TUME YA UCHAGUZI YATANGAZA UCHAGUZI JIMBO LA LISSU KUFANYIKA JULAI 31, 2019 –

TUME YA UCHAGUZI YATANGAZA UCHAGUZI JIMBO LA LISSU KUFANYIKA JULAI 31, 2019

Leo Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza uchaguzi mdogo katika Jimbo la Singida Mashariki lililokuwa likishikiliwa na Tundu Lissu

Tundu Lissu(CHADEMA) amefutiwa Ubunge wake kwa madai ya kutohudhuria vikao vya Bunge kwa muda mrefu bila ya taarifa rasmi

Akitangaza kumvua Ubunge, Spika Job Ndugai alisema hatua hiyo imechukuliwa kwa mujibu wa kanuni za Bunge

Tundu Lissu kwa sasa yuko nchini Ubelgiji akiendelea na matibabu ya majeraha ya risasi baada ya kushambuliwa Septemba 7, 2017

POLISI WAMUACHIA WEMA SEPETU BAADA YA KUMKAMATA JANA –

POLISI WAMUACHIA WEMA SEPETU BAADA YA KUMKAMATA JANA

Msanii huyo wa filamu nchini, amenusurika kulala Mahabusu jana baada ya Kituo Kikuu cha Polisi kumuachia huru kwa dhamana hadi hapo watakapomuhitaji

Wema alikamatwa tena jana na Polisi baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kumwachia huru kutokana na Hakimu kuzikubali hoja za upande wa utetezi

Klabu ya Kagera Sugar imeendelea kusuka Kikosi chake kujaribu kufuta walipokosea msimu uliopita ambapo tulishuhudia wakinusurika kushuka Daraja

OFFICIAL | Klabu ya Kagera Sugar imeendelea kusuka Kikosi chake kujaribu kufuta walipokosea msimu uliopita ambapo tulishuhudia wakinusurika kushuka Daraja.. Klabu hiyo Imethibitisha kukamilisha Usajili wa Winga mbili matata, Yusuph Mhilu na Geoffrey Mwashiuya.
.
– Mwashiuya na Mhilu wote wamewahi kuicheza Yanga SC ya Dar ES Salaam, lakini Mwashiuya kajiunga na Kagera Sugar Baada ya kuachana na Singida United ya Mkoani Singida huku Mhilu akitua klabuni hapo akitokea kucheza kwanza mkopo Ndanda FC ya Mtwara akitokea Yanga SC.. Mawinga wote hao wawili Kila mmoja kasaini Mkataba wa Mwaka Mmoja kuwatumikia Wanankurukumbi..
.
– Wengine waliosajiliwa na #wanankurukumbi ni Hassan Isihaka, Abdallah Seseme, Nassor Kapama, Mwaita Gereza, David Luhende, Haroun Kheri, Frank Ikobela, Walioongeza Mikataba Ni Juma Nyosso, Juma Shemvuni, Said Kipao, Peter Mwalyanzi na Ramadham Chalamanda.
#TPLTransferUpdates #TPLUpdates
@Sokawaytz_

Ni rasmi sasa, beki kisiki, Daniel Amoah, ameongeza mkataba mpya wa miaka mitatu kuendelea kuitumikia Azam FC

OFFICIAL | Ni rasmi sasa, beki kisiki, Daniel Amoah, ameongeza mkataba mpya wa miaka mitatu kuendelea kuitumikia Azam FC.

Mkataba huo mpya utamfanya Amoah, kuendelea kusalia ndani ya viunga vya Azam Complex hadi mwaka 2022.
#TPLTransferUpdates

Kufuatia madai kutoka kwa vyombo vya habari kuwa Raisi na Mmiliki wa Klabu ya TP Mazembe, Moïse Katumbi alitoa “Rushwa” kwenda kwa kipa wa timu ya taifa ya Zimbabwe

✍🏼: Kufuatia madai kutoka kwa vyombo vya habari kuwa Raisi na Mmiliki wa Klabu ya TP Mazembe, Moïse Katumbi alitoa “Rushwa” kwenda kwa kipa wa timu ya taifa ya Zimbabwe ili kudaka chini ya kiwango katika mechi yao Zimbabwe dhidi ya DR Congo katika mechi ya mwisho ya Makundi ya AFCON huko Misri… Tayari barua ya uchunguzi wa sakata hilo imetolewa na CAF.
:
✍🏼: Raisi wa wa TP Mazembe, Moïse Katumbi amekataa kabisa tuhuma hizo kuwa alilipa pesa kwa kipa wa The Warriors, Elvis Chipezeze ili kuregeza mechi hiyo. Katumbi anasema kuwa alikuwa tu Misri kwa mchezo wa kwanza wa DRC kisha akarudi Ubelgiji Kuendelea na Shughuli zake na hakukaa Nchini Misri kwa muda mrefu… Baada ya Zimbabwe kutupwa nje ya Michuano ya AFCON, Mlinda lango huyo wa Klabu ya Baroka FC ya Afrika Kusini, Aliibuka na kuomba radhi kwa “kuchomesha” mechi ile..
#AFCONUpdates
@Sokawaytz_

MATOKEO YA SOKA JANA NA RATIBA YA HII LEO IJUMAA.

MATOKEO YA SOKA JANA NA RATIBA YA HII LEO IJUMAA.
:
.
– Europa League – Qualification:: Preliminary round.
FT Cardiff Met University 2 – 1 FC Progres Niedercorn
FT UE Engordany 2 – 1 La Fiorita Montegiardino
FT NSI Runavik 0 – 0 Ballymena United
FT Europa FC 4 – 0 Sant Julia
FT Cliftonville 4 – 0 Barry Town
FT Tre Fiori 0 – 4 Klaksvik
.
-:International – Club Friendlies
FT Ferencvaros 2 – 0 Royal Excel Mouscron
FT Spartak Moscow 1 – 2 FC Krasnodar
FT RSV Weyer 0 – 14 Fortuna Düsseldorf
FT DJK Bad Homburg 0 – 14 Eintracht Frankfurt
Aband. Charlton Athletic 1 – 0 Gaz Metan Medias
FT Rolder Boys 0 – 10 FC Emmen
FT Raith Rovers 3 – 2 Hamilton Academical.
:
RATIBA YA HII LEO IJUMAA.
– Africa Cup of Nations – Round of 16
19:00 Morocco
Benin
22:00 Uganda
Senegal
.
– International – Club Friendlies
13:00 Hobro
Fredericia
13:00 Rubin Kazan
FC Tambov
14:00 AC Horsens
AaB
16:00 FC Twente
Al-Wahda
16:00 FC Ufa
Viktoria Plzen
17:00 Austria Wien
Banik Ostrava
17:00 Zaglebie Lubin
Sparta Rotterdam
17:30 Xamax
FC Stade Lausanne-Ouchy
18:00 Grazer AK
Middlesbrough
18:00 LASK
Sparta Prague
18:00 Shakhtar Donets
FC Koebenhavn
18:30 AS Beziers
Nimes
18:30 FC Krasnodar
Ural
18:30 Slovan Liberec
Dinamo Moscow
19:00 SpVg Frechen 20
1. FC Köln
19:30 VVV-Venlo
St.Truiden
19:30 Wolfsberger AC
SK Austria Klagenfurt
20:00 FC Emmen
PEC Zwolle
20:00 FC Groningen
Ross County
20:00 Kortrijk
OH Leuven
20:00 Lugano
Chiasso
20:00 SC Heerenveen
SV Meppen
20:00 TSG Backnang
VfB Stuttgart
21:00 Taffs Well
Cardiff City
21:45 AFC Wimbledon
Brentford
#fixtures #Updates
@Sokawaytz_

Machache kutoka kwa Kocha wa Klabu ya Chelsea, Frank Lampard Akiongea na Waandishi wa Habari kwa Mara yake ya kwanza

✍🏻 Machache kutoka kwa Kocha wa Klabu ya Chelsea, Frank Lampard Akiongea na Waandishi wa Habari kwa Mara yake ya kwanza viungo vya Stamford Bridge Kama kocha Mkuu wa The Blues.
:
🗣 Alipoulizwa juu ya uzoefu wake, Frank anakubali kuwa anatambua Kutakuwa na ugumu, lakini Anasema amefanya kazi chini ya baadhi ya mameneja wakubwa na wenye uzoefu na kajifunza mengi, pamoja na kuijua sana klabu hii, akasema ‘Nina jiamini kabisa mimi mwenyewe..
:
🗣 Frank anasema malengo yake ni ya kushindana na atanaanza msimu anataka kushinda. Anasema “tuna kikosi kikubwa, hata bila Eden Hazard, kuna wachezaji wadogo ambao wana vipaji kuwa wachezaji Wakubwa wa Chelsea” anaongea Lampard.
:
🗣 Frank anasema anataka wachezaji ambao wanahisi maana ya kucheza kwa Klabu kama Chelsea, akizungumzia mfano Kama walivyo kuwa wao na Wakongwe wengine kama Terry, Drogba, Cech.
:
🗣 Frank anasema “tuna kikosi chenye nguvu ya kushindana kupambania top 4 ya ligi”.
:
🗣 Frank anaulizwa kama ana wazo ambapo anaweza kumchezesha N’Golo Kante.. alijibu ‘Ndiyo mimi naweza”.. Akamsifu Kante Ni Mchezaji Bora na Anaendelea kuutaka ubora wa kiungo huyo wa Kifaransa Kuendelea Kipindi chake chote akiwepo hapo.. 🗣 “Yeye ni mmoja Kati ya wachezaji bora wengi wa Kiungo duniani. Kazi yangu itakuwa kumpatia nafasi nzuri na kupata Ubora kutoka kwake”..
#WelcomeHomeFrank
@Sokawaytz_

Beki wa kushoto wa klabu ya Real Madrid Marcelo (31) ameiomba klabu hiyo kuondoka ili kutafuta changamoto ya maisha yake ya soka sehemu nyingine (Mirror) . .

Beki wa kushoto wa klabu ya Real Madrid Marcelo (31) ameiomba klabu hiyo kuondoka ili kutafuta changamoto ya maisha yake ya soka sehemu nyingine (Mirror) .
.
Mpaka sasa ni PSG, Juventus, Ac Milan na Arsenal ndizo klabu zilizoonyesha nia ya kumhitaji.

Nyota kinda wa Manchester Utd Axel Tuanzebe (21) anaweza kusaini mkataba mpya ndani ya klabu hiyo muda wowote kuanzia sasa

Nyota kinda wa Manchester Utd Axel Tuanzebe (21) anaweza kusaini mkataba mpya ndani ya klabu hiyo muda wowote kuanzia sasa baada ya kocha Ole Gunnar Solskjaer kumthibitishia kuwa anamhitaji na yupo kwenye mipango yake msimu huu.

Design a site like this with WordPress.com
Get started