Klabu ya Everton Imethibitisha Kukamilisha Usajili wa kiungo, Fabian Delph kutoka kwa Mabingwa wa Uingereza, Manchester City…

EVERTON YAMNASA DELPH:
– Klabu ya Everton Imethibitisha Kukamilisha Usajili wa kiungo, Fabian Delph kutoka kwa Mabingwa wa Uingereza, Manchester City…
.
– Mchezaji huyo, ambaye anajiunga na dau lisilojulikana, ameunganishwa moja kwa moja na Kocha, Marco Silva katika kikosi chake cha timu ya kwanza kwenye kambi yao ya Maandalizi huko Verbier nchini Uswisi.
.
– Delph, mwenye umri wa miaka 29, alikuwa sehemu ya Kikosi Cha Man City kilichoweza kushinda Ubingwa wa Uingereza Katika misimu Miwili iliopita..
#EPLUpdates #EPLTransfersUpdates
@Sokawaytz_

Kiungo kinda wa Chelsea, Mason Mount amesaini mkataba mpya wa Kuendelea kuitumikia klabu hadi mwaka wa 2024

– Kiungo kinda wa Chelsea, Mason Mount amesaini mkataba mpya wa Kuendelea kuitumikia klabu hadi mwaka wa 2024.
.
– Mount, mwenye umri wa miaka 20, alijiunga na Chelsea mwaka 2005, akiwa ni mwenye umri wa miaka sita, na alikuwa sehemu ya kikosi ambacho kilishinda Kombe la Vijana la FA mwaka wa 2016 na 2017.
.
– Kiungo huyo wa Timu ya Taifa ya England chini ya miaka 2, alicheza msimu Uliopita kwa mkopo huko Derby County akiwa na bosi mpya wa Chelsea, Frank Lampard, akiisaidia klabu hiyo kufikia fainali ya playoffs huko Championship.
#EPLUpdates #EPLTransfersUpdates
@Sokawaytz_

Kiungo kinda wa Chelsea, Mason Mount amesaini mkataba mpya wa Kuendelea kuitumikia klabu hadi mwaka wa 2024

– Kiungo kinda wa Chelsea, Mason Mount amesaini mkataba mpya wa Kuendelea kuitumikia klabu hadi mwaka wa 2024.
.
– Mount, mwenye umri wa miaka 20, alijiunga na Chelsea mwaka 2005, akiwa ni mwenye umri wa miaka sita, na alikuwa sehemu ya kikosi ambacho kilishinda Kombe la Vijana la FA mwaka wa 2016 na 2017.
.
– Kiungo huyo wa Timu ya Taifa ya England chini ya miaka 2, alicheza msimu Uliopita kwa mkopo huko Derby County akiwa na bosi mpya wa Chelsea, Frank Lampard, akiisaidia klabu hiyo kufikia fainali ya playoffs huko Championship.
#EPLUpdates #EPLTransfersUpdates
@Sokawaytz_

Imethibitishwa Rasmi kuanzia msimu ujao wa 2019/20 katika Premier ya Uingereza, kanuni ya “head-head” itakuwa ya Kwanza kutumika (Badala ya kuchezwa moja kwa moja mchezo wa playoffs)

OFFICIAL | Imethibitishwa Rasmi kuanzia msimu ujao wa 2019/20 katika Premier ya Uingereza, kanuni ya “head-head” itakuwa ya Kwanza kutumika (Badala ya kuchezwa moja kwa moja mchezo wa playoffs) ikiwa Timu mbili Katika Msimamo zipo sawa kwa Pointi na Tofauti ya Magoli na Magoli ya kufunga…
:
– Yaani mfano Katika Msimamo wa Premier league kama Liverpool v Man City wanawania Ubingwa, wanajinasua kutoshuka Daraja au sehemu yoyote ya Msimamo, wapo sawa pointi na Tofauti ya Magoli na Magoli ya kufunga… Kanuni hiyo ya head to head INAFUATA kuwatenganisha…mfano.
1st leg; Liverpool anatoa Sare v Man City.
2nd leg; Man City anashinda v Liverpool.
👊🏻 City atakuwa na pointi nyingi kwenye Head-head hivyo anakaa juu ya Liverpool kwenye Msimamo na Majogoo Kama Ni kushuka daraja basi hatutakuwa nao 🙄🙄😁..
:
– Katika msimu uliopita, Timu zikiwa sawa Kila kitu yaani Pointi, tofauti ya Magoli na Magoli ya kufunga, kanuni ya kucheza Mchezo wa playoffs ilikuwa inafuata kutafuta Mshindi, lakini Sasa hivii haipo hivyo tenaa…. Kanuni ndio Mpya Uingereza lakini Hispania 🇪🇸 ilianza kutumika mda sana!..
#EPLUpdates
@Sokawaytz_

Visa zawakwamisha nyota wa simba kusafiri

Kikosi cha mabingwa wa soka Tanzania Bara Simba kiliwasili salama Afrika Kusini jana na kuanza mazoezi ya maandalizi ya msimu mpya

Hata hivyo baadhi ya nyota walishindwa kusafiri jana kutokana na hati zao za kusafiria kutokamilika

Mfungaji bora wa ligi kuu ya Tanzania Bara msimu uliopita, Meddie Kagere ni miongoni mwa wachezaji ambao wamebaki jijini Dar es salaam

Wengine ni nyota wapya kiungo Francis Kahata na mshambuliaji Deo Kanda

Uongozi wa Simba umesema wachezaji hao wataungana na wenzao siku chache zijazo kwani wako katika hatua za mwisho kukamilisha Visa zao

Biashara waliofanya @atleticodemadrid Katika Dirisha hili la uhamisho wa Wachezaji…

📝 Biashara waliofanya @atleticodemadrid Katika Dirisha hili la uhamisho wa Wachezaji… Wachezaji waliouzwa..
🇫🇷 Antoine Griezmann: £107.6m
🇫🇷 Lucas Hernandez: £68m
🇪🇸 Rodri: £62.6m
🇵🇹 Gelson Martins: £19.6m
🇦🇷 Luciano Vietto: £6.7m
💰 Jumla: £264.5m 🙄

Design a site like this with WordPress.com
Get started