

Rasmi | Mikel Obi ametangaza kustaafu kuitumikia timu ya Taifa ya Nigeria.


Rasmi | Mikel Obi ametangaza kustaafu kuitumikia timu ya Taifa ya Nigeria.


Kikosi cha @kagerasugarfc1 kimeendelea na maandalizi ya msimu mpya katika uwanja wa Uhuru jijini Dar Es Salaam #TanzaniaPremierLeague🇹🇿


#DealDone Klabu ya Dodoma Jiji Fc imekamilisha usajili wa mlinzi Hassan Kapona kwa mkataba wa mwaka mmoja. .
.
Kapona alikuwa akiitumikia Polisi Tanzania kwa mkopo kutoka Mbao Fc.

✍

🏻 Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Barani Afrika “CAF” Katika kikao chake kilichokaliwa Jana na hii leo, kimefanya marekebisho ya Michezo ya Kufuzu kwa fainali za Afrika (AFCON) 2021.
:
✍🏻 Hatua ya awali Kufuzu itachezwa Kati ya Agosti 7-15, 2019, Wakati Michezo mingine itakuwa Kati ya Novemba 11-19, 2019.
✍🏻 Michezo inayofuata ya Kufuzu itachezwa Kati ya Agosti 31,2020 na Septemba 8,2020, na hatua inayofuata kuchezwa Kati ya Oktoba 5-15, 2020.
✍🏻 Michezo ya kumalizia itachezwa Kati ya Novemba 9-17,2020..
#TotalAFCON2021 #AFCON2021


#DealDone Aliyekuwa mshambuliaji wa Polisi Tanzania Santos Thomas amejiunga na Dodoma Jiji Fc kwa mkataba wa mwaka mmoja.


⚫️⚪️ Usajili wa @Juventus Mpaka hivi Sasa..
📝 Matthijs de Ligt (£67.5m)
📝 Cristian Romero (£23.4m)
📝 Luca Pellegrini (£20m)
📝 Merih Demiral (16.2m)
📝 Aaron Ramsey (free)
📝 Adrien Rabiot (free)
📝 Gianluigi Buffon (free)
#TransferNewsUpdates


🙌 @juventus wamekamilika Aisee! Pia imefahamika wameanza kumtaka Neymar Jr Baada ya FC Barcelona kusuasua kumsajili…
:
– Kwa kikosi hichii Hapa Hakuna Shaka Ubingwa wa @seriea Ni wao tu; Sasa tutegemee Vibibi kizee vipya na vyenye upinzani Katika Michuano ya @championsleague!!.
#Juventus #SerieAUpdates


Ighalo ndiye mchezaji aliyefunga magoli mengi zaidi katika michuano ya AFCON mpaka sasa kwa kujiwekea kapuni jumla ya magoli matano.
Wachezaji wanaofuata ni Mahrez 3, Ounus 3, Bakambu 3, Mane 3.
Je unadhani magoli hayo yanatosha kwa Ighalo kubeba tuzo ya kiatu cha dhahabu katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika? 📸getty




Wachezaji wa Simba Queens wakifanya mazoezi ya pamoja na wachezaji wa timu ya St. Pauli ili kuweza kufahamiana na kubadilishana mbinu za soka. Mazoezi hayo yamefanyika mjini Hamburg, Ujerumani. #SimbaYaKimataifa #NguvuMoja


Kikosi cha Kagera Sugar msimu ujao baada ya kukamilisha usajili wao. @kagerasugarfc1 #TanzaniaPremierLeague🇹🇿