Mshambuliaji mpya wa Klabu ya Yanga SC, Sadney Urikhob 🇳🇦, anatarajia kuwasili nchini muda

Mshambuliaji mpya wa Klabu ya Yanga SC, Sadney Urikhob 🇳🇦, anatarajia kuwasili nchini muda wowote tayari kuanza majukumu mapya ndani ya Klabu ya Mpya… Kwasasa Yanga SC tayari imeingia kambini mkoani Morogoro kujiandaa na msimu Mpya wa Ligi na Michuano ya Kimataifa.
#TPLTransferUpdates #TPLUpdates

Mshambuliaji mpya wa Klabu ya Yanga SC, Sadney Urikhob 🇳🇦, anatarajia kuwasili nchini muda

Mshambuliaji mpya wa Klabu ya Yanga SC, Sadney Urikhob 🇳🇦, anatarajia kuwasili nchini muda wowote tayari kuanza majukumu mapya ndani ya Klabu ya Mpya… Kwasasa Yanga SC tayari imeingia kambini mkoani Morogoro kujiandaa na msimu Mpya wa Ligi na Michuano ya Kimataifa.
#TPLTransferUpdates #TPLUpdates

MATOKEO YA SOKA JANA JUMANNE NA RATIBA YA HII LEO.

M

MATOKEO YA SOKA JANA JUMANNE NA RATIBA YA HII LEO.
:
– Champions League – Qualification.
FT FC Astana 1 – 0 CFR Cluj
FT Ararat Armenia 2 – 1 AIK
FT HJK 3 – 0 HB Torshavn
FT Nomme JK Kalju 0 – 1 KF Shkendija
FT FK Sarajevo 1 – 3 Celtic
FT F91 Dudelange 2 – 2 Valletta
FT Suduva 0 – 0 FK Crvena Zvezda
FT TNS 2 – 2 Feronikeli
:
– Europa League – Qualification.
FT St Joseph’s 0 – 4 Rangers
FT Gzira United 0 – 2 Hajduk Split
FT PFC CSKA-Sofia 4 – 0 OFK Titograd
:
– CECAFA Kagame Cup:: group A
FT Kinondoni MC 0 – 1 TP Mazembe
FT Atlabara FC 0 – 2 Rayon Sport
.
– CECAFA Kagame Cup:: group B .
FT Bandari 2 – 2 Mukura Victory
FT KCCA FC 1 – 0 Azam FC
:
– International – Club Friendlies.
FT SC Braga 5 – 1 Varzim
FT CSKA Moscow 4 – 0 Rubin Kazan
FT Wolfsburg 2 – 1 Caen
FT Lech Poznan 2 – 0 Vitesse
FT Lille 2 – 1 Dunkerque
FT Augsburg 6 – 0 Gundelfingen
FT Basel 4 – 1 Lausanne
FT St. Gallen 3 – 0 VfL Bochum 1848
FT Andrezieux 1 – 2 Saint-Etienne
FT PEC Zwolle 2 – 2 PAOK Thessaloniki FC
FT Toulouse 0 – 0 AS Beziers
FT Hull City 2 – 2 Leyton Orient
FT SC Toulon 2 – 4 Barnsley
FT AFC Fylde 1 – 0 Wigan Athletic
FT AFC Wimbledon 2 – 3 Bristol City
.
– International – Uhren Cup.
AP Luzern 1 – 1 Crystal Palace *
:
RATIBA YA HII LEO JUMATANO.
– Africa Cup of Nations – Quarter-finals.
19:00 Senegal
Benin
22:00 Nigeria
South Africa
.
– Champions League – Qualification.
18:30 Partizani
Qarabag FK
20:00 BATE Borisov
Piast Gliwice
21:00 Ferencvaros
Ludogorets Razgrad
21:45 Linfield
Rosenborg
.
– Africa – Kagame Cup:: group D.
14:00 AS Ports
Gor Mahia
16:30 KMKM FC
Maniema Union
.
International – Club Friendlies
18:00 SV Darmstadt
Feyenoord
18:00 Fiorentin
Val di Fassa
18:00 Greuther Fürth
Huddersfield
18:00 Lugan
FC Ingolstadt
18:00 Royal Antwerp
NK Lokomotiva
19:00 Bad Durrheim
FC Köln
19:30 Borussia Möncheng’dbach
FC Moenchengladbach
19:30 Lens
St.Truiden
20:00 Eisbachtaler Sportfreunde
Mainz 05
20:00 Rapperswil-Jona
Sporting CP
20:00 OH Leuven
Eupen
20:00 Sion
Grenoble
20:00 Vitoria
Aves
20:00 Winterthur
Stuttgart
20:30 Reading
Europa FC
21:00 York City
Leeds United
21:30 Gateshead
Middlesbrough
21:45 Bohemian FC
Chelsea
22:30 Benfica
Anderlecht
#fixtures #Updates
@Sokawaytz_

XABI ALONSO AWA MIONGONI MWA WACHEZAJI WA ZAMANI WALIOJITOSA KWENYE UKOCHA

XABI ALONSO AWA MIONGONI MWA WACHEZAJI WA ZAMANI WALIOJITOSA KWENYE UKOCHA

Mchezaji huyo wa zamani aliyewika katika vilabu vya Liverpool, Real Madrid na Bayern Munich amechukua hatua ya kwanza katika Ukocha kwa kukubali kuinoa timu ya Real Sociedad B

Amesema ana furaha kwa kuanza ukurasa mpya katika maisha yake ya soka kwenye klabu hiyo ya Uhispania alipoanzia kucheza soka la kulipwa miaka 20 iliyopita

Alonso ambaye ni raia wa Uhisapania amesema “Niwewahi kufundishwa na Makocha bora na nilijifunza kitu, lakini kila mmoja anatakiwa kuwa na namna ambavyo timu yake inacheza”

Baadhi ya Makocha waliomfundisha Alonso ni Jose Mourinho(Real Madrid), Pep Guardiola na Carlo Ancelotti(Bayern Munich), Rafa Benitez(Liverpool) na Vicente del Bosque(Timu ya Taifa ya Uhispania)

MSAIDIZI WA BERNARD MEMBE ANAYEDAIWA KUTEKWA APATIKANA

MSAIDIZI WA BERNARD MEMBE ANAYEDAIWA KUTEKWA APATIKANA

Msaidizi wa Bernard Membe, Allan Kiluvya amepatikana baada ya kuachwa na wanaodaiwa ni watekaji katika eneo la Njia Panda ya Segerea leo na baada ya kupatikana ameongea na Wanahabari kutoka shukurani zake

Akizungumza kwa namna alivyoachwa Njia Panda ya Segerea amesema “Nilishushwa sehemu ambayo niliona ni sehemu salama kwa sababu nilieweza kupata usafiri wa kurudi kwangu.”

Ameeleza kuwa “Wao wenyewe(Wanaodaiwa kuwa Watekaji) waliuliza ni wapi tukikushusha unaweza kufika salama? Nikawauliza kwani tupo wapi? Wakasema tupo Gongo la Mboto. Nikasema mimi nakaa Kinyerezi mkinishusha njia panda ya Segerea nitakuwa salama.”

Aidha, kwa sababu suala hilo lipo Polisi amesema kuwa hawezi kuelezea ni nini kilitokea huko alikokuwa bali tusubiri tamko au ripoti ya Polisi. “Kwa kuwa mimi ni Mkweli sana na najua Polisi watasema kile nilichosema.”

Lakini pia alipohojiwa kama ataendela kuwa Msaidizi wa Membe, Allan amesema kuwa anatumaini ataendelea kuwa Msaidizi wa Waziri huyo wa zamani kwani amekuwa msaidizi wake tangu mwaka 2012 akiwa Mwanafunzi wa Chuo hadi sasa

Awali, alianza kutoa shukurani zake kwa Wanahabari kwa namna ya walivyojitolea kuhakikisha sauti za familia yake, Wanasiasa na Watanzania wote zinasikika. Pia amemshukuru Membe, IGP Sirro na Polisi wote wa Kituo cha Kawe

WAZIRI KALEMANI: WILAYA YA CHATO ITAKUWA MIONGONI MWA MAJIJI MAKUBWA

WAZIRI KALEMANI: WILAYA YA CHATO ITAKUWA MIONGONI MWA MAJIJI MAKUBWA

Waziri wa Nishati, Medard Kalemani amewataka Wawekezaji wa nje na ndani ya nchi kwenda kuwekeza katika Wilaya hiyo akisema inazo fursa kwani baada ya miaka kadhaa itakuwa miongoni mwa majiji makubwa nchini

Dkt. Kalemani ambaye pia ni Mbunge wa Chato(CCM) ameyasema hayo katika uzinduzi wa Hifadhi ya Taifa ya Burigi- Chato akisema Wilaya hiyo inavyo vivutio vya kitalii na miundombinu kama uwanja wa ndege wa Kimataifa

Amesema Wilaya hiyo pia imepakana na Ziwa Victoria, inayo madini, umeme mkubwa wa maji wa Rufiji umezinduliwa na hivyo umeme utakuwa wa uhakika maeneo ya nchi yetu na Chato

Ameeleza “Kwa hiyo nichukue nafasi hii kuwaambia wawekezaji waje kuwekeza ili Chato nayo baada ya miaka kadhaa itambulike kati ya majiji makubwa hapa nchini” na kudokeza kuwa Wilaya hiyo ina uhaba wa hoteli

Awali, Waziri Kalemani alimwomba Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamis Kigwangalla kusogeza mpaka wa hifadhi hiyo ili kuwe na mpaka mkubwa ili wananchi wailinde hifadhi hiyo

WAZIRI KALEMANI: WILAYA YA CHATO ITAKUWA MIONGONI MWA MAJIJI MAKUBWA

WAZIRI KALEMANI: WILAYA YA CHATO ITAKUWA MIONGONI MWA MAJIJI MAKUBWA

Waziri wa Nishati, Medard Kalemani amewataka Wawekezaji wa nje na ndani ya nchi kwenda kuwekeza katika Wilaya hiyo akisema inazo fursa kwani baada ya miaka kadhaa itakuwa miongoni mwa majiji makubwa nchini

Dkt. Kalemani ambaye pia ni Mbunge wa Chato(CCM) ameyasema hayo katika uzinduzi wa Hifadhi ya Taifa ya Burigi- Chato akisema Wilaya hiyo inavyo vivutio vya kitalii na miundombinu kama uwanja wa ndege wa Kimataifa

Amesema Wilaya hiyo pia imepakana na Ziwa Victoria, inayo madini, umeme mkubwa wa maji wa Rufiji umezinduliwa na hivyo umeme utakuwa wa uhakika maeneo ya nchi yetu na Chato

Ameeleza “Kwa hiyo nichukue nafasi hii kuwaambia wawekezaji waje kuwekeza ili Chato nayo baada ya miaka kadhaa itambulike kati ya majiji makubwa hapa nchini” na kudokeza kuwa Wilaya hiyo ina uhaba wa hoteli

Awali, Waziri Kalemani alimwomba Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamis Kigwangalla kusogeza mpaka wa hifadhi hiyo ili kuwe na mpaka mkubwa ili wananchi wailinde hifadhi hiyo

Design a site like this with WordPress.com
Get started