Kocha Mkuu wa Klabu ya Chelsea, Frank Lampard amesema kuwa anataka Beki wa Klabu hiyo, Kurt Zouma kusalia ndani ya Kikosi hicho cha Chelsea

πŸ—£ Kocha Mkuu wa Klabu ya Chelsea, Frank Lampard amesema kuwa anataka Beki wa Klabu hiyo, Kurt Zouma kusalia ndani ya Kikosi hicho cha Chelsea msimu huu, akisisitiza kuwa ni mchezaji mzuri na mtu mzuri ambaye wataidika na uwepo wake Kikosini… Zouma alicheza kwa mkopo huko Everton Katika msimu uliopita na Sasa The Toffees wanamtaka tena!!.
#EPLUpdates #EPLTransfersUpdates

Mabingwa Watetezi wa Michuano ya CECAFA Kagame Cup, Klabu ya Azam FC yatinga fainali ya Michuano hii ya Mwaka huu 2019

.
:
√ Mabingwa Watetezi wa Michuano ya CECAFA Kagame Cup, Klabu ya Azam FC yatinga fainali ya Michuano hii ya Mwaka huu 2019 Nchini Rwanda πŸ‡·πŸ‡Ό, Azam imefika fainali Baada ya Kushinda kwa Mikwaju ya Penati 5-4 dhidi ya AS Maniema Union kutoka DR Congo πŸ‡¨πŸ‡© Katika Mchezo wa Nusu fainali uliochezwa kwa dakika 120 na kumalizika bila bao.
:
– Katika Mchezo wao wa fainali, Azam ambao ndio Wawakilishi wa Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Katika Michuano hiyo, watavaana dhidi ya Mabingwa wa Uganda πŸ‡ΊπŸ‡¬, Klabu ya KCCA FC, Mtanange huo wa kukata na shoka utapigwa Siku ya Jumapili Julai 21.
#CECAFAKagameCup #KagameCup2019

Mabingwa Watetezi wa Michuano ya CECAFA Kagame Cup, Klabu ya Azam FC yatinga fainali ya Michuano hii ya Mwaka huu 2019

.
:
√ Mabingwa Watetezi wa Michuano ya CECAFA Kagame Cup, Klabu ya Azam FC yatinga fainali ya Michuano hii ya Mwaka huu 2019 Nchini Rwanda πŸ‡·πŸ‡Ό, Azam imefika fainali Baada ya Kushinda kwa Mikwaju ya Penati 5-4 dhidi ya AS Maniema Union kutoka DR Congo πŸ‡¨πŸ‡© Katika Mchezo wa Nusu fainali uliochezwa kwa dakika 120 na kumalizika bila bao.
:
– Katika Mchezo wao wa fainali, Azam ambao ndio Wawakilishi wa Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Katika Michuano hiyo, watavaana dhidi ya Mabingwa wa Uganda πŸ‡ΊπŸ‡¬, Klabu ya KCCA FC, Mtanange huo wa kukata na shoka utapigwa Siku ya Jumapili Julai 21.
#CECAFAKagameCup #KagameCup2019

MATOKEO YA SOKA JANA IJUMAA

MATOKEO YA SOKA JANA IJUMAA:
Africa Cup of Nations – Final.
FT Senegal πŸ‡ΈπŸ‡³ 0 – 1 Algeria πŸ‡©πŸ‡Ώ πŸ†
.
– Africa – Kagame Cup:: Semi-final.
AET KCCA FC 4 – 3 Green Eagles FC
AET Azam FC * 0 – 0 Maniema Union
.
– International – Club Friendlies
FT Borussia Dortmund 3 – 2 Liverpool
FT Kawasaki Frontale 1 – 0 Chelsea
FT Birmingham City 6 – 1 Swindon Town
FT Freiburg 2 – 4 VfB Stuttgart
FT Sarasota Metropolis FC 0 – 6 Bristol City
FT Kasimpasa 1 – 0 Pendikspor
FT Fenerbahce 2 – 0 Bursaspor
FT Napoli 5 – 0 FeralpiSalo
FT Nimes 2 – 2 AC Ajaccio
FT Metz 0 – 0 Sochaux
FT Monaco 0 – 1 Everton
FT RasenBallsport Leipzig 3 – 2 Galatasaray
FT Auxerre 1 – 0 Cercle Brugge
FT Niort 2 – 3 Nantes
FT Schalke 04 1 – 2 Norwich City
FT Strasbourg 3 – 1 Toulouse
FT Eupen 3 – 1 OFI Crete
FT Roeselare 4 – 1 Kortrijk
FT SD Leioa 2 – 3 Deportivo Alaves
FT Sporting Charleroi 2 – 1 Troyes
FT Valenciennes 1 – 0 Amiens
FT Luebeck 1 – 0 Sheffield Wednesday
AP Club Brugge * 2 – 2 Sporting CP
FT Crawley Town 0 – 1 Brighton & Hove Albion
FT Nottingham Forest 1 – 0 Crystal Palace
FT SC Braga 0 – 2 Lille
AP FC Porto * 1 – 1 Real Betis
FT Santa Clara 0 – 1 Leixoes
:
RATIBA YA HII LEO JUMAMOSI!
– England – Premier League Asia Trophy.
12:00 Newcastle United
West Ham United
14:30 Wolverhampton Wanderers
Manchester City
.
– Belgium – Super Cup.
21:30 KRC Genk
KV Mechelen
.
– International – Champions Cup.
14:30 Manchester United
Inter
23:00 Benfica
CD Guadalajara
.
– Euro U-19 – Group A.
20:00 Portugal U19
Armenia U19
20:00 Spain U19
Italy U19
.
πŸ‘‰ NB: Game za Kirafiki Leo zipo zaidi ya πŸ’― πŸ€—πŸ™„ ko unazikuta LiveScore 😁… Labda game zinazopigwa Alfajiri ya kuamkia kesho!
01:00 Arsenal v Fiorentina
03:00 FC Bayern Munich v Real Madrid.
#Updates #fixtures
@Sokawaytz_

MATOKEO YA SOKA JANA IJUMAA

MATOKEO YA SOKA JANA IJUMAA:
Africa Cup of Nations – Final.
FT Senegal πŸ‡ΈπŸ‡³ 0 – 1 Algeria πŸ‡©πŸ‡Ώ πŸ†
.
– Africa – Kagame Cup:: Semi-final.
AET KCCA FC 4 – 3 Green Eagles FC
AET Azam FC * 0 – 0 Maniema Union
.
– International – Club Friendlies
FT Borussia Dortmund 3 – 2 Liverpool
FT Kawasaki Frontale 1 – 0 Chelsea
FT Birmingham City 6 – 1 Swindon Town
FT Freiburg 2 – 4 VfB Stuttgart
FT Sarasota Metropolis FC 0 – 6 Bristol City
FT Kasimpasa 1 – 0 Pendikspor
FT Fenerbahce 2 – 0 Bursaspor
FT Napoli 5 – 0 FeralpiSalo
FT Nimes 2 – 2 AC Ajaccio
FT Metz 0 – 0 Sochaux
FT Monaco 0 – 1 Everton
FT RasenBallsport Leipzig 3 – 2 Galatasaray
FT Auxerre 1 – 0 Cercle Brugge
FT Niort 2 – 3 Nantes
FT Schalke 04 1 – 2 Norwich City
FT Strasbourg 3 – 1 Toulouse
FT Eupen 3 – 1 OFI Crete
FT Roeselare 4 – 1 Kortrijk
FT SD Leioa 2 – 3 Deportivo Alaves
FT Sporting Charleroi 2 – 1 Troyes
FT Valenciennes 1 – 0 Amiens
FT Luebeck 1 – 0 Sheffield Wednesday
AP Club Brugge * 2 – 2 Sporting CP
FT Crawley Town 0 – 1 Brighton & Hove Albion
FT Nottingham Forest 1 – 0 Crystal Palace
FT SC Braga 0 – 2 Lille
AP FC Porto * 1 – 1 Real Betis
FT Santa Clara 0 – 1 Leixoes
:
RATIBA YA HII LEO JUMAMOSI!
– England – Premier League Asia Trophy.
12:00 Newcastle United
West Ham United
14:30 Wolverhampton Wanderers
Manchester City
.
– Belgium – Super Cup.
21:30 KRC Genk
KV Mechelen
.
– International – Champions Cup.
14:30 Manchester United
Inter
23:00 Benfica
CD Guadalajara
.
– Euro U-19 – Group A.
20:00 Portugal U19
Armenia U19
20:00 Spain U19
Italy U19
.
πŸ‘‰ NB: Game za Kirafiki Leo zipo zaidi ya πŸ’― πŸ€—πŸ™„ ko unazikuta LiveScore 😁… Labda game zinazopigwa Alfajiri ya kuamkia kesho!
01:00 Arsenal v Fiorentina
03:00 FC Bayern Munich v Real Madrid.
#Updates #fixtures
@Sokawaytz_

“Funga Mtaa” Jijini Paris Nchini Ufaransa, Raia wa Algeria wakishangilia kwa nguvu zote Mara Baada ya taifa lao kuibuka Mabingwa wa Afrika

Funga Mtaa” Jijini Paris Nchini Ufaransa, Raia wa Algeria wakishangilia kwa nguvu zote Mara Baada ya taifa lao kuibuka Mabingwa wa Afrika kwa Kushinda game ya Fainali dhidi ya Senegal…
#allezlesverts #TotalAFCON2019

Timu zinazoshiriki Ligi ya Soka la Ufukweni hatua ya Nane Bora itakayoanza kesho Ijumaa Julai 19,2019 kwenye fukwe za Coco leo wamekabidhiwa jezi

Timu zinazoshiriki Ligi ya Soka la Ufukweni hatua ya Nane Bora itakayoanza kesho Ijumaa Julai 19,2019 kwenye fukwe za Coco leo wamekabidhiwa jezi

Mshambuliaji wa zamani wa Klabu ya Liverpool, Daniel Sturridge amefungiwa muda wa Wiki Nne kutojihusisha na Masuala ya Mpira wa Miguu

OFFICIAL | Mshambuliaji wa zamani wa Klabu ya Liverpool, Daniel Sturridge amefungiwa muda wa Wiki Nne kutojihusisha na Masuala ya Mpira wa Miguu Baada ya kuvunja Sheria za FA kufuatia kujihusisha na Masuala ya Ubashiri (Betting)… Muingereza huyo pia kapigwa faini ya Β£75,000.
.
– Kwa mujibu wa Taarifa ya FA, Ni kwamba Sturridge Ambaye kaachwa na Liverpool msimu uliopita, alimuagiza Kaka yake, Leon akamuwekee “mkeka” kuwa yeye Baada ya kuondoka Liverpool atajiunga na Sevilla ya Hispania… Adhabu hiyo ya vifungu Ambapo ataruhusiwa kucheza tena na kujihusisha na Masuala ya Soka Julai 31 Mwaka huu, Wiki Nne nyingine za kutojihusisha na soka atazitumikia kuanzia August 31,2020…
#Updates
@Sokawaytz_

https://www.instagram.com/p/B0DxRY7gexn/?igshid=ar6t78nqi5jj

Design a site like this with WordPress.com
Get started