Klabu ya Fc Barcelona inakaribia kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa Ufaransa na Atletico Madrid Antoine Griezmann

Klabu ya Fc Barcelona inakaribia kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa Ufaransa na Atletico Madrid Antoine Griezmann kwa dau la £107m.
.
.
Inasemekana kifungu cha sheria cha uhamisho wake kinaanza kufanya kazi Julai 1 mwaka huu. (Telegraph)
.
.
Ikumbukwe jana kulikuwa na taarifa ya klabu hiyo kukubaliana masuala binafsi na Neymar Jr kutoka psg. .
.
Barcelona wanahamu ya kurejesha matumaini ya kushinda UCL msimu ujao ikiwa na Neymar + Griezmann + Messi na Suarez katika eneo lao la ushambuliaji endapo itawauza Ousmane Dembele pamoja na Malcom.

Shirikisho la soka la Uganda FUFA limewazawadia wachezaji wake Kiasi cha milioni 9 baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Congo DR. . .

Shirikisho la soka la Uganda FUFA limewazawadia wachezaji wake Kiasi cha milioni 9 kwa kila mmoja baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Congo DR. .
.
Kwa mara ya pili leo watatupa karata yao dhidi ya Zimbabwe majira ya saa 2:00 usiku #AFCON2019
.
.
@officialfelixtz

Mlinda lango Mkongwe, Gianluigi Buffon yuko tayari kurudi Juventus … kama mchezaji tena! :

– Mlinda lango Mkongwe, Gianluigi Buffon yuko tayari kurudi Juventus … kama mchezaji tena!
:
– Ameripotiwa kuwepo katika mazungumzo na klabu yake ya zamani na yupo tayari kukubali mkataba wa mwaka mmoja na kama kipa namba mbili… Buffon hatokuwa na timu Baada ya msimu huu kuachana na Mabingwa wa Ufaransa, @psg. 🔜 ⚪️⚫️
#SerieAUpdates

Mlinda lango Mkongwe, Gianluigi Buffon yuko tayari kurudi Juventus … kama mchezaji tena! :

– Mlinda lango Mkongwe, Gianluigi Buffon yuko tayari kurudi Juventus … kama mchezaji tena!
:
– Ameripotiwa kuwepo katika mazungumzo na klabu yake ya zamani na yupo tayari kukubali mkataba wa mwaka mmoja na kama kipa namba mbili… Buffon hatokuwa na timu Baada ya msimu huu kuachana na Mabingwa wa Ufaransa, @psg. 🔜 ⚪️⚫️
#SerieAUpdates

Design a site like this with WordPress.com
Get started