

βπ» CAF, imemtangaza Refferee, Brian Nsubuga Miiro kuwa mwamuzi wa Kati akisaidia na Mwamuzi msaidizi namba Moja, Ronald Katenya, Mwamuzi Msaidizi namba mbili ni Lee Okello. CAF Pia imemtangaza Alex Muhabi kuwa mwamuzi wa Akiba na Kamishina wa Mchezo CAF Imemtangaza Gaspard Kayijuka kutoka nchini Rwanda.
:
βπ» Hii ni mechi ya kisasi kwa Tanzania kwani inaingia ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza Kwa kipigo cha Magoli 3-2 katika mechi ya mwisho walipokutana katika Michuano ya Kombe La Mataifa ya Afrika hatua ya Makundi nchini Misri mwezi Uliopita..
#CHAN
@Sokawaytz_






















