

– Klabu ya Everton ipo kwenye Mazungumzo na klabu ya Juventus kumsajili Mshambuliaji wao wa Kimataifa wa Italia, Moise Kean.
.
– Kean ambaye ana Umri wa miaka 19, Klabu ya Juventus imemuwekea thamani ya kiasi cha €40M (£36M/$45m) na klabu hiyo ya Juventus Katika Makubaliano yao, inataka Kipengele cha kumnunua tena kijumuishwe kwenye dili hilo.
.
– The Toffees, bado wanasaka Mshambuliaji Ambaye atakuja kuziba pengo la kinda wao, Ademola Lookman aliyejiunga na Klabu ya RB Leipzig ya Ujerumani..
#TransferNewsUpdates
@Sokawaytz_


















