Klabu za Manchester United, Everton pamoja na Paris St-Germain zote zimeanza mazungumzo ya awali na Juventus

Klabu za Manchester United, Everton pamoja na Paris St-Germain zote zimeanza mazungumzo ya awali na Juventus ili kupata saini ya kiungo wakAe Blaise Matuidi. (Le Parisien)
.
.
Unafikiri ipi ni sehemu sahihi kwa Matuidi kwasasa?

Kocha Ali Bakari Mgazija amesaini kandarasi ya mwaka mmoja kuwatumikia Stand United

K

Kocha Ali Bakari Mgazija amesaini kandarasi ya mwaka mmoja kuwatumikia Stand United chama la wana akisaidiwa na Ali Omar Kisaka na Khamis Gulit katika benchi lake la ufundi.
.
.
Mngazija pamoja na Gulit waliisadia timu ya Selem view ya Pemba kunusurika kushuka daraja kunako ligi kuu ya Zanzibar msimu uliopita wakati Kisaka akiifundisha klabu ya Pamba ya jijini Mwanza .
.
@chidithegiant

Klabu ya Liverpool inajiandaa kumpa ofa ya mkataba mpya nyota wake Mo Salah utakaomfanya alipwe pesa nyingi kuliko mchezaji yeyote wa EPL. .

Klabu ya Liverpool inajiandaa kumpa ofa ya mkataba mpya nyota wake Mo Salah utakaomfanya alipwe pesa nyingi kuliko mchezaji yeyote wa EPL. .
.
Imeelezwa kuwa Liverpool wapo tayari kumlipa kiasi cha Β£22.4m kwa mwaka. (The Sun)

Baada ya kumkosa Wilfred Zaha, Klabu ya Arsenal ipo kwenye hatua za mwisho za kumsajili Everton Soraes kutoka Gremio kwa dau la Β£36m. (Star)

Baada ya kumkosa Wilfred Zaha, Klabu ya Arsenal ipo kwenye hatua za mwisho za kumsajili Everton Soraes kutoka Gremio kwa dau la Β£36m. (Star)

OFFICIAL: Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Nigeria πŸ‡³πŸ‡¬, Odion Ighalo ameibuka mfungaji Bora wa Michuano ya #AFCON2019 na kujibebea tuzo yake

OFFICIAL: Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Nigeria πŸ‡³πŸ‡¬, Odion Ighalo ameibuka mfungaji Bora wa Michuano ya #AFCON2019 na kujibebea tuzo yake kufuatia kufunga Magoli Matano Katika Mechi zote, Nigeria πŸ‡³πŸ‡¬ wakikamata Nafasi ya tatu Katika Michuano hii…
#AFCON2019 #TotalAFCON2019

https://www.instagram.com/p/B0H78OCgMO7/?igshid=rlevmhzya4br

Design a site like this with WordPress.com
Get started