

– Paris Saint-Germain wamerudi mawindoni kumuwinda Kiungo, Idrissa Gana Gueye wa Everton, Kwa mujibu wa L’Equipe, Gueye anawindwa kwa dau la uhamisho wa €30m (£27m / $34m) na majadiliano kati ya timu zote mbili yanaendelea.
:
– PSG walimfuata Gueye mwenye umri wa miaka 29 wakati wa dirisha lililopita la Januari, lakini hawakuweza kupata Saini ya Kiungo huyo wa Kimataifa wa Senegal 🇸🇳.. tayari Everton imeanza majadilio na Klabu ya Southampton wakimtaka Kiungo wao wa Kimataifa wa Gabon 🇬🇦, Mario Lemina Kama mbadala wa Gueye.. kwenye uhamisho wa Lemina watakutana na upinzani kutoka kwa Arsenal na Manchester United ambazo zote zinamuhitaji..
#EPLTransfersUpdates #EPLUpdates



























