

Baada ya kuondoka aliyekuwa kocha wao Maurizio Sarri klabu ya Chelsea ipo tayari kuwauza wachezaji wake Marcos Alonso na David Zappacosta endapo kutakuwa na timu zitakazowahitaji (Guardian) .
.
Mpaka sasa
Atletico Madrid imeonyesha nia ya kumhitaji Alonso kwa dau la €40m





















