Klabu ya Arsenal ipo kwenye hatua za mwisho za kumsaini kiungo wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Hispania Dani Ceballos

Klabu ya Arsenal ipo kwenye hatua za mwisho za kumsaini kiungo wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Hispania Dani Ceballos kwa mkopo wenye chaguo la kumnunua moja kwa moja. .
.
Kiungo huyo tayari amekubaliana na Arsenal kuhusiana na masuala binafsi usiku wa kuamkia leo hivyo huenda muda wowote akatangazwa kama mchezaji wa Arsenal (Sky Sports)

Klabu ya @simbasctanzania hii leo majira ya Saa 5:00 asubuhi (EAT) inatarajia Kucheza mchezo wao wa Kwanza wa Kirafiki

Klabu ya @simbasctanzania hii leo majira ya Saa 5:00 asubuhi (EAT) inatarajia Kucheza mchezo wao wa Kwanza wa Kirafiki wakiwa kambini Nchini Afrika Kusini… Mchezo huo wa kujipima Ni dhidi ya timu ya Chuo Kikuu Cha Orbit TVET Collage, Orbit FC mjini Rustenburg..
#Updates

Real Betis Imethibitisha kumsajili Kiungo Mshambuliaji wa Kimataifa wa Ufaransa, Nabil Fekir kutoka Klabu ya Lyon

DONE DEAL: Real Betis Imethibitisha kumsajili Kiungo Mshambuliaji wa Kimataifa wa Ufaransa, Nabil Fekir kutoka Klabu ya Lyon kwa dau la €19.75m.. dili hilo Ni pamoja na nyoongeza ya €10m na makubaliano ya 20% ya Fedha za uhamisho wapewe Lyon Ikiwa Betis watamuuza kwenda Klabu nyingine!.
#TransferNewsUpdates

Afisa Mtendaji Mkuu, Crescentius Magori leo amejumuika pamoja na wachezaji na benchi la ufundi katika chakula cha usiku

Afisa Mtendaji Mkuu, Crescentius Magori leo amejumuika pamoja na wachezaji na benchi la ufundi katika chakula cha usiku hapa kambini mjini Rustenburg, Afrika Kusini. #NguvuMoja

Design a site like this with WordPress.com
Get started