Klabu ya Rayon Sports ya Rwanda imepigwa faini ya Rwf300,000

Klabu ya Rayon Sports ya Rwanda imepigwa faini ya Rwf300,000 na kufungiwa kutoshiriki mchezo wowote wa kirafiki kwa muda wa miezi 12 yaani mwaka mmoja

Adhabu hii imetolewa na chama cha soka nchini Rwanda FA baada ya klabu hiyo kutangaza kutoshiriki michuano ya Ubutwari Cup ikiwa imesalia siku moja pekee kabla ya michuano hiyo kuanza rasmi mwezi uliopita

Powered by @sports_lady_tz
#dailysporttz

Kamata Ratiba Ya Soka Leo

:
👉England – Premier League
17:00 Sheffield United vs AFC Bournemouth
19:30 Manchester City vs West Ham United
:
👉England – Championship
16:30 Millwall vs West Bromwich Albion
:
👉Spain – LaLiga Santander
14:00 RCD Espanyol vs Mallorca
16:00 Real Sociedad vs Athletic Bilbao
18:00 Osasuna vs Real Madrid
20:30 Celta Vigo vs Sevilla
23:00 Real Betis vs Barcelona
:
👉Spain – LaLiga SmartBank
14:00 Alcorcon vs Deportivo La Coruna
14:00 Albacete vs Ponferradina
18:00 Sporting Gijon vs CD Mirandes
20:15 Lugo vs Elche
20:15 Rayo Vallecano vs Real Oviedo
22:30 Malaga vs Numancia
:
👉Italy – Serie A
14:30 SPAL vs Sassuolo
17:00 Brescia vs Udinese
17:00 Genoa vs Cagliari
17:00 Napoli vs Lecce
20:00 Parma vs Lazio
22:45 Inter vs Milan
:
👉Germany – Bundesliga
16:30 Borussia Mönchengladbach vs 1. FC Köln
20:00 FC Bayern München vs RasenBallsport Leipzig
:
👉France – Ligue 1
17:00 Montpellier vs Saint-Etienne
19:00 Strasbourg vs Reims
23:00 Paris Saint-Germain vs Lyon
:
👉Algeri – Ligue 1
18:00 US Biskra vs JS Kabylie
:
👉Egypt – Premier League
20:00 El Hodood vs El Gounah
22:30 Ismaily SC vs El Zamalek
:
👉Kenya – Premier League
15:00 AFC Leopards vs Tusker FC
:
👉Morocco – Botola Pro
20:00 MCO Oujda vs Hassania Agadir
:
👉Tunisia – Ligue I
16:00 AS Slimane vs JS Kairouanaise
16:00 Ben Guerdane vs Etoile Metlaoui
16:00 CS Sfaxien vs US Monastir
16:00 Stade Tunisien vs Club Africain
16:00 Esperance vs US Tataouine
:
👉Ghana – Premier League
18:00 Accra Great Olympics vs Eleven Wonders FC
18:00 Aduana Stars vs Hearts of Oak
18:00 Ashanti Gold FC vs Liberty Professionals
18:00 Bechem United vs Ebusua Dwarfs
18:00 Dreams FC vs Asante Kotoko
18:00 Elmina Sharks vs Berekum Chelsea FC
18:00 Karela United FC vs Medeama SC
:
#TanzaniaFDL
16:00 Mlale FC vs Mbeya kwanza
16:00 Sahare all stars vs Rhino Rangers
16:00 Mawenzi Market vs Mashujaa FC
16:00 Geita Gold vs Pamba sc
16:00 Dodoma Fc vs Boma Sc
16:00 African Lyon Vs Friends Rangers
:
Prepared by @officialchristz
#SokaplaceUPDATES
@danirito_thomson

Dondoo za michezo na Dominick Salamba ⛹

.
💥Diamond Platnumz awatolea uvivu mashabiki wa simba,awaambia waache lawama za hovyo,hakuna timu inayoweza kushinda kila mechi,kufungwa ni sehemu ya mchezo….
.
💥Yanga,Azam zapata ushindi ligi kuu,zaendelea kujiimarisha,Masau Bwire kelele zimekata mjini….
.
💥Ronaldo anatupia tu huko Serie A,amefunga jana na kumfanya awe amefunga kwenye mechi ya kumi mfululizo huku wakipokea kipigo cha 2-1 …..
.
💥Kwa mara ya kwanza toka asajiliwe na Dotmumd,Haalard jana ndio amemaliza mechi bila kufunga goli….
.
💥Dabi ya Inter Millan na AC Millan kwapeleka Inter kileleni mwa msimamo wa Serie A,kama tu watafanikiwa kuifunga AC Millan….
.
💥Senzo: “Sven bado yupo yupo sana tu Simba SC…..
.
💥Iniesta anahesabu tu mataji,atwaa lingine akiwa na Vassel kobe……
.
💥Hata sisi tunashangazwa na hali iliyowakuta waamuzi wetu -Kidau….
.
💥Hofu ya virusi vya Corona yamkosesha kambi Ighalo huko Man utd…
.
💥Kwenye #epl Evaton yitandika Cristal Palace 3-1,Brighton na Watfod hakuna mbabe….
.
💥Alireza Johanbakhsh ndie aliyeshinda tuzo ya goli bora kwa mwezi januari kwenye #epl …
.
.

#bakinasisi__ #njookwetu #TupoNawePaleUlipo

#Cr7Updates – Mechi 10 za mwisho alizocheza Cristiano Ronaldo Serie

#

Cr7Updates – Mechi 10 za mwisho alizocheza Cristiano Ronaldo Serie A
_
🆚 Sassuolo ⚽️ .
🆚 Lazio ⚽️ .
🆚 Udinese ⚽️⚽️
🆚 Sampdoria ⚽️
🆚 Cagliari ⚽️⚽️⚽️🅰
🆚 Roma ⚽️
🆚 Parma ⚽️⚽️
🆚 Napoli ⚽️
🆚 Fiorentina ⚽️⚽️
🆚 Hellas Verona ⚽️
_
#bakinasisi__ #NjooKwetu #TupoNawePaleUlipo

Mambo 10 nilioyaona Ruvu Shooting Vs Yanga

1: Ditram Nchimbi🙌 Mchezaji wa kisasa katika mwili wa winga hatari wa kizamani. Nguvu, kasi, pasi ya moto👏 Huyu ndie Nchimbi aliyempa ufalme Salim Aiyee kule Mwadui

2: Mayanga alichagua kuanza na 4-1-3-2. Ilikua plan nzuri mpaka pale Gharam Naftal alipokata upepo. Alipochoka kutembea kwenye space kati ya Tshishimbi na Haruna, mzigo ukawaelemea mabeki. Kama si uimara wa kipa wao (Makaka), Ruvu wangefungwa mabao 3 kipindi cha kwanza

3: Kipindi cha pili Mayanga akaufungua mchezo zaidi. Akaingia kwenye 4-2-2-2 ( Sadat alipokuja kusimama mbele na Fully Maganga, Kisiga akiwa mstari mmoja na Jamal Mnyate, ngoma ikageuka. Presha ikawa kubwa sana kwa Yanga

4: Zuberi Dabi🙌 Yes, Ruvu wamefungwa lakini huwezi kusahau perfomance yake bora katikati ya kiwanja. Kipindi cha pilk alikata kabisa mawasiliano ya Haruna na Balama

5: Tatizo kubwa la Yanga kuonekana inakata pumzi ni kukosa huduma ya ukabaji kwa Niyonzima na Balama. Baada ya dakika ya 60, mzigo wote wa ukabaji hubaki kwa Tshishimbi. Bahati mbaya zaidi, mida hio pia timu inakosa straika mwenye uwezo wa kuhold mpira mbele. Mpira ukienda, sekunde unarudi

6: Juma Abdul👏 Asante kaka. Ilikua ngumu kuamini kama angerejea kwenye ushindani, inakua ngumu tena kwa sasa kuamini uwezo wake kwa mechi 4 mfululizo. He is back🙌

7: Lamine Moro👏 Beki kiongozi. Nimeona mara kadhaa akiipanga safu yake ya ulinzi na kipindi cha pili akawa msaada mkubwa kwa Tshishimbi kwenye kukaba

8: Omary Kindamba (Beki namba 2) wa Ruvu🙌 Alikuwa na dakika 90 bora sana. Ili kufanikiwa kudhibiti runs za Morrrison ni lazima ufanye majukumu yako ya msingi kwenye kukaba
.
.
9: Labda kama Tariq Seif hajawa fiti vizuri, lakini bila shaka yoyote, kuna Molinga na Yikpe ndani ya Tariq mmoja. Yanga inahitaji straika mgumu, mwenye akili kucheza na aina ya mabeki wabishi kama Ruvu

10: Metacha Mnata🤔 Hajaruhusu bao lakini amekua na makosa mengi sana ambayo kuna siku yatakuja kuigharimu Yanga, wakipatikana mastraika makini. Anatakiwa kuwa makini zaidi kwenye maamuzi yake

Nb: Yope ni Sadney mrefu😀

Kamata Matokeo Ya Soka Jana Barani Afrika

:

👉VodacomPrimierLeague
FT Ndanda SC 0-0 Namungo FC
FT Kagera Sugar 0-0 Biashara United
FT Mtibwa Sugar 0-1 Lipuli FC
FT Ruvu Shooting 0-1 Yanga SC
FT TZ Prisons 0-1 Mbeya City
FT Alliance FC 1-1 Mbao FC
FT Coastal Union 2-0 Polisi Tanzania
FT Azam FC 3-1 KMC Fc
FT Singida United 2-2 Mwadui FC
:
#TanzaniaFDL
FT Majimaji 1-0 Iringa United
FT Pan African 1-0 Cosmopolitan
FT Green Warriors 2-0 Stand United
FT Gipco FC 1-2 Gwambina
:
👉Algeria – Ligue 1
FT CA Bordj Bou Arreridj 2 – 0 USM Bel Abbes
FT NA Hussein Dey 0 – 3 ASO Chlef
FT NC Magra 1 – 1 CR Belouizdad
FT USM Alger 1 – 3 CS Constantine
FT JS Saoura 2 – 1 AS Ain Mlila
FT MC Oran 1 – 1 ES Setif
:
👉Egypt – Premier League
FT Al-Ittihad Al-Sakandary 0 – 1 Aswan FC
FT FC Masr 0 – 1 Smouha SC
FT Misr El-Maqasa 1 – 1 El Entag El Harby
:
👉Kenya – Premier League
FT Bandari 1 – 1 Kakamega Homeboyz
FT Nzoia Sugar FC 1 – 1 Ulinzi Stars
FT Wazito FC 2 – 1 Western Stima
FT Chemelil Sugar 2 – 1 Posta Rangers
FT Mathare United 3 – 1 Zoo FC
FT Sofapaka 3 – 1 Gor Mahia
:
👉Tunisia – Ligue I
FT CS Hammam-Lif 2 – 1 CA Bizertin
FT Etoile du Sahel 0 – 0 Sportif de Chebba
:
👉Ghana – Premier League
FT King Faisal 1 – 1 Sogakope Wafa
FT Inter Allies FC 1 – 1 Legon Cities FC
:
👉Nigeria – NPFL
FT Dakkada FC 0 – 0 Plateau United
:
Prepared by @officialchristz
#SokaplaceUPDATES
@danirito_thomson

Kamata Matokeo Ya Soka Jana Barani Ulaya

:
👉England – Premier League
FT Everton 3 – 1 Crystal Palace
FT Brighton & Hove Albion 1 – 1 Watford
:
👉England – Championship
FT Wigan Athletic 1 – 2 Preston North End
FT Barnsley 1 – 1 Sheffield Wednesday
FT Blackburn Rovers 0 – 1 Fulham
FT Brentford 3 – 2 Middlesbrough
FT Huddersfield Town 2 – 0 Queens Park Rangers
FT Luton Town 0 – 1 Cardiff City
FT Reading 1 – 1 Hull City
FT Stoke City 3 – 1 Charlton Athletic
FT Swansea City 2 – 3 Derby County
FT Nottingham Forest 2 – 0 Leeds United
:
👉England – League 1
FT AFC Wimbledon 1 – 2 Fleetwood Town
FT Blackpool 2 – 1 Southend United
FT Burton Albion 0 – 0 Gillingham
FT Coventry City 2 – 1 Bolton Wanderers
FT Doncaster Rovers 1 – 1 Rochdale
FT Peterborough United 4 – 0 Oxford United
FT Shrewsbury Town 1 – 1 Milton Keynes Dons
FT Sunderland 1 – 0 Ipswich Town
FT Tranmere Rovers 0 – 2 Portsmouth
FT Wycombe Wanderers 3 – 1 Bristol Rovers
:
👉Spain – LaLiga Santander
FT Levante 2 – 0 Leganes
FT Getafe 3 – 0 Valencia
FT Real Valladolid 1 – 1 Villarreal
FT Atletico Madrid 1 – 0 Granada
:
👉Spain – LaLiga SmartBank
FT Extremadura 2 – 4 Tenerife
FT Girona 1 – 0 SD Huesca
FT Las Palmas 1 – 2 Cadiz
FT Real Zaragoza 0 – 0 Fuenlabrada CF
:
👉Italy – Serie A
FT Fiorentina 1 – 2 Atalanta
FT Torino 1 – 3 Sampdoria
FT Verona 2 – 1 Juventus
:
👉Germany – Bundesliga
FT Schalke 04 1 – 1 SC Paderborn 07
FT Hertha BSC 1 – 3 Mainz 05
FT Freiburg 1 – 0 Hoffenheim
FT Wolfsburg 1 – 1 Fortuna Düsseldorf
FT Werder Bremen 0 – 2 1. FC Union Berlin
FT Bayer Leverkusen 4 – 3 Borussia Dortmund
:
👉France – Ligue 1
FT Marseille 1 – 0 Toulouse
FT Dijon 3 – 3 Nantes
FT Metz 1 – 2 Bordeaux
FT Rennes 0 – 0 Brest
FT Nice 1 – 3 Nimes
FT Amiens 1 – 2 Monaco
:
👉Netherlands – Eredivisie
FT FC Groningen 1 – 0 Vitesse
FT PSV Eindhoven 3 – 0 Willem II
FT SC Heerenveen 1 – 1 VVV-Venlo
FT RKC Waalwijk 0 – 0 PEC Zwolle
:
👉Belgium – First Division A
FT Sporting Charleroi 4 – 0 Zulte Waregem
FT Cercle Brugge 3 – 2 KV Mechelen
FT St.Truiden 5 – 2 Eupen
FT Royal Excel Mouscron 3 – 1 Oostende
:
Prepared by @officialchristz
#SokaplaceUPDATES
@danirito_thomson

Design a site like this with WordPress.com
Get started