
β’πͺπ¬ 0-0 πΏπΌ (1993 WCQ)
β’πͺπ¬ 2-2 πΏπΌ (1995 Friendly)
β’πΏπΌ 1-1 πͺπ¬ (1999 Friendly)
β’πΏπΌ 1-2 πͺπ¬ (2004 #AFCON)
β’πͺπ¬ 2-0 πΏπΌ (2004 Friendly)
β’πͺπ¬ 2-0 πΏπΌ (2006 Friendly)
β’πͺπ¬ 2-1 πΏπΌ (2013 WCQ)
β’πΏπΌ 2-4 πͺπ¬ (2013 WCQ)
#AFCON2019 #AFCON19
@Sokawaytz

Kama kawaida ya mabingwa TUMESHINDA π€£ #NguvuMoja


Kikosi cha leo dhidi ya Gwambina FC.

O

OFFICIAL!!! Klabu ya Azam FC Imethibitisha kuwaongeza Mkataba nyota wake wawili, Mshambuliaji wa Kimataifa wa Zambia, Obrey Chirwa Kusaini Mkataba wa Mwaka mmoja na Kiungo Mzawa, Salmin Hoza ambaye kasaini Mkataba wa Miaka Miwili.
.
– Wakati Huo huo @azamfcofficial Imethibitisha kumsajili Mshambuliaji wa Kimataifa wa Burundi, Emmanuel Mvuyekure… Mshambuliaji huyo wa zamani wa Vital’O ya Burundi na Pia kavichezea vilabu vya Tanzania, Mbao FC na KMC FC kwa Kipindi tofauti tofauti kabla ya hii leo kumwaga wino Azam FC..
#TPLTransferUpdates
@Sokawaytz

OFFICIAL!! Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Klabu ya Simba SC Imethibitisha kukamilisha usajili wa Mshambuliaji wa Kimataifa wa Brazil, Wilker Henrique Da Silva.
.
– Da Silva Wilker mwenye umri wa miaka 23 amejiunga na Simba SC kwa Mkataba wa Miaka Miwili akitokea klabu ya Bragantino ya nchini kwao Brazil…
#TPLTransferUpdates
@Sokawaytz

Mchezo wa Fainali ya Ligi Kuu ya Vijana U20 inachezwa baadae saa 10:00 uku ikitanguliwa na mchezo wa kumtafuta mshindi wa tatu kati ya Young Africans vs Simba SC saa 8:00 mchana Uwanja wa Azam Complex,chamazi

MISRI: UTEPE WA MICHUANO YA AFCON KUKATWA LEO
–
Fainali hizo ni za 32 tangu michuano hiyo iasisiwe. Mataifa ya Afrika 24 yanatarajiwa kushiriki ikiwa ni mara ya kwanza kihistoria michuano hiyo kuwa na idadi hiyo ya washiriki
–
Mchezo wa ufunguzi leo utakuwa baina ya wenyeji Misri dhidi ya Zimbabwe ambao utaanza saa tano usiku majira ya Afrika Mashariki
–
Rais wa Shirikisho la Soka Duniani(FIFA), Gian Infantino, Katibu Mkuu wake Fatuma Samoura wanatarajiwa kushiriki shughuli za ufunguzi
–
Aidha viongozi wa kisiasa akiwemo rais wa Misri Abdel Fattah Al Sisi na waziri mkuu mstaafu wa Kenya Raila Amollo Odinga watahudhuria tukio hilo










Magazeti ya #Tanzania leo June 21, 2019 yote tayari yapo millardayo.com