Winga wa Kenya Ayub Timbe Masika amejiunga na Reading FC ligi ya Championship nchini Uingereza

Winga wa kimataifa wa Kenya
Ayub Timbe Masika amejiunga na klabu ya Reading FC inayoshiriki ligi ya Championship nchini Uingereza kwa mkopo mpaka mwisho wa msimu huu akitokea Beijing Renhe ya China

Timbe mwenye umri wa miaka 27 kwa sasa alizaliwa September 10, 1992 Mpwani Nairobi nchini Kenya pia aliyewahi kuichezea klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji mwaka 2011 mpaka 2016

Pia Timbe alianza kuitumikia timu ya taifa ya Kenya mwaka 2012 na amefanikiwa kuichezea michezo 15 mpaka sasa na amemfunguia goli 4

_____________________________________________
Kwa mahitaji ya vifaa bora vya michezo kama Viatu, gloves, mipira na vingine wasiliana nasi @sports_lady_tz kwa namba 0657908829 Whatsapp

Duka letu lipo Dar es salaam Ubungo Mataa

Kwa Dar es salaam Unaweza kuletewa bidhaa zetu popote ulipo, pia tunatuma mikoani popote tutakufikia

Follow @sports_lady_tz kwa vifaa bora vya michezo Tanzania

#dailysporttz

MSIMU BORA WA USAJILI KUWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KLABU YA CHELSEA 2004/2005

MSIMU BORA WA USAJILI KUWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KLABU YA CHELSEA 2004/2005

🇨🇮 Didier Drogba – £35m
🇵🇹 Ricardo Carvalho – £27m
🇵🇹 Paulo Ferreira – £18m
🇳🇱 Arjen Robben – £16m
🇵🇹 Tiago – £13.5m
🇨🇿 Petr Cech – £11m
🇧🇷 Alex – £10.5m
🇷🇸 Mateja Kezman – £6.75m

Powered by @sports_lady_tz
#dailysporttz

Kamata Ratiba ya Soka Leo :

👉England – Championship
22:45 Cardiff City vs Reading
22:45 Derby County vs Stoke City
:
👉Spain – LaLiga SmartBank
23:00 Tenerife vs Sporting Gijon
:
👉Germany – Bundesliga
20:30 Hertha BSC vs Schalke 04
:
👉France – Ligue 1
22:45 Rennes vs Nantes
:
👉Netherlands – Eredivisie
22:00 AZ Alkmaar vs RKC Waalwijk
:
👉Netherlands – Eerste Divisie
22:00 Almere City FC vs Telstar
22:00 FC Den Bosch vs Jong AZ Alkmaar
22:00 FC Eindhoven vs De Graafschap
22:00 FC Volendam vs Helmond Sport
22:00 MVV Maastricht vs Jong PSV
22:00 NEC Nijmegen vs Cambuur
22:00 Excelsior vs NAC Breda
22:00 TOP Oss vs Roda JC Kerkrade
:
👉Belgium – First Division A
22:30 Kortrijk vs Standard Liege
:
👉Morocco – Botola Pro
21:00 Ittihad Tanger vs Rapide Club Oued Zem
:
👉South Africa – Premier League
21:00 Maritzburg United vs Cape Town City FC
:
👉Ghana – Premier League
18:00 Karela United FC vs Legon Cities FC
18:30 Inter Allies FC vs King Faisal
:
👉International – Friendlies :: women
13:00 Morocco vs Tunisia
:
👉International – Club Friendlies
15:00 Brann vs AC Horsens
15:00 GIF Sundsvall vs AIK
15:00 SoenderjyskE vs Bohemians 1905
16:00 FC Nordsjaelland vs FC Liefering
17:00 FC Orenburg vs Borac Banja Luka
17:00 Odds Ballklubb vs Notodden
18:00 Sturm Graz vs Domzale
19:00 Aalesund vs Brattvaag
19:00 Brommapojkarna vs Oestersunds FK
19:00 Grorud vs Stabaek
19:00 Start vs Mjoendalen

Prepared by @officialchristz
#SokaplaceUPDATES
@danirito_thomson

Issa Bigirimana kujiunga na klabu ya Polisi Fc ya nchini kwake Rwanda.

Mchezaji wa zamani wa Yanga Sc Issa Bigirimana yupombioni kujiunga na klabu ya Polisi Fc ya nchini kwake Rwanda.

Bigirimana alijiunga na Yanga Mwanzoni wa msimu huu lakini hakuuonja utam wa ligi kuu (hakucheza mechi yoyote) kutokana na nafasi yake kuwa na watu wenyeuwezo zaidi yake: uongozi wa Yanga Sc ukaamua kuvunja nae mkataba.

#fullsokatzupdates

Tarehe na mwezi kama wa leo Mwaka 2013 Klabu ya Liverpool ilimsajili Rasmi Mbrazil Philipe Coutinho

Tarehe na mwezi kama wa hii leo Mwaka 2013 Klabu ya Liverpool ilimsajili Rasmi Kiungo Mbrazil Philipe Coutinho kwa Dau la paundi million 13 pekee kutokea klabu ya Inter Milan ya Italia

Lakini mwaka 2018 january wakamuuza Barcelona kwa paundi million 145 (LIVER AKAJIPATIA FAIDA YA PAUNDI MILLION 119)

Kwa sasa Coutinho anakipiga kwa Mkopo klabuni Bayern Munich akitokea Barcelona

Hassan Dilunga awa moto.mkali

#

ExtraTime | Hassan Dilunga chini ya Sven yuko moto kweli kweli
Mpaka sasa amefunga Mabao 5. Kwa namba, Dilunga ndio mchezaji hatari zaidi kwenye kikosi cha Simba

Nini Sven amekiongeza kwa Dilunga kiufundi?

Chini ya Sven, huwa inacheza 4-2-3-1 ikiwa haina mpira, lakini huswitch kwenda kwenye 3-4-1-2 inapokwenda kushambulia

Ipi ‘role’ ya Dilunga hapa? Kwenye maratasi unaweza kumuona akipangwa kama winga wa kulia, lakini kimuundo huja kwenye eneo tofauti kabisa

Kitaalamu inatwa ‘Halbraum’. A half space midfielder

Anazunguka kwenye umbo la pembetatu (katikati ya kiungo wa ulinzi, beki wa kushoto na beki mmoja wa kati)

Simba ikiwa haina mpira anashiriki kutengeneza Balance ya timu kwa kukaa kwenye eneo ambalo mabeki wa timu pinzani watashindwa kufanya build up kutoka chini
.
.
Kwa jukumu hili, timu pinzani hulazimika kupiga mipira mirefu. (Hapa ndipo Svan anapochemka kuipanga timu yake nyuma baada ya kufanikiwa mtego wa mbele)

Simba ikiwa na mpira, anasaidia kuvuruga umakini wa beki wa kati na beki wa kushoto (pamoja na kiungo pindi anapoingia ndani)

Kwa jukumu hili, ndio unaona Kapombe amekua na eneo kubwa sana anapopanda.

Tazama bao lake lilivyokua.

Tazama movement za wachezaji wa mbele wa Simba zilivyokua. Fantastic👏

Kagere, Ajib waliasist hili bao kwa movement tu. Kitaalam inaitwa ‘Dispersal’ (Uwezo wa mastraika kuwaondoa mabeki kwenye nafasi zao)

Tazama Mobility ya Dilunga. Kwanza, alikimbia mbele, baadae akaghairi. Akanusa hatari. Aliporudi, akapokea mpiraa akiwa free.

Akakimbia na Kikoti. Wakati huo Kagere na Ajib wakiwa wameshaivuruga safu ya ulinzi kwa movement zao, Dilunga alipoturn tu, akajikuta macho yake yanamuona Balora kwa mita 23
.
.
Ana uwezo wa kupiga. Akapiga na kuweka bao safi👏

Hivo ndivyo falsafa ya Sven na ubora wake wa mbinu pindi timu inaposhambulia, ulivyoweza kumbadilisha Dilunga.

Design a site like this with WordPress.com
Get started