

– Everton wameiambia Crystal Palace Wako tayari kulipa £60m pamoja na Mshambuliaji wao, Cenk Tosun kwa ajili ya kumchukua Wilfired Zaha, lakini wana hofu wanaweza kumkosa Zaha na kutimkia Chelsea.
.
– Inaelezwa kuwa Chelsea itamsajili Zaha na kumleta Stamford Bridge Mara Baada ya marufuku yao ya kusajili Wachezaji itamalizika… Crysta Palace imepewa ofa ya kumchukua Michy Batshuayi Ambaye alicheza kwa mkopo kwao msimu uliopita… Imetajwa kuwa sababu ya Palace kusua sua kumpiga Bei licha ya kupokea ofa kutoka Arsenal na Everton.
.
– Chelsea sasa Inatumikia marufuku yao ya kutosajili Wachezaji katika Madirisha Mawili ya uhamisho na hawezi kusaini wachezaji wakati huu wa majira ya joto. Wamekwisha kukata rufaa kwa mahakama ya usuluhishi michezoni, lakini wana hofu bado hawatoweza kupata saini yoyote mpya mwezi huu Januari..
#TransferNewsUpdates #EPLUpdates
@Sokawaytz_




















