– Kocha wa zamani wa Chelsea na Leicester City, Claudio Ranieri anapewa nafasi kubwa ya kuwa mbadala wa Kocha Rafa Benitez ndani ya Klabu ya Newcastle

– Kocha wa zamani wa Chelsea na Leicester City, Claudio Ranieri anapewa nafasi kubwa ya kuwa mbadala wa Kocha Rafa Benitez ndani ya Klabu ya Newcastle, kwa mujibu wa @skysports.
.
– Ranieri hana timu tangu kumaliza Mkataba wake wa muda mfupi ndani ya Klabu ya AS Roma alipokaa tangu Machi 2019 mpaka Mei 2019… Mara ya mwisho ndani ya Premier league aliifundisha Fulham ambapo alitimuliwa kwa matokeo mabovu.. Alidumu na Klabu hiyo ya London tangu Novemba 2018 mpaka February 2019.. 🔜 ⚫⚪.
#EPLTransfersUpdates

Mshambuliaji wa PSG Neymar Jr amekubaliana na Fc Barcelona masuala binafsi ili kurejea klabuni hapo msimu huu. .

Breaking News | Mshambuliaji wa PSG Neymar Jr amekubaliana na Fc Barcelona masuala binafsi ili kurejea klabuni hapo msimu huu. .
.
Neymar amekubal kusaini mkataba wa miaka mitano utakamfanya alipwe kiasi cha £400,000 kwa wiki 🤑 na £21m kila msimu 💰 (Daily Mail) .
.
Unafikiri PSG watakubali kumuachia nyota wao?

Simba yasajiri beki kutoka brazil

#Repost @simbasctanzania Mchezaji mwingine kutoka Brazil mwenye uwezo mkubwa wa kucheza nafasi ya beki wa kati na kiungo mkabaji, Gerson Fraga Vieira (26) amesaini mkataba wa miaka miwili na Mabingwa wa nchi. Vieira ambaye amewahi kuwa nahodha wa timu ya Taifa ya wachezaji chini ya miaka 17 ya Brazil iliyokuwa na wachezaji maarufu kama Neymar, Philippe Coutinho, Casemiro na golikipa Alisson, pia alicheza timu ya Taifa ya wachezaji chini ya miaka 20 na alicheza klabu kadhaa za Brazil ikiwepo Grêmio amejiunga na klabu yetu akitokea ATK FC ya India.

FULL-TIME. Mali 🇲🇱 4-1 🇲🇷 Mauritania

FULL-TIME | New Suez Stadium, SUEZ… Mali inakuwa timu ya kwanza kushinda Magoli 3+ katika mechi Moja msimu huu wa Fainali za AFCON wakiitwanga Mauritania katika game ya Kundi E… Pia hii ndio game iliyotoa Magoli mengi zaidi tangu kuanza kwa Mashindano haya… Penati mbili ndani ya Mchezo mmoja 🙌.
:
Mali 🇲🇱 4-1 🇲🇷 Mauritania
[Abdoulaye Diaby, Moussa Marega (pen), Adama Traoré Noss, Adama Traoré || El Hacen El Id (pen)]
#TotalAFCON2019 #AFCONUpdates #MLIMTN

MATOKEO YA SOKA JANA JUMATATU NA RATIBA YA HII LEO. :

MATOKEO YA SOKA JANA JUMATATU NA RATIBA YA HII LEO.
:
– Copa America – Group C.
FT Chile 0 – 1 Uruguay
FT Ecuador 1 – 1 Japan
.
– World Cup Women – Play-off.
FT Spain 1 – 2 USA
FT Sweden 1 – 0 Canada
.
– CONCACAF – Gold Cup:: group B.
FT Bermuda 2 – 0 Nicaragua
FT Haiti 2 – 1 Costa Rica
.
– Africa Cup of Nations – Group D.
FT Ivory Coast 1 – 0 South Africa
.
– Africa Cup of Nations – Group E.
FT Tunisia 1 – 1 Angola
FT Mali 4 – 1 Mauritania
.
– Euro U-21 – Group C.
FT Croatia U21 3 – 3 England U21
FT France U21 0 – 0 Romania U21
.
– International – Club Friendlies.
FT SK Austria Klagenfurt 1 – 3 Lokomotiv Moscow
FT SV Horn 2 – 1 FC Ufa
:
RATIBA YA HII LEO JUMANNE.
– World Cup Women – Play-off.
19:00 Italy
China
22:00 Netherlands
Japan
.
– CONCACAF – Gold Cup:: group C.
03:00 Jamaica
Curacao
05:30 Honduras
El Salvador
.
– Africa Cup of Nations – Group F.
20:00 Cameroon
Guinea-Bissau
23:00 Ghana
Benin
.
– Champions League
(Qualification:: Preliminary round)
16:00 Tre Penne Galazzano
FC Santa Coloma
21:45 Feronikeli
Lincoln Red Imps FC
.
– International – Club Friendlies.
14:00 AC Horsens
AGF
14:00 FC Nordsjaelland
Kalmar FF
14:30 Haecken
Vendsyssel FF
19:00 Levski Sofia
Zenit St. Petersburg
19:00 Mlada Boleslav
Sturm Graz
20:00 Ajax
Quick 20
20:00 Malmoe FF
HNK Gorica
20:00 SV Leobendorf
Rapid Wien
20:30 Sparta Petegem
Zulte Waregem
#Updates #fixtures
@Sokawaytz

Design a site like this with WordPress.com
Get started