Shirikisho la Soka Nchini Cameroon ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฒ, Limethibitisha kumfuta kazi ya ukocha mk6uu wa timu yao ya taifa, kocha Clarence Seedorf na Msaidizi wake, Patrick Kluivert

OFFICIAL | Shirikisho la Soka Nchini Cameroon ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฒ, Limethibitisha kumfuta kazi ya ukocha mk6uu wa timu yao ya taifa, kocha Clarence Seedorf na Msaidizi wake, Patrick Kluivert, hii imekuja Baada ya Wawili hao kuiongoza timu hiyo ya taifa kutupwa nje ya Fainali za Mataifa ya Afrika “AFCON” huko Misri.
:
– The Indomitable Lions walipokea kipigo Cha Magoli 3-2 dhidi ya Nigeria na kuondoshwa Katika hatua ya 16 Bora, Seedorf na Kluivert waliteuliwa mwezi wa Agosti Mwaka jana wakiiongoza Cameroon ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฒ kwa Mechi takribani 12 tu…
#Updates
@Sokawaytz_

Mabingwa wa Ligi Kuu Nchini Uturuki ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ท, Klabu ya Galatasaray wameingia Katika mbio za kuwania saini ya Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, Mbwana Samatta

– Mabingwa wa Ligi Kuu Nchini Uturuki ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ท, Klabu ya Galatasaray wameingia Katika mbio za kuwania saini ya Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, Mbwana Samatta kutoka Klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ช.
.
– Mabingwa hao wanakuwa Ni Klabu ya Nne kumtaka Samatta Ambaye Ni Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, Baada ya Leicester City, Cardiff City na Middlesbrough zote za Uingereza.. Genk ipo tayari kumuachia mfungaji wao Bora huyo kwa msimu uliopita akifunga Magoli 32 Kwenye Michuano yote, lakini kwa dau lisilopungua ยฃ10m (Tshs 28b).
#TransferNewsUpdates
@Sokawaytz_

Muda wowote beki wa kulia, Kieran Trippier atakamilisha uhamisho wake kutoka Tottenham na kujiunga na Atlรฉtico Madrid

โœ๏ธ Muda wowote beki wa kulia, Kieran Trippier atakamilisha uhamisho wake kutoka Tottenham na kujiunga na Atlรฉtico Madrid, hii imekuja Baada ya Vilabu vyote viwili Kufikia makubaliano ya Dau la uhamisho ยฃ20m.. Mchezaji atawasili Madrid kufanyiwa vipimo vya Afya..
:
โœ๏ธ Kieran Trippier ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ, amekuwa Hana nafasi ya kudumu ndani ya Kikosi Cha Spurs chini ya Kocha Maurizio Pochetino Ambaye amekuwa akiwatumia zaidi, Serge Aurier na Kyle Walker-Peters Kwenye chaguo la beki wa kulia pia Mara nyingine anamtumia Juan Foyth, Ambaye kiasilia Ni beki wa Kati pia ana uwezo wa Kucheza Upande huo wa kulia..
#EPLUpdates #EPLTransfersUpdates
@Sokawaytz_

Mabingwa Watetezi wa Michuano ya CECAFA Kagame Cup, Klabu ya Azam FC imefanikiwa kutinga hatua ya Nusu fainali

Mabingwa Watetezi wa Michuano ya CECAFA Kagame Cup, Klabu ya Azam FC imefanikiwa kutinga hatua ya Nusu fainali ya Michuano hiyo kufuatia kuwatupa nje Mabingwa wa zamani wa Afrika na Mabingwa wa DR Congo ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ, Klabu ya TP Mazembe…
:
FULL-TIME : Azam FC 2-1 TP Mazembe
[Seleman Iddi 27; Obrey Chirwa, 69 | Ipamy Giovanni 21]
.
โœ๏ธ Baada Ushindi huo, Azam FC itamjua mpinzani wake Siku ya kesho Mshindi Kati ya APR FC ya Rwanda ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ au AS Meniema ya kutoka pia DR Congo ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ..
#CECAFAKagameCup #KagameCup2019https://www.instagram.com/p/Bz–_8qAWyD/?igshid=10x2krw8ykf43

ALLY HAMIS NG’ANZI KUIVAA ASTON VILLA HAPO KESHO

#Repost @officialsingidaunitedfc ALLY HAMIS NG’ANZI KUIVAA ASTON VILLA HAPO KESHO
Mchezaji huyo kinda amerejeshwa kwenye Club yake ya Minnesota Fc kutokea Medson Fc anakocheza kwa Mkopo maalum kwaajili ya kushiriki mchezo wa kesho dhidi ya Aston Villa.
Ally Ng’anzi anayekipiga Nchini Marekani amekuwa akikukua kisoka kadri siku zinavyokwenda na hii imepelekea kuaminiwa na Kocha Mkuu wa MNFC na kumuita akacheze mchezo huo wa kirafiki.

Ally Ng’anzi ambaye ni mchezaji aliyepita Singida United Fc amekuwa na mawasiliano ya karibu na klabu yetu katika kutupa maendeleo yake mara kwa mara.

#ZetuDua.

Klabu ya Lipuli Fc imefanikiwa kumsajili mlinzi (fullback) Duchu Emmanuel kwa kandarasi ya miaka miwili. .

#DealDone Klabu ya Lipuli Fc imefanikiwa kumsajili mlinzi (fullback) Duchu Emmanuel kwa kandarasi ya miaka miwili.
.
.
Duchu amewahi kuvitumikia vilabu vya Mbeya City pamoja na Mbeya Kwanza.

Design a site like this with WordPress.com
Get started