Mataifa ya DR Congo na Guinea yamefuzu hatua ya 16 bora ya Fainali za Mataifa ya Afrika Kama “best loser”… Bado mataifa mawili kutimia kuwa

OFFICIAL | Mataifa ya DR Congo na Guinea yamefuzu hatua ya 16 bora ya Fainali za Mataifa ya Afrika Kama “best loser”… Bado mataifa mawili kutimia kuwa “best loser” Wanne wanaoungana na mataifa mengine 12 kukamilisha mataifa 16 yatakayocheza hatua ya Mtoano..
:
✍🏻 Huu ndio Msimamo wa timu ambazo zimeshika nafasi ya tatu kutoka Kundi La kwanza “A” Mpaka La mwisho “F”.
No:.. Group… Team.
1… B… Guinea W1 D1 L1, GF4 GA3; 4pts.✅
2… A… DR Congo W1 D0 L2, GF4 GA4; 3pts.✅
3… D… Afrika Kusini W1 D0 L2, GF1 GA2; 4pts.
4… C… Kenya W1 D0 L2 GF3, GA7; 3pts.
5… F… Benin W0 D2 L0, GF2 GA2; 2pts.
6… E… Angola W0 D2 L0, GF1 GA1; 2pts.
:
✍🏻 Tuelewane, Benin na Angola Kila mmoja kucheza game mbili, hao wengine wamemaliza games zao tatu Kila mmoja. GF katika Msimamo inamaama kwamba Magoli ya kufunga na GA inamaana kwamba Magoli ya kufungwa… Hizo herufi nyingine ni Win, Draw na Lose… Mwishoni ni points (Pts).
.
✍🏻 Kanuni ambazo hutumika kumpata best loser katika Michuano hii. Kwanza ni points, pili ni Tofauti ya Magoli ya kufunga (Goals Difference), tatu ni Magoli ya kufungwa baina yao wanaowanimia na Nne ni Sare chache..
#TotalAFCON2019 #AFCONUpdates
@Sokawaytz_

MATOKEO YA SOKA JANA JUMATATU NA RATIBA YA HII LEO

MATOKEO YA SOKA JANA JUMATATU NA RATIBA YA HII LEO:
:
– Africa Cup of Nations – Group C
FT Kenya 0 – 3 Senegal
FT Tanzania 0 – 3 Algeria
.
– Africa Cup of Nations – Group D
FT Namibia 1 – 4 Ivory Coast
FT South Africa 0 – 1 Morocco
.
– International – Club Friendlies
FT Budapest Honved 1 – 1 Royal Excel Mouscron
FT SVV Scheveningen 0 – 2 ADO Den Haag
FT Shelbourne 0 – 7 Hearts
:
RATIBA YA HII LEO JUMANNE.
World Cup Women – Semi-final
22:00 England
USA
.
– Africa Cup of Nations – Group E.
22:00 Angola
Mali
22:00 Mauritania
Tunisia
.
– Africa Cup of Nations – Group F.
19:00 Benin
Cameroon
19:00 Guinea-Bissau
Ghana
.
– Europa League – Qualification:: Preliminary round.
18:45 St Joseph’s
FC Prishtina
.
– International – Club Friendlies.
16:00 Arsenal Tula
Pribram
19:00 Dinamo Moscow
Sparta Prague
19:00 FC Koebenhavn
FC Orenburg
19:00 Maccabi Haifa
St.Truiden
19:30 Austria Wien
Slavia Prague
19:30 Dundee FC
Nottingham Forest
19:30 FK Akhmat
Sturm Graz
19:30 Young Boys
Levski Sofia
20:00 SV De Griffioen
SC Heerenveen
20:00 VV Hattem
PEC Zwolle
20:30 St. Gallen
Celtic
20:30 Venlosche Boys
VVV-Venlo
20:30 Xamax
Yverdon
21:15 Gretna FC 2008
Motherwell
#Updates #fixtures
@Sokawaytz

FULL-TIME | Al-Salam Stadium & 30 June Air Defence Stadium.. . Tanzania 🇹🇿 0-3 🇩🇿 Algeria .. Kenya 🇰🇪 0-3 🇸🇳 Senegal

FULL-TIME | Al-Salam Stadium & 30 June Air Defence Stadium..
.
Tanzania 🇹🇿 0-3 🇩🇿 Algeria
[Islam Slimani, Adam Mohamed Ounas 2X]
:
Kenya 🇰🇪 0-3 🇸🇳 Senegal
[ Ismaila Sarr, Sadio Mane ×2]
:
– Kwa Matokeo haya ni kwamba, Algeria wanashinda mechi zoote tatu za Kundi C na kumaliza Kama vinara wakiwa na Pointi Tisa na Kufuzu 16 Bora wakiungana na Senegal walio nafasi ya Pili kwa pointi zao Sita. Kenya wanamaliza nafasi ya tatu na pointi zao tatu wakienda kupangana katika Msimamo wa Kutafuta timu Nne za kufuzu Kama “best loser”… Tanzania tunamaliza mkiani bila pointi, tukijaaliwa Kesho kutwa tunawasili nyumbani Dar ES Salaam.
#TotalAFCON2019 #AFCONUpdates

FULL-TIME. …..Namibia 🇳🇦 1-4 🇨🇮 Ivory Coast……South Africa 🇿🇦 0-1 🇲🇦 Morocco

FULL-TIME | 30 June Air Defence Stadium & Al-Salam Stadium… Mjini Cairo.. GROUP D

Namibia 🇳🇦 1-4 🇨🇮 Ivory Coast
[Joslyn Kamatuka || Max Alain Gradel, Serey Die, Wilfried Zaha, Maxwell Cornet]

South Africa 🇿🇦 0-1 🇲🇦 Morocco
[Boussoufa Mbark]
:
– Hii leo Pia Kundi D limehitimishwa Rasmi kwa mataifa ya Morocco na Ivory Coast Kufuzu Moja kwa Moja hatua ya Mtoano, huku Afrika Kusini wakienda kupangana katika Msimamo wa kujaribu kupita Kama “best loser”… Namibia inakuwa timu nyingine kuondoka bila hata ya pointi katika Michuano hii, kesho wakijaaliwa wanawasili nyumbani jijini Windhoek… Msimamo Baada ya Kundi kuhitimishwa..
Q. 🇲🇦 Morocco (9pts)
Q. 🇨🇮 Ivory Coast (6pts)
3. 🇿🇦 South Africa (3pts)
E. 🇳🇦 Namibia (0pts)
#TotalAFCON2019 #AFCONUpdates
@Sokawaytz_

JAPAN YAWEKA VIKWAZO UUZAJI WA VIFAA VYAKE VYA TEKNOLOJIA, KOREA KUSINI

JAPAN YAWEKA VIKWAZO UUZAJI WA VIFAA VYAKE VYA TEKNOLOJIA, KOREA KUSINI

Japan imeamua kuweka vikwazo kwenye bidhaa za teknolojia zinazouzwa Korea Kusini kwasababu mahusiano kati ya nchi hizo mbili yamezorota kwa kiasi kikubwa

Wizara ya Uchumi, Biashara na Viwanda ya Japan imesema kuwa kuanzia Alhamisi, Julai 4, 2019 kampuni za Japan zitahitajika kuomba kibali cha binafsi ili kuuza vifaa vya kiteknolojia vikiwemo vya kutengenezea simu za mkononi

Uamuzi huo umeifanya Korea Kusini kuwasilisha waraka wa malalamiko kwa Shirika la Kibiashara Duniani

Msemaji wa Wizara ya Viwanda ya Korea Kusini amedai kuwa uamuzi wa Japan ni jibu baada ya Mahakama ya Juu ya Korea Kusini kuzitaka Kampuni za Japan kuwalipa fidia Wakorea Kusini waliotumikishwa kwa nguvu wakati wa ukoloni wa Rasi ya Korea kati ya mwaka wa 1910 – 1945

SIMIYU: PAMBA YAKWAMA KWENYE MAGHALA, WAKULIMA WAZUIA MAGARI

SIMIYU: PAMBA YAKWAMA KWENYE MAGHALA, WAKULIMA WAZUIA MAGARI

Wakulima wamechukua uamuzi wa kuyazuia magari yanayotumika kubeba shehena za zao la Pamba baada ya kutolipwa fedha zao

Inaelezwa kuwa hawajalipwa tangu kuanza kwa msimu wa ununuzi wa zao hilo ambapo wakulima wamekuwa wakipeleka pamba katika Vyama vya Msingi vya Ushirika(AMCOS)

Kutokana na kutolipwa fedha zao Wakulima wamekuwa wakishinda na kulala kwenye maghala ya kuhifadhia zao hilo

Siku ya leo wameamua huku wakisubiri hatima ya kulipwa fedha zao, wameamua kuyazuia magari hayo yasiondoke na Pamba hadi walipwe

Design a site like this with WordPress.com
Get started