– Klabu ya Simba imeingia mkataba wa mwaka mmoja na Kampuni ya A One kupitia kinywaji cha MO Extra

– Klabu ya Simba imeingia mkataba wa mwaka mmoja na Kampuni ya A One kupitia kinywaji cha MO Extra wenye thamani ya shilingi milioni mia mbili hamsini (Sh250 mil).
.
– Kampuni hiyo ipo chini ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL Group) imeingia mkataba huo ikiwa na kuendeleza ushirikiano Klabu ya Simba ili wafikie malengo wanayokusudia..
#Updates

ZITTO KABWE: WATEKAJI MWACHIENI ONGANGI HANA TAARIFA MNAZOHITAJI

ZITTO KABWE: WATEKAJI MWACHIENI ONGANGI HANA TAARIFA MNAZOHITAJI

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amehusisha tukio la kudukuliwa kwa kurasa zake za mitandao ya Kijamii na kutekwa kwa msaidizi wake, Raphel Ongangi

Amewataka watekaji hao kumwachia huru Ongangi ambaye ni Raia wa Kenya anayeishi nchini, kwani hana taarifa zake wanazohitaji

Raphael aliripotiwa kutekwa na watu wasiojulikana akiwa jijini Dar, wakati akitoka shuleni kwa watoto wake kulikokuwa na kikao cha wazazi

Zitto amewasihi watekaji hao wamuache Raphael mahali popote kisha wao watakwenda kumchukua

HALFTIME.Namibia 🇳🇦 0-1 🇨🇮 Ivory Coast…….South Africa 🇿🇦 0-0 🇲🇦 Morocco

HALFTIME | 30 June Air Defence Stadium & Al-Salam Stadium… Mjini Cairo.

Namibia 🇳🇦 0-1 🇨🇮 Ivory Coast
[Max Alain Gradel]

South Africa 🇿🇦 0-0 🇲🇦 Morocco
#TotalAFCON2019 #RSAM #NAMCIV

https://www.instagram.com/p/BzYanpAAtFj/?igshid=2if7o5885qb6

– Legend ndani ya Nyumba.. Ally Mayay Tembele ni miongoni mwa wajumbe Saba wapya wanaounda kamati ya Fedha na Mipango ndani ya Klabu ya Yanga SC

– Legend ndani ya Nyumba.. Ally Mayay Tembele ni miongoni mwa wajumbe Saba wapya wanaounda kamati ya Fedha na Mipango ndani ya Klabu ya Yanga SC… Kamati hiyo mpya kabisa imeteuliwa leo na Mwenyekiti wa Klabu hiyo, Dr. Mshindo Msolla.
#Updates

Arsenal imethibitisha kuwa mlinda lango wao wa Kimataifa wa Ujerumani, Bernd Leno ataanza kuvaa jezi yenye namba Moja kuanzia msimu wa 2019/20..

O

OFFICIAL: Arsenal imethibitisha kuwa mlinda lango wao wa Kimataifa wa Ujerumani, Bernd Leno ataanza kuvaa jezi yenye namba Moja kuanzia msimu wa 2019/20..
#EPLTransfersUpdates

Baada ya kukamilisha usajili wa Eden Hazard , Real Madrid imehamia Liverpool kuwania saini ya Sadio Mane . .

Baada ya kukamilisha usajili wa Eden Hazard kutoka Chelsea, Klabu ya Real Madrid imehamia Liverpool kuwania saini ya mshambuliaji wao Sadio Mane .
.
Real wanataka kuwapa Liverpool kiungo Marco Asensio (23) kama sehemu ya dili hilo (Express)

Design a site like this with WordPress.com
Get started